Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utapata kiharusi mkuumakabi leppo, mailula wanakuonesha uwezo kila mechi wanayo cheza chama anasubiri mechi ya kibonde ndo aoneshe uwezo hawa watu huwezi walinganisha kamwe
Hiyo Horoya uitayo mbovu Raja aliifunga ngapi?Tactically,sijaona simba ikiwa kwenye form yake,Simba imekutana na Horoya mbovu,kwa uchezaji ule wa Horoya hata wangakuwa Ihefu wangepata goli zaidi ya 3.
Hatua inayofuata ndio mwisho wa Simba (siyo kwa ubaya),sioni ikifurukuta huko mbele,naiona aibu kubwa kwa taifa ikiwa jirani.
#save my post
Raja aliifunga Horoya nje ndani,Simba imeifunga Horoya iliyojikatia tamaa kutokana na mwenendo mbovu wa matokeo na ufinyu wa nafasi ya wao kusonga mbele,kama Raja ingekutana na Horoya hii iliyojikatia tamaa ktk mizunguko hii ya mwishoni basi Horoya ingefungwa hata goli 10+.Hiyo Horoya uitayo mbovu Raja aliifunga ngapi?
VIpers 0 SeMBe 1Hiyo Horoya uitayo mbovu Raja aliifunga ngapi?
Ranking za CAF hazitengenezwi kwa performance ya msimu mmoja.We unayesema Horoya vibonde ni chizi. Kaangalie ranking za CAF
Huo uchezaji wa hovyo umewapeleka robo fainali.kwamba unataka sema inacheza vizuri, ni tishio
simba ni mbovu, ina cheza hovyo huu ndo ukweli
Kwa nature ya game ya jana,na Horoya ilivyocheza,napata ukakasi sana kuiona Simba ni bora,na kama tutajiaminisha hvyo tutakuja kulia kilio cha kwi kwi cku si nyingi.VIpers 0 SeMBe 1
VIpers 1 Raja 1
Kwa hoja yako Raja ni mbovu kuliko SeMBe
Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
Mstari wa mwisho umeonyesha rangi yako halisi. Kufa na utopolo wakoRanking za CAF hazitengenezwi kwa performance ya msimu mmoja.
Kuwa ranking ya juu kulitokana na ubora wa miaka ya nyuma.
The same to SeMBe.
Chama sio mchezaji wa mechi ndogo ndogo mfano vs yanga ligi kuu bara, chama ni level za kimataifaView attachment 2557284
View attachment 2557300
Huyo ndiyo triple C Mwamba wa Lusaka, akionyesha vitu kwa vitendo.
Amesemekana sana ni mchezaji wa mechi ndogo. Ilivuka mipaka mpaka wachambuzi wa soka waliamua kuweka unazi na kumkosea heshima Mwamba.
Mwamba anasomeka kama mfungaji bora wa ligi, juzi tu hapa aliidhinishwa kama mchezaji bora wa wiki.
Mchezaji wa game ndogo anaweza kuwafunika waarabu wooote na timu zao? Mchezaji wa mechi ndogo anaweza kuwafunika wabrazili wote wa Petro Luanda na Mamelody? Anawezaji kuwafunika wachezaji wanaosajiliwa kwa mabilioni huko Uarabuni?
Nakumbuka huu mjadala tulishaufunga, lakini kwa sababu bado kuna vijimaneno, inabidi tupige bomu la nyuklia kusambaza kila kitu.
Kujeni tena mseme Mwamba ni mchezaji wa game ndogo.
hata wangefika fainali chama anabaki mchezaji wa hovyo mbele ya lilepo na shulilleHuo uchezaji wa hovyo umewapeleka robo fainali.
kabisa na kimataifa ni vs horoya na vipersChama sio mchezaji wa mechi ndogo ndogo mfano vs yanga ligi kuu bara, chama ni level za kimataifa
Chama hajawahi kuwa 1st class,Africa tuna 3 levels za players chama ni mchezaji wa daraja la 2,hyo 1st class alishindwa kui-prove Uarabuni.Chama sio mchezaji wa mechi ndogo ndogo mfano vs yanga ligi kuu bara, chama ni level za kimataifa
upate kiharusi kwa simba kushinda kwa vipers, horoya daaah itakuwa jambo la ajabuUtapata kiharusi mkuu
ondoa yanga hapo weka ihefuChama hajawahi kuwa 1st class,Africa tuna 3 levels za players chama ni mchezaji wa daraja la 2,hyo 1st class alishindwa kui-prove Uarabuni.
Ni mchezaji maji kupwa maji kujaa,hana consistence kwenye game kubwa kubwa.
Wachezaji daraja la chama ndio hawa tuliowajaza Simba,Yanga na Azam
Raja aliifunga Horoya nje ndani,Simba imeifunga Horoya iliyojikatia tamaa kutokana na mwenendo mbovu wa matokeo na ufinyu wa nafasi ya wao kusonga mbele,kama Raja ingekutana na Horoya hii iliyojikatia tamaa ktk mizunguko hii ya mwishoni basi Horoya ingefungwa hata goli 10+.
Ushindi wa Simba kwa Horoya ni kama binti mrembo aliyedengua kuolewa akiwa 20's,anapofikisha 30-35 hapo hubebwa na yoyote tu.
Mwisho usimfie baba yako anakimbia sana,angalia na anayekimbia nae[emoji38][emoji38][emoji38]