Chama, mchezaji wa game ndogo anapowafunika Lilepo na Shelulile

Chama, mchezaji wa game ndogo anapowafunika Lilepo na Shelulile

Bero hapa utabishana na vurya wenye akili kama kimburu..kama Chama kacheza na timu ndogo hebu mtu mmoja anijibu haya maswali systematically bila kupindisha kwa kuweka maneno mengi:
1.Vipers ni wabovu? Walimfanya nini chura kwenye siku zake na walimtoa nani wakafika kilabu bingwa makundi?

2.Leteni msimamo wa point kwenye caf rankings za Horoya na hizo timu zenu!

3.Mamelodi wamecheza na cotton sport na huyo Shalulile akiwemo lakini kashindwa kupiga hat-trick au leteni ranking za Horoya na cotton za caf then mtwambie mbovu zaidi ni nani?

4.Mechi ya kufuzu ya Raja walikua nyumbani walicheza na Horoya walipata goli 2 kwa taabu sana na ile ya away wakashinda 3 baada ya red card! Na kuna madada yalicheza na Monaster away kwenye ligi ya vinonde yakamiliki mchezo bado yakatobolewa sijui mbovu ni nani hapo??

5.Chama na Simba ni Mbovu wamefikaje robo kilabu bingwa kama wawakilishi pekee wa Tanzania wakati simba haikubeba ubingwa wa NBC? Huyo bingwa mbona hayupo makundi kilabu bingwa???

N.B: ukienda chooni jitahidi kujisafisha usiache kinye,,,harufu kali sana hiyo hata raisi wa TFF alishindwa kuvumilia,,,,[emoji16][emoji851]
Yani hakuna mwenye jibu...
Hapa watakuja na takataka tuu sio majibu..
 
Bero hapa utabishana na vurya wenye akili kama kimburu..kama Chama kacheza na timu ndogo hebu mtu mmoja anijibu haya maswali systematically bila kupindisha kwa kuweka maneno mengi:
1.Vipers ni wabovu? Walimfanya nini chura kwenye siku zake na walimtoa nani wakafika kilabu bingwa makundi?

2.Leteni msimamo wa point kwenye caf rankings za Horoya na hizo timu zenu!

3.Mamelodi wamecheza na cotton sport na huyo Shalulile akiwemo lakini kashindwa kupiga hat-trick au leteni ranking za Horoya na cotton za caf then mtwambie mbovu zaidi ni nani?

4.Mechi ya kufuzu ya Raja walikua nyumbani walicheza na Horoya walipata goli 2 kwa taabu sana na ile ya away wakashinda 3 baada ya red card! Na kuna madada yalicheza na Monaster away kwenye ligi ya vinonde yakamiliki mchezo bado yakatobolewa sijui mbovu ni nani hapo??

5.Chama na Simba ni Mbovu wamefikaje robo kilabu bingwa kama wawakilishi pekee wa Tanzania wakati simba haikubeba ubingwa wa NBC? Huyo bingwa mbona hayupo makundi kilabu bingwa???

N.B: ukienda chooni jitahidi kujisafisha usiache kinye,,,harufu kali sana hiyo hata raisi wa TFF alishindwa kuvumilia,,,,[emoji16][emoji851]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
UMRI ndiyo sababu, hata huyo Chama anatamani sana arudi kule kwa Waarabu kwenye mahela mengi mengi lakini kimaisha akili inataka ila mwili hautaki.

Kasi za mikimbio ya Waarabu unazielewa vizuri?

Usiponielewa na hapa pia, hatuingizi pesa zozote katika mada hii, umeshinda.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Enhee kwahiyo hoja yako ni nini haswa ?maana bado sijakuelewa hata mimi.
 
yaani mchezaji anaye kutana na vibonde vipers na horoya anafananishwa na wachezaji wanao kutana na mamelod, al hilal,

chama ni mchezaji mdogo na itabaki hivyo, kupata vigoli vi 3 kwenye timu iliyo susa mchezo haimfanyi kuwa mchezaji wa maana

aliwahi nunuliwa kwa hela ndefu alipoenda huko ikawa upuuzi mtupu.
Agiza maembe mabichi utajikuta na mimba ya chuki za kike
 
Hiyo ndo list ya watu wanaojua soka,kama mchezaji wako hayuko hapo HAJUI SOKA
 
yaani mchezaji anaye kutana na vibonde vipers na horoya anafananishwa na wachezaji wanao kutana na mamelod, al hilal,

chama ni mchezaji mdogo na itabaki hivyo, kupata vigoli vi 3 kwenye timu iliyo susa mchezo haimfanyi kuwa mchezaji wa maana

aliwahi nunuliwa kwa hela ndefu alipoenda huko ikawa upuuzi mtupu.
Hasira hasara,utakuja pasua simu bure,simu yenyewe tekno ya promosheni
 
Makolokolo anatisha kwa kuwa msindikizaji bora pasipo na kombe lolote?

Huyo Chama aliye bora alichemka vipi kwa Waarabu Raja Casablanca?

Kwanini aliachwa na klabu ya Waarabu akarudishwa huku umbumbumbuni?

Next match utamkataa huyu huyu Mchezaji wenu bora wa mchongo, tuombe uzima nimekaa pale [emoji117][emoji144]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Ila kinyesi fc mna hasira na chama hivi kwanini???[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]au kuongoza lisf ya top scorers ni dhambi??haya basi mumsamehe jamani
 
kwa akili yako unataka sema chama n bora kuliko makabi lepo na shelulile

una umwa wewe
Usichojua ni kwamba chama ni kiungo na hao wengine ni ma fowadi,so hawawezi fanana ila jwa kuwa chama ni bora anafanya kazi ambayo wao wenye jukumu lao la kwanza wameshindwa kufanya.by the way nyie mkajadili kombe lenu kule huku tuachieni wakubwa
 
Usichojua ni kwamba chama ni kiungo na hao wengine ni ma fowadi,so hawawezi fanana ila jwa kuwa chama ni bora anafanya kazi ambayo wao wenye jukumu lao la kwanza wameshindwa kufanya.by the way nyie mkajadili kombe lenu kule huku tuachieni wakubwa
sasa aliye shindwa jukumu ni nani
boko, baleke, phiri, ama hao kina makabi leppo

chama kabahatisha vigoli 3 kwa timu ya hovyo, hao wanafunga timu za maana bado wataka walinganishwe
 
Raja aliifunga Horoya nje ndani,Simba imeifunga Horoya iliyojikatia tamaa kutokana na mwenendo mbovu wa matokeo na ufinyu wa nafasi ya wao kusonga mbele,kama Raja ingekutana na Horoya hii iliyojikatia tamaa ktk mizunguko hii ya mwishoni basi Horoya ingefungwa hata goli 10+.
Ushindi wa Simba kwa Horoya ni kama binti mrembo aliyedengua kuolewa akiwa 20's,anapofikisha 30-35 hapo hubebwa na yoyote tu.
Mwisho usimfie baba yako anakimbia sana,angalia na anayekimbia nae[emoji38][emoji38][emoji38]
Angeshinda mechi ya Simba na Vipers nyumbani alikuwa hana nafasi ya kwenda robo fainali?

Wewe kweli sio mwanamichezo ni shabiki andazi. Horoya angeshinda mechi dhidi ya Simba manake angekuwa na point 7 then anaenda kumalizia mchezo wa mwisho na Vipers ambapo angeshinda anakuwa na points 10.
 
Back
Top Bottom