Yohimbine
JF-Expert Member
- Jan 6, 2019
- 873
- 1,841
Manara alishasemaWachezaji wamchongo wapo shirikisho mzee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Manara alishasemaWachezaji wamchongo wapo shirikisho mzee
Chama hawezi perform na timu ndogo anafunga timu kubwaKaokota dodo kwenye mnazi, ni wa mechi ndogo tu huyo. Akicheza na Yanga mbona nya huwa inambana.
Manara alishasema mzee kikwete na baba ake tu ndo zipo kichwani pale SalamanderMbna yanga haipo CL na hata wafungaji hawapo kutoka team yao huko walipo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unatesekaa ukiwa wapiiii??? PoleeeeeehChama hajawahi kuwa 1st class,Africa tuna 3 levels za players chama ni mchezaji wa daraja la 2,hyo 1st class alishindwa kui-prove Uarabuni.
Ni mchezaji maji kupwa maji kujaa,hana consistence kwenye game kubwa kubwa.
Wachezaji daraja la chama ndio hawa tuliowajaza Simba,Yanga na Azam
Alikukopaa kinyeo hakukulipaa?? Alikukuta mchafu kajifunze kutawaza ndo uuze kinyeo hicho. Poleeeeeeeetriple c BWABWA LA LUSAKA
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jana ni kuota tuuu huyooo Chamaa lingineee huyooo mamamamama....
Simba raha nyieee
Haswaaaaaaah umemalizaaaaaa.Yanga ndo takataka gani kwenye soka la Afrika? Hata hivyo Chama hujikuta anacheza na wasiojua soka (Yanga) ambao hutumia nguvu nyingi badala ya akili, sasa ukicheza na wasiojua na wanaotumia uchawi unajikuta unapoteana ghafla.
Yanga hawajui.Wangekuwa wanajua na huo ubingwa wao wa kihistoria wa TPL wangetisha hata kimataifa, ila cha ajabu asiye bingwa wa kihistoria ndo anatosha kimataifa. Yanga ni sawa na mwanafunzi anayefaulu vizuri darasani (mitihani ya ndani ya shule) ila kwenye mitihani ya taifa anafeli vibaya.
Kama wanaonesha uwezo kila mechi kwanini Goli zao ni chache?makabi leppo, mailula wanakuonesha uwezo kila mechi wanayo cheza chama anasubiri mechi ya kibonde ndo aoneshe uwezo hawa watu huwezi walinganisha kamwe
Ningependa simba akutane na mamelody ninauhakika atapita kuliko kukutana na muarabu wa direct footballWatasema, "Pamoja na kuwa wameingia robo fainali, Simba hawawezi kushinda mbele ya Mamelodi, uchezaji wao ni wa kubahatisha"
Maneno hayo watayarudia kwa hatua ya nusu fainali na pia kwa fainali.😀
Kwa kweliiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Manara alishasema mzee kikwete na baba ake tu ndo zipo kichwani pale Salamander
Wamejaa tele CAF isipokuwa siku zote nyani huwa haoni kundule [emoji38]Wachezaji wamchongo wapo shirikisho mzee
UMRI ndiyo sababu, hata huyo Chama anatamani sana arudi kule kwa Waarabu kwenye mahela mengi mengi lakini kimaisha akili inataka ila mwili hautaki.Gerrad Pique alienda United akafeli ,Hazard kafeli Madrid ,Robben alifeli Chelsea Ina maana sio wachezaji bora ?
Kwamba Washabiki wa Simba ni Mbumbumbu au? [emoji16]Manara alishasema
Unajifanya kujitoa akili eeeChama ni Mama? Daaaah [emoji23]
Sent from my CPH2387