Chama ni mchezaji wa game ndogo

Chama ni mchezaji wa game ndogo

Umesema "kwako" sio "kwangu" wala "kwetu" tunaokubaliana na mawazo yako
 
Refer Dabi za dsm au Simba vs Tp Mazembe au Game ya Simba na Kaiza au pirates alipoteana kabisa .

Haya, ngoja tuangalie hapa:

1662896157828.png
 
Kiungo mwenye spidi ya konoko kwenye vi game vya mchongo utafutahi na shoo zake. Njoo kwenye game taff, Hans pope alisema atampiga na gongo na uchezaji wake wa mchongo.
Berkane tu alikosa hata namba ya kuingia kipindi Cha pili
 
Hao wote wanaokubishia ni Wachawi square tena kutoka katika familia zao
 
Nimeishia kusoma hapo kwa kaiza na pirates, nikajua sina sababu ya kuendelea tena kusoma.
 
Kiungo mwenye spidi ya konoko kwenye vi game vya mchongo utafutahi na shoo zake. Njoo kwenye game taff, Hans pope alisema atampiga na gongo na uchezaji wake wa mchongo.
Karia alikuwa sahihi kabisa kuwaambia utopolo vinyesi
 
Hakika ujinga wa uzeen lazma utakufa nao tu pole sana
Chama anasifiwa kuwa Bora lakini ukifatilia kwa umakini ni mchezaji wa game ndogo hasa za ligi akiwa Lupaso na vijitimu kutoka Malawi na Zambia

Ukimleta kwenye game kubwa za njoo nije anapoteana kabisa.

Refer Dabi za dsm au Simba vs Tp Mazembe au Game ya Simba na Kaiza au pirates alipoteana kabisa .

Halafu wanamuita kiungo Bora wa Tanzania kwa game za wakina Mbeya kwanza na Dodoma jiji.

Kwangu mm kiungo Bora kwa Sasa ligi kuu ya Tanzania ni Fei Toto.

Ikibisha bisha Ila ndio ukweli. Povu lukusa kutoka kwa mbumbumbu fc[emoji2957]
 
1 chama aliyefunga bonge moja la goli kweny game na kaizer chief pale taifa

2 chama aliyewatesa FC platinum pale taifa kweny mech ya mtoano wa ligi ya mabigwa

3 chama.aliye wagalagaza mabeki wa as vital pale.kwa mkapa kweny game ya ligi
Ya mabigwa

4 chama aliyefunga bonge moja la goli kweny mech dhidi ya nkana pale taifa Simba akaenda kweny makundi ya ligi ya mabigwa

5 chama aliyefunga goli la ushindi kweny mechi na As vital pale taifa Simba akaenda kucheza robo fainali ya ligi ya mabigwa Kwa mara ya kwanza
Saf sana tatizo tunaendekeza ushabiki mandazi tunapenda mpira hatupend sokA
 
Chama anasifiwa kuwa Bora lakini ukifatilia kwa umakini ni mchezaji wa game ndogo hasa za ligi akiwa Lupaso na vijitimu kutoka Malawi na Zambia

Ukimleta kwenye game kubwa za njoo nije anapoteana kabisa.

Refer Dabi za dsm au Simba vs Tp Mazembe au Game ya Simba na Kaiza au pirates alipoteana kabisa .

Halafu wanamuita kiungo Bora wa Tanzania kwa game za wakina Mbeya kwanza na Dodoma jiji.

Kwangu mm kiungo Bora kwa Sasa ligi kuu ya Tanzania ni Fei Toto.

Ikibisha bisha Ila ndio ukweli. Povu lukusa kutoka kwa mbumbumbu fc🤪
Ulisema ukweli mtupu.
 
Chama anasifiwa kuwa Bora lakini ukifatilia kwa umakini ni mchezaji wa game ndogo hasa za ligi akiwa Lupaso na vijitimu kutoka Malawi na Zambia

Ukimleta kwenye game kubwa za njoo nije anapoteana kabisa.

Refer Dabi za dsm au Simba vs Tp Mazembe au Game ya Simba na Kaiza au pirates alipoteana kabisa .

Halafu wanamuita kiungo Bora wa Tanzania kwa game za wakina Mbeya kwanza na Dodoma jiji.

Kwangu mm kiungo Bora kwa Sasa ligi kuu ya Tanzania ni Fei Toto.

Ikibisha bisha Ila ndio ukweli. Povu lukusa kutoka kwa mbumbumbu fc[emoji2957]
Kwa hiyo Fei toto kacheza mechi zip ngumu? taja Tatu Tu, Af chama hakucheza Simba Vs Orlando maana hakua na sifa
 
Mshashiba mihogo basi akhaaa hamna mnalosema la maana[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom