Mkuu tangazo zito kurudi kwa chama kweli?? Sawa na okwi kurudi bongo sio agenda ya kushangaza maana anarudi akiwa kafeli sasa aliyefeli anarudi kurisiti pepa nini cha ajabu.
Mkuu tangazo zito kurudi kwa chama kweli?? Sawa na okwi kurudi bongo sio agenda ya kushangaza maana anarudi akiwa kafeli sasa aliyefeli anarudi kurisiti pepa nini cha ajabu.