Chama ni mchezaji wa game ndogo

Umesema "kwako" sio "kwangu" wala "kwetu" tunaokubaliana na mawazo yako
 
Kiungo mwenye spidi ya konoko kwenye vi game vya mchongo utafutahi na shoo zake. Njoo kwenye game taff, Hans pope alisema atampiga na gongo na uchezaji wake wa mchongo.
Berkane tu alikosa hata namba ya kuingia kipindi Cha pili
 
Hao wote wanaokubishia ni Wachawi square tena kutoka katika familia zao
 
Nimeishia kusoma hapo kwa kaiza na pirates, nikajua sina sababu ya kuendelea tena kusoma.
 
Kiungo mwenye spidi ya konoko kwenye vi game vya mchongo utafutahi na shoo zake. Njoo kwenye game taff, Hans pope alisema atampiga na gongo na uchezaji wake wa mchongo.
Karia alikuwa sahihi kabisa kuwaambia utopolo vinyesi
 
Hakika ujinga wa uzeen lazma utakufa nao tu pole sana
 
Saf sana tatizo tunaendekeza ushabiki mandazi tunapenda mpira hatupend sokA
 
Ulisema ukweli mtupu.
 
Kwa hiyo Fei toto kacheza mechi zip ngumu? taja Tatu Tu, Af chama hakucheza Simba Vs Orlando maana hakua na sifa
 
Mshashiba mihogo basi akhaaa hamna mnalosema la maana[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…