Chama, mchezaji wa game ndogo anapowafunika Lilepo na Shelulile

Chama, mchezaji wa game ndogo anapowafunika Lilepo na Shelulile

Tactically,sijaona simba ikiwa kwenye form yake,Simba imekutana na Horoya mbovu,kwa uchezaji ule wa Horoya hata wangakuwa Ihefu wangepata goli zaidi ya 3.
Hatua inayofuata ndio mwisho wa Simba (siyo kwa ubaya),sioni ikifurukuta huko mbele,naiona aibu kubwa kwa taifa ikiwa jirani.
#save my post
 
Tactically,sijaona simba ikiwa kwenye form yake,Simba imekutana na Horoya mbovu,kwa uchezaji ule wa Horoya hata wangakuwa Ihefu wangepata goli zaidi ya 3.
Hatua inayofuata ndio mwisho wa Simba (siyo kwa ubaya),sioni ikifurukuta huko mbele,naiona aibu kubwa kwa taifa ikiwa jirani.
#save my post
Hiyo Horoya uitayo mbovu Raja aliifunga ngapi?
 
Hiyo Horoya uitayo mbovu Raja aliifunga ngapi?
Raja aliifunga Horoya nje ndani,Simba imeifunga Horoya iliyojikatia tamaa kutokana na mwenendo mbovu wa matokeo na ufinyu wa nafasi ya wao kusonga mbele,kama Raja ingekutana na Horoya hii iliyojikatia tamaa ktk mizunguko hii ya mwishoni basi Horoya ingefungwa hata goli 10+.
Ushindi wa Simba kwa Horoya ni kama binti mrembo aliyedengua kuolewa akiwa 20's,anapofikisha 30-35 hapo hubebwa na yoyote tu.
Mwisho usimfie baba yako anakimbia sana,angalia na anayekimbia nae[emoji38][emoji38][emoji38]
 
VIpers 0 SeMBe 1
VIpers 1 Raja 1
Kwa hoja yako Raja ni mbovu kuliko SeMBe



Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
Kwa nature ya game ya jana,na Horoya ilivyocheza,napata ukakasi sana kuiona Simba ni bora,na kama tutajiaminisha hvyo tutakuja kulia kilio cha kwi kwi cku si nyingi.
Hii Simba ni mbovu,ni basi tu jana mponzani alikuwa na mazonge yake...
 
View attachment 2557284

View attachment 2557300

Huyo ndiyo triple C Mwamba wa Lusaka, akionyesha vitu kwa vitendo.

Amesemekana sana ni mchezaji wa mechi ndogo. Ilivuka mipaka mpaka wachambuzi wa soka waliamua kuweka unazi na kumkosea heshima Mwamba.
Mwamba anasomeka kama mfungaji bora wa ligi, juzi tu hapa aliidhinishwa kama mchezaji bora wa wiki.
Mchezaji wa game ndogo anaweza kuwafunika waarabu wooote na timu zao? Mchezaji wa mechi ndogo anaweza kuwafunika wabrazili wote wa Petro Luanda na Mamelody? Anawezaji kuwafunika wachezaji wanaosajiliwa kwa mabilioni huko Uarabuni?

Nakumbuka huu mjadala tulishaufunga, lakini kwa sababu bado kuna vijimaneno, inabidi tupige bomu la nyuklia kusambaza kila kitu.

Kujeni tena mseme Mwamba ni mchezaji wa game ndogo.
Chama sio mchezaji wa mechi ndogo ndogo mfano vs yanga ligi kuu bara, chama ni level za kimataifa
 
Chama sio mchezaji wa mechi ndogo ndogo mfano vs yanga ligi kuu bara, chama ni level za kimataifa
Chama hajawahi kuwa 1st class,Africa tuna 3 levels za players chama ni mchezaji wa daraja la 2,hyo 1st class alishindwa kui-prove Uarabuni.
Ni mchezaji maji kupwa maji kujaa,hana consistence kwenye game kubwa kubwa.
Wachezaji daraja la chama ndio hawa tuliowajaza Simba,Yanga na Azam
 
Chama hajawahi kuwa 1st class,Africa tuna 3 levels za players chama ni mchezaji wa daraja la 2,hyo 1st class alishindwa kui-prove Uarabuni.
Ni mchezaji maji kupwa maji kujaa,hana consistence kwenye game kubwa kubwa.
Wachezaji daraja la chama ndio hawa tuliowajaza Simba,Yanga na Azam
ondoa yanga hapo weka ihefu
 
Raja aliifunga Horoya nje ndani,Simba imeifunga Horoya iliyojikatia tamaa kutokana na mwenendo mbovu wa matokeo na ufinyu wa nafasi ya wao kusonga mbele,kama Raja ingekutana na Horoya hii iliyojikatia tamaa ktk mizunguko hii ya mwishoni basi Horoya ingefungwa hata goli 10+.
Ushindi wa Simba kwa Horoya ni kama binti mrembo aliyedengua kuolewa akiwa 20's,anapofikisha 30-35 hapo hubebwa na yoyote tu.
Mwisho usimfie baba yako anakimbia sana,angalia na anayekimbia nae[emoji38][emoji38][emoji38]

Viper na Horoyo nani alipaswa awe amekata tamaa. Shirikisha akili yako na kuzisoma namba.
 
Back
Top Bottom