Chama kwa CAF ni kama Messi kwa UEFA: Achaguliwa mchezaji bora wa CAF Champions League

Chama kwa CAF ni kama Messi kwa UEFA: Achaguliwa mchezaji bora wa CAF Champions League

Unafananisha Messi na takataka

Huyu huyu Chama anayewika kwenye mchi ndogo jamii ya vipers, Nyasa big bullets, na de agosto
Kwenye Champions League hatua ya makundi hakuna timu ndogo, kama kungekuwa na timu ndogo Yanga isingekuwa imeshinda kushiriki kwa miaka 23 hatua ya makundi
 
Ata Chama mwenyewe anajua kura amepigiwa na mbumbumbu fc, hakuna mashabiki wa klabu kubwa Africa wakahangaika na vituzo vidogo vidogo vya wiki mitandaoni. Ila Mbumbumbu fc kwakua ilo ndio kombe lao msimu huu ilibidi walipambanie.

Hongera kiungo mwenye spidi ya konokono apa Tanzania Pana kufaa sana sio uko kweye soka la Kasi na maamuzi ya haraka.
Hiyo sio tuzo we nyumbu, ni poll imewekwa na CAF na mashabiki wa Afrika wakaona wakachagua, kajinyonge kama imekuuma
 
Vipers iliyocheza na yanga siyo kama hii iliyokuja kucheza na simba, wachezaji kama bobosi na manzoki hawakuwepo kwenye mechi ya simba waliuzwa yakabaki matakataka tu na kama wangekuwepo wala msingetoboa.
Vipers ndio iliyomtoa TP Mazembe mnayoshangilia kuifunga
Kama Vipers ya sasa mbovu ombeni tena mechi ya kirafiki
 
Hee...Ee bana...! Unasemaaa

Kuna timu hatua ya Makundi CAF Champions League Wameshindwa kushirikishana Kwa Miaka Zaidi' Ya 23..!

Jumlisha Na huu unakuwa 24..?

Nimeumia Sana.!
 
Vipers iliyocheza na yanga siyo kama hii iliyokuja kucheza na simba, wachezaji kama bobosi na manzoki hawakuwepo kwenye mechi ya simba waliuzwa yakabaki matakataka tu na kama wangekuwepo wala msingetoboa.
Acha kuita binadamu mwenzako takataka ww mpumbavu.
 
Vipers iliyocheza na yanga siyo kama hii iliyokuja kucheza na simba, wachezaji kama bobosi na manzoki hawakuwepo kwenye mechi ya simba waliuzwa yakabaki matakataka tu na kama wangekuwepo wala msingetoboa.
wewe tuliza kichwa,Vipers Vs Yanga Manzoki alicheza?,uyo Bobos angekuepo leo hii pale Vipers angesaidia nini?
 
Ata Chama mwenyewe anajua kura amepigiwa na mbumbumbu fc, hakuna mashabiki wa klabu kubwa Africa wakahangaika na vituzo vidogo vidogo vya wiki mitandaoni. Ila Mbumbumbu fc kwakua ilo ndio kombe lao msimu huu ilibidi walipambanie.

Hongera kiungo mwenye spidi ya konokono apa Tanzania Pana kufaa sana sio uko kweye soka la Kasi na maamuzi ya haraka.
duh!.
 
Basi kutokana na hii habari, kuna watu watasahau timu yao ipo nyuma kwenye msimamo wa ligi kwa tofauti ya pointi 8 dhidi ya Bingwa mtetezi!

Kwa kweli yule Mzee ajengewe tu sanamu ya ukumbusho.
Ila hushangai kuona aliyeachwa points 8,yupo klabu bingwa,afu bingwa yupp looser cup[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Back
Top Bottom