Chama, mchezaji wa game ndogo anapowafunika Lilepo na Shelulile

Chama, mchezaji wa game ndogo anapowafunika Lilepo na Shelulile

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Screenshot_20230319-064048_Gallery.jpg




Huyo ndiyo triple C Mwamba wa Lusaka, akionyesha vitu kwa vitendo.

Amesemekana sana ni mchezaji wa mechi ndogo. Ilivuka mipaka mpaka wachambuzi wa soka waliamua kuweka unazi na kumkosea heshima Mwamba.

Mwamba anasomeka kama mfungaji bora wa ligi, juzi tu hapa aliidhinishwa kama mchezaji bora wa wiki.
Mchezaji wa game ndogo anaweza kuwafunika waarabu wooote na timu zao?

Mchezaji wa mechi ndogo anaweza kuwafunika wabrazili wote wa Petro Luanda na Mamelody? Anawezaji kuwafunika wachezaji wanaosajiliwa kwa mabilioni huko Uarabuni?

Nakumbuka huu mjadala tulishaufunga, lakini kwa sababu bado kuna vijimaneno, inabidi tupige bomu la nyuklia kusambaza kila kitu.

Kujeni tena mseme Mwamba ni mchezaji wa game ndogo.
 
yaani mchezaji anaye kutana na vibonde vipers na horoya anafananishwa na wachezaji wanao kutana na mamelod, al hilal,

chama ni mchezaji mdogo na itabaki hivyo, kupata vigoli vi 3 kwenye timu iliyo susa mchezo haimfanyi kuwa mchezaji wa maana

aliwahi nunuliwa kwa hela ndefu alipoenda huko ikawa upuuzi mtupu.
 
Wiki nzima wanaojiita wachambuzi walikuwa wanainanga SIMBA SC kuwa inacheza vibaya kitu ambacho si kweli. wiki ya kesho sijui watarudi na yapi tena!
Watasema, "Pamoja na kuwa wameingia robo fainali, Simba hawawezi kushinda mbele ya Mamelodi, uchezaji wao ni wa kubahatisha"

Maneno hayo watayarudia kwa hatua ya nusu fainali na pia kwa fainali.😀
 
Simba washaset standard ambazo ni ngumu sana kwa wengine kuwafikia..na trust me hata akija mamelodi atakufa kwa mkapa! Ile timu ambayo ilianza kwa kubezwa inaendelea kuwathibitishia kwamba Simba ni brand kubwa..leo hii Chama ndio top rated player.wazungu hawakukosea waliposema trust the process!
 
Simba washaset standard ambazo ni ngumu sana kwa wengine kuwafikia..na trust me hata akija mamelodi atakufa kwa mkapa! Ile timu ambayo ilianza kwa kubezwa inaendelea kuwathibitishia kwamba Simba ni brand kubwa..leo hii Chama ndio top rated player.wazungu hawakukosea waliposema trust the process!
Ni kama Liverpool tu linapokuja suala la UEFA, kufika robo, nusu fainali au fainali ni jambo la kawaida - ni standard za timu.
 
yaani mchezaji anaye kutana na vibonde vipers na horoya anafananishwa na wachezaji wanao kutana na mamelod, al hilal,

chama ni mchezaji mdogo na itabaki hivyo, kupata vigoli vi 3 kwenye timu iliyo susa mchezo haimfanyi kuwa mchezaji wa maana

aliwahi nunuliwa kwa hela ndefu alipoenda huko ikawa upuuzi mtupu.
Kunywa paracetamol ila usizidishe 4grams unajiweka katika hatari ya kupata toxicity au magonjwa ya ini hapo baadae.
 
Ni kama Liverpool tu linapokuja suala la UEFA, kufika robo, nusu fainali au fainali ni jambo la kawaida - ni standard za timu.
Yeah..yaani Simba inayocheza ligi kuu na hii ya ligi ya mabingwa unaweza sema ni timu mbili tofauti.
 
Back
Top Bottom