OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Akachukue zawadi yake kwa LipumbaMayele achaguliwa mchezaji Bora CUF YA LIPUMBA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akachukue zawadi yake kwa LipumbaMayele achaguliwa mchezaji Bora CUF YA LIPUMBA
Labda uwe mzani wa kukunja bukta na kutema mate uwanjaniEndeleeni tu kumuweka kwenye mzani sawa na ile takataka kutoka Ouagadougou...
Mbona mechi mliyofungwa na vipers manzoki hakucheza? Na bado mkafungwa?Vipers iliyocheza na yanga siyo kama hii iliyokuja kucheza na simba, wachezaji kama bobosi na manzoki hawakuwepo kwenye mechi ya simba waliuzwa yakabaki matakataka tu na kama wangekuwepo wala msingetoboa.
Lakini mkuu habari inahusu klabu bingwa africa sio NBC premier LeagueBasi kutokana na hii habari, kuna watu watasahau timu yao ipo nyuma kwenye msimamo wa ligi kwa tofauti ya pointi 8 dhidi ya Bingwa mtetezi!
Kwa kweli yule Mzee ajengewe tu sanamu ya ukumbusho.
Shida ya Uto iko hapo,wenzao wanafungua mipaka kufanya mambo makubwa kimataifa wao wanawaza ligi za ndondo.Lakini mkuu habari inahusu klabu bingwa africa sio NBC premier League
.Vipers iliyocheza na uto na ile iliyocheza na simba ni ileile acha kujitoa ufahamu. Ukimuondoa Bobos waliobaki ndio walewale. Manzoki mwenyewe siku hiyo hakucheza na mlifungwa na hawahwa waliopigwa na simba nje ndani.Vipers iliyocheza na yanga siyo kama hii iliyokuja kucheza na simba, wachezaji kama bobosi na manzoki hawakuwepo kwenye mechi ya simba waliuzwa yakabaki matakataka tu na kama wangekuwepo wala msingetoboa.
Mjinga sana wewe. Unawezaje kumuita binadamu mwenzako takataka. Wewe unaweza kucheza kwa kiwango chake?Unafananisha Messi na takataka
Huyu huyu Chama anayewika kwenye mchi ndogo jamii ya vipers, Nyasa big bullets, na de agosto
Kwani siku Ile mlifungwa na Manzoki na Bobosi?Vipers iliyocheza na yanga siyo kama hii iliyokuja kucheza na simba, wachezaji kama bobosi na manzoki hawakuwepo kwenye mechi ya simba waliuzwa yakabaki matakataka tu na kama wangekuwepo wala msingetoboa.
Huyo mwehu hajielewi. Wamechanganyikiwa kuona Chama anazidi kung'ara huku Azizi wao akipoteana. Kule CAF hakuna anayemjua Aziz.Mjinga sana wewe. Unawezaje kumuita binadamu mwenzako takataka. Wewe unaweza kucheza kwa kiwango chake?
Embu katafute kikosi kilichocheza uone kama manzoki alicheza.khaaa uto bna.Vipers iliyocheza na yanga siyo kama hii iliyokuja kucheza na simba, wachezaji kama bobosi na manzoki hawakuwepo kwenye mechi ya simba waliuzwa yakabaki matakataka tu na kama wangekuwepo wala msingetoboa.
Mchezaji bora wakati timu ya taifa ya zambia anaisikia tu, ubora gan alionao kilema huyoMchezaji Bora wa Wiki wa Ligi ya Mabingwa Afrika, Mwamba wa Lusaka, Clatous Chama [emoji92]
#WenyeNchi #NguvuMoja
View attachment 2552222
Mwaka wa Neema kwaoMakombe ya Makolo yanaendelea kutiririka: Mchezaji Bora wa wiki, assists za Chama, Shabalala, kiungo punda...........! Ni kulazimisha furaha tu!
Simba wote ni mbumbumbu in Rage's voice. I admit!Mchezaji wa Simba Clatos Chota Chama amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa wiki wa mashindano ya CAF Champions League.
Hii ni baada ya mashabiki wa soka barani Afrika kumpigia kura kwa kishindo kati ya wachezaji wanne waliokuwa wakiwania.
Hii inanikumbusha Messi alivyokuwa akifunika UEFA kipindi cha ubora wake