Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Kama Vipera waliowakamua mbili pale taifa ni wadogo, basi uto mtakuwa wadogo zaidi yao🫣🫣Unafananisha mesi na takataka
Huyu huyu Chama anayewika kwenye mchi ndogo jamii ya vipers, Nyasa big bullets, na de agosto
Huyu huyu Chama anayewika kwenye mchi ndogo jamii ya vipers, Nyasa big bullets, na de agosto
Vipers iliyocheza na yanga siyo kama hii iliyokuja kucheza na simba, wachezaji kama bobosi na manzoki hawakuwepo kwenye mechi ya simba waliuzwa yakabaki matakataka tu na kama wangekuwepo wala msingetoboa.Kama Vipera waliowakamua mbili pale taifa ni wadogo, basi uto mtakuwa wadogo zaidi yao🫣🫣
Fafanua hivyo kwa AS Vita, Al Merrick, De Agosto, FC Platnums na Al Hilal.Vipers iliyocheza na yanga siyo kama hii iliyokuja kucheza na simba, wachezaji kama bobosi na manzoki hawakuwepo kwenye mechi ya simba waliuzwa yakabaki matakataka tu na kama wangekuwepo wala msingetoboa.
KWA KUWA NI MTANZANIA WENYR AKILI HAWATAKUBISHIA.WATANZANIA TUMEWAJUA, HAMPENDANI.Ata Chama mwenyewe anajua kura amepigiwa na mbumbumbu fc, hakuna mashabiki wa klabu kubwa Africa wakahangaika na vituzo vidogo vidogo vya wiki mitandaoni. Ila Mbumbumbu fc kwakua ilo ndio kombe lao msimu huu ilibidi walipambanie.
Hongera kiungo mwenye spidi ya konokono apa Tanzania Pana kufaa sana sio uko kweye soka la Kasi na maamuzi ya haraka.
Wachezaji wawili tu mzee, wakati akili zikigawiwa na Mungu mlienda msalani.Fafanua hivyo kwa AS Vita, Al Merrick, De Agosto, FC Platnums na Al Hilal.
Mchezaji Bora wa Wiki wa Ligi ya Mabingwa Afrika, Mwamba wa Lusaka, Clatous Chama [emoji92]
#WenyeNchi #NguvuMoja
Unataka kutuaminisha manzoki alicheza siku mnakojolewa mara mbili na vipers?Vipers iliyocheza na yanga siyo kama hii iliyokuja kucheza na simba, wachezaji kama bobosi na manzoki hawakuwepo kwenye mechi ya simba waliuzwa yakabaki matakataka tu na kama wangekuwepo wala msingetoboa.
Utopolo bhana[emoji3]Vipers iliyocheza na yanga siyo kama hii iliyokuja kucheza na simba, wachezaji kama bobosi na manzoki hawakuwepo kwenye mechi ya simba waliuzwa yakabaki matakataka tu na kama wangekuwepo wala msingetoboa.
Mbona na nyinyi ni wanyonge wetu kwa misimu miwili mfululizo! Kupitia huu mtazamo wako, si mtakuwa wadogo kuliko hata sisimizi kwa Yanga!!Kama Vipera waliowakamua mbili pale taifa ni wadogo, basi uto mtakuwa wadogo zaidi yao🫣🫣