Chama kipo kimya kuhusu Nape

Chama kipo kimya kuhusu Nape

Leverage

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2021
Posts
2,125
Reaction score
3,150
Je CCM haioni tatizo juu ya hizi kauli mbili za mbunge wao
1. Kumwita mwenyekiti mstaafu Godfather
2. Kusema chama kina wenyewe
Hizi kauli hazina maadili na zinaonyesha dharau kubwa sana kwa chama.
Chama kukaa kimya bila kukemea inaonyesha kinaafiki kauli ya kuwa kina wenyewe. Kwa wale ambao sio wenyewe wataishia kuvaa T-shirt na kapelo ila nafasi za uongozi zitabaki kwa wenye chama.
Mzee Mangula toa kauli wewe ndio mzee pekee uliyebaki unaeweza kukemea maovu ndani ya chama
 
Je CCM haioni tatizo juu ya hizi kauli mbili za mbunge wao
1. Kumwita mwenyekiti mstaafu Godfather
2. Kusema chama kina wenyewe
Hizi kauli hazina maadili na zinaonyesha dharau kubwa sana kwa chama.
Chama kukaa kimya bila kukemea inaonyesha kinaafiki kauli ya kuwa kina wenyewe. Kwa wale ambao sio wenyewe wataishia kuvaa T-shirt na kapelo ila nafasi za uongozi zitabaki kwa wenye chama.
Mzee Mangula toa kauli wewe ndio mzee pekee uliyebaki unaeweza kukemea maovu ndani ya chama
Sasa wewe Chadomo mambo ya CCM yanakuhusu nini?
 
Je CCM haioni tatizo juu ya hizi kauli mbili za mbunge wao
1. Kumwita mwenyekiti mstaafu Godfather
2. Kusema chama kina wenyewe
Hizi kauli hazina maadili na zinaonyesha dharau kubwa sana kwa chama.
Chama kukaa kimya bila kukemea inaonyesha kinaafiki kauli ya kuwa kina wenyewe. Kwa wale ambao sio wenyewe wataishia kuvaa T-shirt na kapelo ila nafasi za uongozi zitabaki kwa wenye chama.
Mzee Mangula toa kauli wewe ndio mzee pekee uliyebaki unaeweza kukemea maovu ndani ya chama
Push gang unateseka ukiwa wapi?
 
Acha unafiki, kipindi Musiba anawaita akina Maalimu mashoga mlikuwa wapi? Kuna heading alitoa kwenye gazeti lake "Fatma Karume anachokonolewa" mlikuwa wapi pia? Wajinga kabisa nyie, zama zenu zimepita, tena zimepita kipindi kifupi sana! Siasa zimerudi kwa wanasiasa
 
Je CCM haioni tatizo juu ya hizi kauli mbili za mbunge wao
1. Kumwita mwenyekiti mstaafu Godfather
2. Kusema chama kina wenyewe
Hizi kauli hazina maadili na zinaonyesha dharau kubwa sana kwa chama.
Chama kukaa kimya bila kukemea inaonyesha kinaafiki kauli ya kuwa kina wenyewe. Kwa wale ambao sio wenyewe wataishia kuvaa T-shirt na kapelo ila nafasi za uongozi zitabaki kwa wenye chama.
Mzee Mangula toa kauli wewe ndio mzee pekee uliyebaki unaeweza kukemea maovu ndani ya chama
Huyu anatakiwa ahojiwe na Kamati Ya Nidhamu na NEC na CC

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Sasa wewe Chadomo mambo ya CCM yanakuhusu nini?
Matamshi ya Nnape yanawahusu watanzania ambao wanachma na wasio wanachama wavyama vyote vya siasa. Mtu mwenye nganzi ya mbunge anaposimama na kusema CCm ina wenyewe, unaweza ukaendeleza kwa kusema TZ ina wenyewe. Kwa nini nasema hivi. Kama ni kweli CCM ina wenyewe na CCM ndiyo inaendesha/tengeneza/simamia serkali basiina maana serkali ina wenyewe. Kutamka maneno hayo ni sawa na kusema mtu ambaye siyo CCM hahusiki na serkali kwa sababu wenye serkali ni wale wenyeCCM, asiye CCM hiyoserkali siyo yao. Mbunge anatakiwa kuwa mwangalifu anapoongea.
 
