Uchaguzi 2020 Chama kinamkana mgombea?

Uchaguzi 2020 Chama kinamkana mgombea?

1601760466447.png
 
Mbowe na genge lake wanafahamu jinsi Lissu anavyoharibu umoja wa kikundi chao, sasa hivi kila mtanzania anajua lisu ni kibaraka. Kibaya Lisu kukaa belgium kimemuondolea uzalendo.
Sawa kabisa maana kwa risasi zile alitakiwa afe sasa yeye kakimbilia kutibiwa ubeligiji. Huo sio uzalendo kabisa. Yaani mtu unagoma kabisa kufwa daaah lazima utakuwa kibaraka
 
Wanasema ukiwa na mitego na ujuaji mwingi mwisho wa siku utajitega mwenyewe.

Kuna Chama kimeonesha kukana mgombea wake, yaani kumbe anayoyafanya au kuyasema mgombea wake Chama hakiyatambui.

Ni sad story haswa, lakini sisi wapiga kura tunajifunza. Kuna mojawapo ya tweets za mbunge fulani zilionekana kukana kile alichokisema mgombea wao ingawa ilikanushwa kwa mashaka.

Leo hii tumepata ushahidi mwingine wa namna gani chama kinamkana mgombea na kumtwisha zigo zito.

Naona ni namna gani demokrasia inavyochezewa katika hili, yaani udhamini ni wa kwenye karatasi tu na inapokuja takwa la kuwajibika Chama kinakimbia.

Tujadili bila matusi na tuvumilie tunapoambiwa ukweli.
Kuna wakati mwingine, viongozi wanaweza kukataa kusikiliza ushauri hata kama wajumbe wanalo bora zaidi mfano mzuri ni mwenyekiti wa ccm, kwa hio kwao vitu kama hivi ni vidogo vidogo vya kitabia
 
Halafu mkuu uko sahihi, uyu chuma atalazimisha kuchaguliwa halafu baadae ndio ahamie gereji ya JKCI milele
Vipi mmeshatoka garage au Lissu aje na spana zingine , au gari imekuwa screpa haifai tusipoteze mda.
 
Back
Top Bottom