FK21
JF-Expert Member
- May 27, 2019
- 8,600
- 10,760
Unaota wewe mdadaWatasema, "Pamoja na kuwa wameingia robo fainali, Simba hawawezi kushinda mbele ya Mamelodi, uchezaji wao ni wa kubahatisha"
Maneno hayo watayarudia kwa hatua ya nusu fainali na pia kwa fainali.[emoji3]