Je CCM haioni tatizo juu ya hizi kauli mbili za mbunge wao
1. Kumwita mwenyekiti mstaafu Godfather
2. Kusema chama kina wenyewe
Hizi kauli hazina maadili na zinaonyesha dharau kubwa sana kwa chama.
Chama kukaa kimya bila kukemea inaonyesha kinaafiki kauli ya kuwa kina wenyewe. Kwa wale ambao sio wenyewe wataishia kuvaa T-shirt na kapelo ila nafasi za uongozi zitabaki kwa wenye chama.
Mzee Mangula toa kauli wewe ndio mzee pekee uliyebaki unaeweza kukemea maovu ndani ya chama
KAULI ZA NAPE ZINATOKANA NA ANDIKO LIPI LA CHAMA CHA MAPINDUZI? ANDIKO MOJA LA CHAMA LINASEMA "NITASEMA KWELI DAIMA, FITINA KWANGU MWIKO". JE, KAULI YA NAPE KWAMBA CHAMA KINA WENYEWE NI YA KWELI? JE, KAULI YA NAPE KWAMBA MWENYEKITI ALIYEFARIKI ALIKUWA GODFADHA KWA BAADHI YA WANACHAMA NI YA KWELI? NA KAMA SIYO ZA KWELI, UONGOZI WA CHAMA MBONA HAUMCHUKULII HATUA ZA KINIDHAMU?
 
Je CCM haioni tatizo juu ya hizi kauli mbili za mbunge wao
1. Kumwita mwenyekiti mstaafu Godfather
2. Kusema chama kina wenyewe
Hizi kauli hazina maadili na zinaonyesha dharau kubwa sana kwa chama.
Chama kukaa kimya bila kukemea inaonyesha kinaafiki kauli ya kuwa kina wenyewe. Kwa wale ambao sio wenyewe wataishia kuvaa T-shirt na kapelo ila nafasi za uongozi zitabaki kwa wenye chama.
Mzee Mangula toa kauli wewe ndio mzee pekee uliyebaki unaeweza kukemea maovu ndani ya chama
Godfather ni Mwenyekiti yupi?

Kama syo umbea huyo godfather ni yupi
 
T-shirt na kapelo
Vinaenda sambamba na bendera
 
Sinaga huruma kabisa na hichi chama cha kishetani
 
Kumbuka maneno yako siku kukiwa na jambo la Chadema, ACT au hata CUF! Una tabia kihuni, mkuu. Huwezi kuruhusu mjadala huru katika public space?? Hakafu mnajisifu kuna uhuru wa kutoa maini!

Pathetic!
 
Acha unafiki, kipindi Musiba anawaita akina Maalimu mashoga mlikuwa wapi? Kuna heading alitoa kwenye gazeti lake "Fatma Karume anachokonolewa" mlikuwa wapi pia? Wajinga kabisa nyie, zama zenu zimepita, tena zimepita kipindi kifupi sana! Siasa zimerudi kwa wanasiasa
Kulia kupokezana.

Endeleeni kuita watu viroboto. Godfather n.k.

Mtajua hamjui
 
KAULI ZA NAPE ZINATOKANA NA ANDIKO LIPI LA CHAMA CHA MAPINDUZI? ANDIKO MOJA LA CHAMA LINASEMA "NITASEMA KWELI DAIMA, FITINA KWANGU MWIKO". JE, KAULI YA NAPE KWAMBA CHAMA KINA WENYEWE NI YA KWELI? JE, KAULI YA NAPE KWAMBA MWENYEKITI ALIYEFARIKI ALIKUWA GODFADHA KWA BAADHI YA WANACHAMA NI YA KWELI? NA KAMA SIYO ZA KWELI, UONGOZI WA CHAMA MBONA HAUMCHUKULII HATUA ZA KINIDHAMU?
Kwa hiyo ni Kweli kwamba Polepole ni kiroboto ee? Haha.
 
Matamshi ya Nnape yanawahusu watanzania ambao wanachma na wasio wanachama wavyama vyote vya siasa. Mtu mwenye nganzi ya mbunge anaposimama na kusema CCm ina wenyewe, unaweza ukaendeleza kwa kusema TZ ina wenyewe. Kwa nini nasema hivi. Kama ni kweli CCM ina wenyewe na CCM ndiyo inaendesha/tengeneza/simamia serkali basiina maana serkali ina wenyewe. Kutamka maneno hayo ni sawa na kusema mtu ambaye siyo CCM hahusiki na serkali kwa sababu wenye serkali ni wale wenyeCCM, asiye CCM hiyoserkali siyo yao. Mbunge anatakiwa kuwa mwangalifu anapoongea.
CCM ina mbinu 100 zakushinda uchaguzi,tumeshatumia moja bado mbinu 99" by Nape.
Kusema CCM ina wenyewe yupo sahihi kabisa,tangu link nchi nzima I we nawenyeviti wa CCM tu.
Tangu lini ujazaji wa fomu zakugombea ziwe namakosa upande mmoja tu.
 
Back
Top Bottom