CHAMA LANGU PAMBA JIJI MNACHOENDA KUFANYA NI KUIGAWA VIPANDE VIPANDE TIMU

CHAMA LANGU PAMBA JIJI MNACHOENDA KUFANYA NI KUIGAWA VIPANDE VIPANDE TIMU

Rockcity native

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2012
Posts
2,174
Reaction score
1,445
Tulikubaliana tukipanda daraja hakuna kuwa na ukaribu wa namna yoyote na timu za kariakoo.
cha ajabu uongozi umeenda kuchukua udhamini wa GSM kwenye utengenezaji wa jezi na pia kuwa mdhamini wake mkuu kupitia kinywaji chake kipya cha juice.

Tunajua timu nyingi za Tanzania zina hali mbaya kifedha hivyo ni lazma zisake wadhamini lakini Pamba mdhamini wake wa zamani ambaye ni jambo group walikua tayari wameshaomba kuongeza mzigo ili wawe wadhamini wakuu wa timu lakini cha ajabu kwa mahaba ya viongozi wa Pamba kwa timu ya Yanga wakaamua kupeleka udhamini kwa GSM.

kwenye jezi ilikua kampuni ya Netsport lakini nayenyewe imepigwa chini na tenda kupewa GSM wakati bado wana mkataba.

Hii hali imepelekea timu kugawanyika vipande viwili ambapo upande mmoja unahisi timu inatumika kama tawi la yanga kwasasa kupitia viongozi wake.
 
Tulikubaliana tukipanda daraja hakuna kuwa na ukaribu wa namna yoyote na timu za kariakoo.
cha ajabu uongozi umeenda kuchukua udhamini wa GSM kwenye utengenezaji wa jezi na pia kuwa mdhamini wake mkuu kupitia kinywaji chake kipya cha juice.

Tunajua timu nyingi za Tanzania zina hali mbaya kifedha hivyo ni lazma zisake wadhamini lakini Pamba mdhamini wake wa zamani ambaye ni jambo group walikua tayari wameshaomba kuongeza mzigo ili wawe wadhamini wakuu wa timu lakini cha ajabu kwa mahaba ya viongozi wa Pamba kwa timu ya Yanga wakaamua kupeleka udhamini kwa GSM.

kwenye jezi ilikua kampuni ya Netsport lakini nayenyewe imepigwa chini na tenda kupewa GSM wakati bado wana mkataba.

Hii hali imepelekea timu kugawanyika vipande viwili ambapo upande mmoja unahisi timu inatumika kama tawi la yanga kwasasa kupitia viongozi wake.
Watajua wenyewe
Mbona timu zote zinazo shiriki Ligi kuu Zina pokea fedha za uzamini wa Azam je! nazenyewe ni tawi la Azam ?
 
Back
Top Bottom