OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Umetoka kwenu Burkina Faso kuja Bongo kucheza mpira au kutema mate?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye Champions League hatua ya makundi hakuna timu ndogo, kama kungekuwa na timu ndogo Yanga isingekuwa imeshinda kushiriki kwa miaka 23 hatua ya makundiUnafananisha Messi na takataka
Huyu huyu Chama anayewika kwenye mchi ndogo jamii ya vipers, Nyasa big bullets, na de agosto
Hiyo sio tuzo we nyumbu, ni poll imewekwa na CAF na mashabiki wa Afrika wakaona wakachagua, kajinyonge kama imekuumaAta Chama mwenyewe anajua kura amepigiwa na mbumbumbu fc, hakuna mashabiki wa klabu kubwa Africa wakahangaika na vituzo vidogo vidogo vya wiki mitandaoni. Ila Mbumbumbu fc kwakua ilo ndio kombe lao msimu huu ilibidi walipambanie.
Hongera kiungo mwenye spidi ya konokono apa Tanzania Pana kufaa sana sio uko kweye soka la Kasi na maamuzi ya haraka.
Vipers ndio iliyomtoa TP Mazembe mnayoshangilia kuifungaVipers iliyocheza na yanga siyo kama hii iliyokuja kucheza na simba, wachezaji kama bobosi na manzoki hawakuwepo kwenye mechi ya simba waliuzwa yakabaki matakataka tu na kama wangekuwepo wala msingetoboa.
Acha kuita binadamu mwenzako takataka ww mpumbavu.Vipers iliyocheza na yanga siyo kama hii iliyokuja kucheza na simba, wachezaji kama bobosi na manzoki hawakuwepo kwenye mechi ya simba waliuzwa yakabaki matakataka tu na kama wangekuwepo wala msingetoboa.
Naona hata AS Vita ni timu ndogo sana, kama malimao fc tuUnafananisha Messi na takataka
Huyu huyu Chama anayewika kwenye mchi ndogo jamii ya vipers, Nyasa big bullets, na de agosto
Manzoki hakucheza game dhidi ya Yanga, acha kukurupuka UtoVipers iliyocheza na yanga siyo kama hii iliyokuja kucheza na simba, wachezaji kama bobosi na manzoki hawakuwepo kwenye mechi ya simba waliuzwa yakabaki matakataka tu na kama wangekuwepo wala msingetoboa.
Hahahahaha yule mwamba siku ile alikua kakunja 4 kwenye bench anamuangalia aziza kindamba anavoruka machejo.Unataka kutuaminisha manzoki alicheza siku mnakojolewa mara mbili na vipers?
wewe tuliza kichwa,Vipers Vs Yanga Manzoki alicheza?,uyo Bobos angekuepo leo hii pale Vipers angesaidia nini?Vipers iliyocheza na yanga siyo kama hii iliyokuja kucheza na simba, wachezaji kama bobosi na manzoki hawakuwepo kwenye mechi ya simba waliuzwa yakabaki matakataka tu na kama wangekuwepo wala msingetoboa.
duh!.Ata Chama mwenyewe anajua kura amepigiwa na mbumbumbu fc, hakuna mashabiki wa klabu kubwa Africa wakahangaika na vituzo vidogo vidogo vya wiki mitandaoni. Ila Mbumbumbu fc kwakua ilo ndio kombe lao msimu huu ilibidi walipambanie.
Hongera kiungo mwenye spidi ya konokono apa Tanzania Pana kufaa sana sio uko kweye soka la Kasi na maamuzi ya haraka.
Kwenye mechi ya yanga manzoki alikuepo??acha kujitetea mlipewa kichapoVipers iliyocheza na yanga siyo kama hii iliyokuja kucheza na simba, wachezaji kama bobosi na manzoki hawakuwepo kwenye mechi ya simba waliuzwa yakabaki matakataka tu na kama wangekuwepo wala msingetoboa.
Umeumia sana mkuu,pole lknMbumbumbu ni genetic
Ila hushangai kuona aliyeachwa points 8,yupo klabu bingwa,afu bingwa yupp looser cup[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Basi kutokana na hii habari, kuna watu watasahau timu yao ipo nyuma kwenye msimamo wa ligi kwa tofauti ya pointi 8 dhidi ya Bingwa mtetezi!
Kwa kweli yule Mzee ajengewe tu sanamu ya ukumbusho.
huu ni mwanzo tu,viungo bora wa mwezi au wiki uwenda wakaingia kwenye vinyang'anyiro kwenye kura za kiungo bora wa msimu,michuano ikifika ukingoni.Wiki moja tu yani ?