Chama kipo kimya kuhusu Nape

Chama kipo kimya kuhusu Nape

Je CCM haioni tatizo juu ya hizi kauli mbili za mbunge wao
1. Kumwita mwenyekiti mstaafu Godfather
2. Kusema chama kina wenyewe
Hizi kauli hazina maadili na zinaonyesha dharau kubwa sana kwa chama.
Chama kukaa kimya bila kukemea inaonyesha kinaafiki kauli ya kuwa kina wenyewe. Kwa wale ambao sio wenyewe wataishia kuvaa T-shirt na kapelo ila nafasi za uongozi zitabaki kwa wenye chama.
Mzee Mangula toa kauli wewe ndio mzee pekee uliyebaki unaeweza kukemea maovu ndani ya chama
Mkuu haya yote yana mwisho,walikuwepo watu ambao akisimama na kuongea unajua kweli mwanaume wa shoka anaongea ,sembuse hawa kwa kauli hizi za wahuni unarudi muda wa kuzomewa ukivaa shati la kijana labda iwe jezi za Yanga. Subiri ni wakati tu watabaki na chama chao.
 
Je CCM haioni tatizo juu ya hizi kauli mbili za mbunge wao
1. Kumwita mwenyekiti mstaafu Godfather
2. Kusema chama kina wenyewe
Hizi kauli hazina maadili na zinaonyesha dharau kubwa sana kwa chama.
Chama kukaa kimya bila kukemea inaonyesha kinaafiki kauli ya kuwa kina wenyewe. Kwa wale ambao sio wenyewe wataishia kuvaa T-shirt na kapelo ila nafasi za uongozi zitabaki kwa wenye chama.
Mzee Mangula toa kauli wewe ndio mzee pekee uliyebaki unaeweza kukemea maovu ndani ya chama
Katika utaratibu si kila onyo ama katazo lazima litolewe hadharani, huenda wameshamrekebisha ndani ya chama , unajuaje!Labda kama na wewe ni kamati kuu ya chama
 
Kuna wakati mangula alishawahi wekwa kando.

Akajiendea zake kijijini kwao na kujihusisha na kilimo.

Alirudishwa hapo katikati baada ya upepo wa kisiasa ndani ya ccm kuwa worse ...kufuatia failure za kina mkama..

Frankly, top leadership yote ya ccm ipo nyuma ya Nape akiwemo mwenyekiti wao wa sasa..

Kiungwana Nape alipaswa nae aitwe kwny hivyo vikao sambamba nao wengne ili kumaliza hiyo misuguano yao.

Kinyume na hapo italeta taswira ya ubaguzi.
Na hii itachochea baadhi ya makada wa ccm kuishi na vinyongo jambo ambalo ni hatari kwa afya ya chama..

Hatahivyo ccm inaweza wa ku-survive bila uungwaji mkono wa kundi lolote hasimu ndani yake endapo SAMIA ataendelea kutumia approach ya magufuli ya ku-deal na wapinzani wake nje na ndani ya chama..

Ila Kama atamcopy purely mwenyekiti wake mstaafu alivyoiendesha CCM kipindi cha awamu ya Nne atatikiswa sana..

CCM katika zama hizi haiwezi kuendeshwa na mbinu za kimapokeo.
akina nape wanamdanganya.
 
Kuna wakati mangula alishawahi wekwa kando.

Akajiendea zake kijijini kwao na kujihusisha na kilimo.

Alirudishwa hapo katikati baada ya upepo wa kisiasa ndani ya ccm kuwa worse ...kufuatia failure za kina mkama..

Frankly, top leadership yote ya ccm ipo nyuma ya Nape akiwemo mwenyekiti wao wa sasa..

Kiungwana Nape alipaswa nae aitwe kwny hivyo vikao sambamba nao wengne ili kumaliza hiyo misuguano yao.

Kinyume na hapo italeta taswira ya ubaguzi.
Na hii itachochea baadhi ya makada wa ccm kuishi na vinyongo jambo ambalo ni hatari kwa afya ya chama..

Hatahivyo ccm inaweza wa ku-survive bila uungwaji mkono wa kundi lolote hasimu ndani yake endapo SAMIA ataendelea kutumia approach ya magufuli ya ku-deal na wapinzani wake nje na ndani ya chama..

Ila Kama atamcopy purely mwenyekiti wake mstaafu alivyoiendesha CCM kipindi cha awamu ya Nne atatikiswa sana..

CCM katika zama hizi haiwezi kuendeshwa na mbinu za kimapokeo.
akina nape wanamdanganya.
Wkt jiwe anawarekodi wakina Kinana,Nape,,Makamba ulitoa ushauri gani kwake
 
[emoji3] [emoji3] Sasa mtu kuwa Godfather si nisifa hiyo.. kila mtu Ana Godfather kwene career fulani
 
Je CCM haioni tatizo juu ya hizi kauli mbili za mbunge wao
1. Kumwita mwenyekiti mstaafu Godfather
2. Kusema chama kina wenyewe
Hizi kauli hazina maadili na zinaonyesha dharau kubwa sana kwa chama.
Chama kukaa kimya bila kukemea inaonyesha kinaafiki kauli ya kuwa kina wenyewe. Kwa wale ambao sio wenyewe wataishia kuvaa T-shirt na kapelo ila nafasi za uongozi zitabaki kwa wenye chama.
Mzee Mangula toa kauli wewe ndio mzee pekee uliyebaki unaeweza kukemea maovu ndani ya chama

Kumwita Vasco Dagama Kuwa ni GOD FATHER implies kuwa he is a head of a Mafia family!!! Nape achunge mndomo wake.
 
Je CCM haioni tatizo juu ya hizi kauli mbili za mbunge wao
1. Kumwita mwenyekiti mstaafu Godfather
2. Kusema chama kina wenyewe
Hizi kauli hazina maadili na zinaonyesha dharau kubwa sana kwa chama.
Chama kukaa kimya bila kukemea inaonyesha kinaafiki kauli ya kuwa kina wenyewe. Kwa wale ambao sio wenyewe wataishia kuvaa T-shirt na kapelo ila nafasi za uongozi zitabaki kwa wenye chama.
Mzee Mangula toa kauli wewe ndio mzee pekee uliyebaki unaeweza kukemea maovu ndani ya chama
Mpigeni risasi 36 kama mlivyofanya kwa Tundu Lissu au yule Henry Kisanduku siku hizi umestaafu?

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
KAULI ZA NAPE ZINATOKANA NA ANDIKO LIPI LA CHAMA CHA MAPINDUZI? ANDIKO MOJA LA CHAMA LINASEMA "NITASEMA KWELI DAIMA, FITINA KWANGU MWIKO". JE, KAULI YA NAPE KWAMBA CHAMA KINA WENYEWE NI YA KWELI? JE, KAULI YA NAPE KWAMBA MWENYEKITI ALIYEFARIKI ALIKUWA GODFADHA KWA BAADHI YA WANACHAMA NI YA KWELI? NA KAMA SIYO ZA KWELI, UONGOZI WA CHAMA MBONA HAUMCHUKULII HATUA ZA KINIDHAMU?
Tumia herufi ndogo basi bro, dah!
 
Je CCM haioni tatizo juu ya hizi kauli mbili za mbunge wao
1. Kumwita mwenyekiti mstaafu Godfather
2. Kusema chama kina wenyewe
Hizi kauli hazina maadili na zinaonyesha dharau kubwa sana kwa chama.
Chama kukaa kimya bila kukemea inaonyesha kinaafiki kauli ya kuwa kina wenyewe. Kwa wale ambao sio wenyewe wataishia kuvaa T-shirt na kapelo ila nafasi za uongozi zitabaki kwa wenye chama.
Mzee Mangula toa kauli wewe ndio mzee pekee uliyebaki unaeweza kukemea maovu ndani ya chama
Akemee. Sumu ya mwanzo haikumtosha?
 
Acha unafiki, kipindi Musiba anawaita akina Maalimu mashoga mlikuwa wapi? Kuna heading alitoa kwenye gazeti lake "Fatma Karume anachokonolewa" mlikuwa wapi pia? Wajinga kabisa nyie, zama zenu zimepita, tena zimepita kipindi kifupi sana! Siasa zimerudi kwa wanasiasa
Kelbu la pua hili...nyota nyota zimetawala
 
Matamshi ya Nnape yanawahusu watanzania ambao wanachma na wasio wanachama wavyama vyote vya siasa. Mtu mwenye nganzi ya mbunge anaposimama na kusema CCm ina wenyewe, unaweza ukaendeleza kwa kusema TZ ina wenyewe. Kwa nini nasema hivi. Kama ni kweli CCM ina wenyewe na CCM ndiyo inaendesha/tengeneza/simamia serkali basiina maana serkali ina wenyewe. Kutamka maneno hayo ni sawa na kusema mtu ambaye siyo CCM hahusiki na serkali kwa sababu wenye serkali ni wale wenyeCCM, asiye CCM hiyoserkali siyo yao. Mbunge anatakiwa kuwa mwangalifu anapoongea.
Hawezi kukuelewa Huyu ni mtoto wa bulembo mkuu,ambae dada ake alikua anamegwa na Zitto
 
Back
Top Bottom