Chama kipya chaundwa Tanzania kuendeleza falsafa ya Magufuli

Hiki chama cha wasukuma hakitafanikiwa.
Hiki si Chama Cha Wasukuma,ni Chama Cha Watanzania wote wanaoitakia mema nchi yao.Muache kukipaka matope.Tunataka kuitawala nchi yetu,ku-own our resources na hivyo kuwaletea wananchi wetu maendeleo ya kweli.Mimi nakipenda hiki Chama for what it stands for,lakini sio Msukuma.Tupo kwa ajili ya maendeleo ya nchi yetu na watu wake.
 
Watu wanaelewa vizuri mkakati wa chama hiki. Kuna watu waliofaidika na utawala wa Magufuli, walikula asali lakini ghafla wakaonjeshwa shubiri, hawa ni akina Makonda na wengine wengi kutoka kanda ya ziwa. Sasa hawa wanataka kurudi kivingine. Nembo ya chama ni picha ya Magufuli hili nalo kosa kubwa.
 
Kwani huyo jamaa yenu alishawahi kuwaga na falisafa? Ipi?
Jamaa yetu?Kama una maana ya Magufuli commitment yake ilikuwa kulinda rasilimali za nchi na kuwaletea Watanzania maendeleo kwa kutumia rasilimali za nchi zao.
 
Chama la wasukuma, tunataka chama cha watanzania siyo cha ukabila,

Hawa wasukuma wameshefeli tayari, akili yao ndo imefikia hapo,

Magufuli alitesa wengi kujiegemeza kwake moja kwa moja wamepoteza wengi, familia na jamii kubwa ya watanzania walioumizwa na utawala wake!!


Wasukuma kwa sababu kila kitu kwao enzi ya Magufuki ilikuwa mteremko wanajiaminisha kuwa tanzania nzima walikuwa na raha kama wao!!

CCM bado sana itaongoza na hamna wa kuweza kuitingisha kwa ujumla wake!!

Huo Umoja wa Wasukuma Party ushaenda kwenye trush tayari!!
 
Wataungwa mkono na walio wengi !!


Wachache wa juu ndo watawapinga!!.


Ukweli ni kua Magufuli alipendwa na walio wengi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna uzi humu, nimeusahau, unajibu vizuri na kitaalamu kabisa kuhusu hao 'wengi' wanaompenda magufuli. Tz ukiijulia kidogo tu utapendwa sana.........anayeimba habari za kuinama na kupachika rungu au kufudua na kusafishwa mtaro anapata mashabiki lukuki huku anayemuimbia mama yake kule kjjn kuwa akaze moyo mwanae anatafuta, anajipatia mashabiki wawili tu.

Ule uzi umeeleza kitaalamu kabisa, ukiwaelewa hawa hawakupi shida hata kidogo. Mi binafsi najua kuwa kuna wengi wanampenda mjomba jpm lkn sishtushwi hata kidogo kwn najua n watu wa aina gn.....ni watz
 
Falsafa ya kuendeleza kazi ya Magufuri itawasaidia sana lakini watakwama kwa sababu Magufuri hakupenda kukosolewa hivyo waanzilishi wake nao hawatopenda kukosolewa ili kulinda heshima ya Hayati Magufuri.
 
Na mimi nitaanzisha chama ili kulinda mema yote yale aliyoyafanya Rais wa Awamu ya tatu Mheshimiwa Benjamin William Mkapa.
 
Mbona mwanzilishi wa hicho chama ni mzanzibar wapi kimeonesha kina muundo wa kisukuma au wanahubiri ukabila?
 
Falsafa ya Magufuli ni nini? Nafikiri tunachanganya Falsafa na vitu vya kijinga
 
Subiri msajili akatae siyo wewe, hebu tuliza mshono na usikilize utaratibu hapo chini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…