Umu hakuna Energy yoyote unayotumia. Tumia Brain tu inatosha.Mkuu samahan nikuulize, wew ni mshabiki wa mpira au Yanga? Nisije nikapoteza energy bure.
Sio za CAF ni za kanisaniMngeeleza kuwa wanamzidi Chama hadi mahela.Nini medali?Hata watoto wanaopata komunio ya kwanza makanisani huvalishwa medali!
Sasa kanisani wanaijua CAF?Sio za CAF ni za kanisani
Jiulize mwenyewe ulie leta habari za kanisaniSasa kanisani wanaijua CAF?
Kusoma na kuelewa jambo unashindwa? Utopolo ni mazuzu sana.Jiulize mwenyewe ulie leta habari za kanisani
Sawa mamaKusoma na kuelewa jambo unashindwa? Utopolo ni mazuzu sana.
Sahihi.Mjomba ni mama vilevile.Sawa mama
NaUnga mkono hoja 👍Usimfananishe Aziz na vitu vya kipuuzi, Chama ana kimbia utafikiri ana kanyaga moto wakati Aziz amehama kwenye kucheza mpira ila anauchezea mpira anafanya sanaa (Art).
Ilibidi watu wasubiri mpaka saa 9 usiku kumshuhudia kiumbe akitambulishwa.
Aziz kwa umri na uwezo alionao kucheza Tanzania ni bahati kwa yanga ila nibahati mbaya kwa mchezaji.
Aziz bado hajaonyesha uwezo wake ila ni swala la muda tu, kunasiku watu wata vamia uwanja kwenda ku mbeba juu juu na kushangilia pamoja nae.
Inafaa upigwe vibokoAziz k anatumia nguvu nyingi ila chama akili nyingi
Mtaje mchezaji wa timu yako anaendana na soka unaloita la kisasa....Chama ni mchezaji mzuri kwa Simba, ila kwenye Soka la kisasa hapati nafasi kwakua linahitaji kasi na nguvu hasa eneo la ushambuliaji.
Ndio maana kule kwa waarabu alishindwa au kwenye timu ya Taifa uwa ana anzia bench.
Ata kocha wa Simba anampa nafasi kwasababu hana jinsi.
Hakuna kocha wa kisasa akampenda mchezaji mwenye spidi ya konokono.
Anavizia baadhi ya timu no consistency.[emoji3091]CHUNGUZA HII PICHA VIZURI
[emoji818]Baleke Na Ntibazonkiza Wamejikuta Wakiacha Majukumu Yao, Ya Kutafuta Open Spaces ili Wapokee Pass Kutoka Kwa Cloutus Chota Chama "Big brain Player", Assist midifielder, Well Impossed Midifielder, Mwamba Wa Lusaka Zambia na Kuanza Kushangaa Miujiza Ya Miguu yake Uwanjani.
[emoji818]Ikumbukwe Saidi Ntibazonkiza Aliwahi Nukuliwa Akisema "Amefurahi Sana Kusajiliwa Simba Sc Na Ndoto Yake Ya Kucheza Na Chama Imetimia"
[emoji818]Kuna Asilimia Kubwa Chama Akawa Ndio Kipenzi Cha Mashabiki Wengi Kutoka Timu Mbali mbali Tanzania Na Afrika.
[emoji818]Wanasaikologia Wa Soka Wanasema, Ukishampenda Mchezaji Mwenzako Kwa Kile Anachokifanya Kuna Asilimia Kubwa Sana Ukawa Unafanya Mokosa Na Kuruhusu Timu Yako Isifanye Vizuri Kwa Kushughulikia Kumtazama Uwanjani Badala Ya Kufanya Majukumu Yako.
[emoji288]Chama "Triple C" Ndie Roll Model Wa Kila Midifielder. Ndie kipimo Cha Midifielder Wengi Wajao NBC-PL
Imeandaliwa na jonas
View attachment 2760696
Magoli ya michuano ya CAF haya hesabiwi kwenye hizi stage za elimination huku hata ukifunga magoli mia hayana recordCHAMA BABA YAO.
MABAO mawili aliyofunga dhidi ya Power Dynamos huko Zambia, yamemfanya Clatous Chama azidi kuinyemelea rekodi ya kuwa mfungaji bora wa muda wote wa Ligi ya Mabingwa Afrika inayoshikiliwa na nyota za zamani wa TP Mazembe na DR Congo, Tresor Mputu.
Kwa kufunga katika mchezo huo uliochezwa Jumamosi iliyopita katika Uwanja wa Levy Mwanawasa jijini Ndola, Chama sasa amefikisha idadi ya mabao 20 ambayo amepachika katika mashindano hayo, akidaiwa mabao 19 ili aifikie rekodi ya Mputu na mabao 20 ili aivunje kabisa.
Chama ambaye alikuwa anashika nafasi ya 11, katika chati ya wafungaji bora wa muda wote wa mashindano hayo, kwa
Umepiga kwenye mshono kabisa.Tatizo mwisho wake ni NBC tu akienda hapo Morocco jasho na kamasi vinatoka kwa pamoja, amuige Msuva
Mbona akikutanao club bingwa anawabonda tu.Tatizo mwisho wake ni NBC tu akienda hapo Morocco jasho na kamasi vinatoka kwa pamoja, amuige Msuva
Hivi hao makocha wa kisasa hawataki assist na magoli? Uchambuzi gani huu wa ajabu. Unataka kubiambia Endrew Pilo na Babatov wangekuwa wanacheza hadi leo wangewekwa benchi na Rashford na Mctominey?Chama ni mchezaji mzuri kwa Simba, ila kwenye Soka la kisasa hapati nafasi kwakua linahitaji kasi na nguvu hasa eneo la ushambuliaji.
Ndio maana kule kwa waarabu alishindwa au kwenye timu ya Taifa uwa ana anzia bench.
Ata kocha wa Simba anampa nafasi kwasababu hana jinsi.
Hakuna kocha wa kisasa akampenda mchezaji mwenye spidi ya konokono.
Kwavile Kinyambe wenu (Tuisila Kisinda),yeye alimudu kukata misimu mingi hapo Berkane na baadae akaenda zake Uropa siyo?Tatizo mwisho wake ni NBC tu akienda hapo Morocco jasho na kamasi vinatoka kwa pamoja, amuige Msuva
Kwanini haunaga akili? hili swala si usha pewa maelezo?CHAMA BABA YAO.
MABAO mawili aliyofunga dhidi ya Power Dynamos huko Zambia, yamemfanya Clatous Chama azidi kuinyemelea rekodi ya kuwa mfungaji bora wa muda wote wa Ligi ya Mabingwa Afrika inayoshikiliwa na nyota za zamani wa TP Mazembe na DR Congo, Tresor Mputu.
Kwa kufunga katika mchezo huo uliochezwa Jumamosi iliyopita katika Uwanja wa Levy Mwanawasa jijini Ndola, Chama sasa amefikisha idadi ya mabao 20 ambayo amepachika katika mashindano hayo, akidaiwa mabao 19 ili aifikie rekodi ya Mputu na mabao 20 ili aivunje kabisa.
Chama ambaye alikuwa anashika nafasi ya 11, katika chati ya wafungaji bora wa muda wote wa mashindano hayo, kwa