Chama ni mchezaji wa kuigwa mpaka na wachezaji wenzake

Chama ni mchezaji wa kuigwa mpaka na wachezaji wenzake

Usimfananishe Aziz na vitu vya kipuuzi, Chama ana kimbia utafikiri ana kanyaga moto wakati Aziz amehama kwenye kucheza mpira ila anauchezea mpira anafanya sanaa (Art).
Ilibidi watu wasubiri mpaka saa 9 usiku kumshuhudia kiumbe akitambulishwa.
Aziz kwa umri na uwezo alionao kucheza Tanzania ni bahati kwa yanga ila nibahati mbaya kwa mchezaji.
Aziz bado hajaonyesha uwezo wake ila ni swala la muda tu, kunasiku watu wata vamia uwanja kwenda ku mbeba juu juu na kushangilia pamoja nae.
NaUnga mkono hoja 👍
 
Chama ni mchezaji mzuri kwa Simba, ila kwenye Soka la kisasa hapati nafasi kwakua linahitaji kasi na nguvu hasa eneo la ushambuliaji.

Ndio maana kule kwa waarabu alishindwa au kwenye timu ya Taifa uwa ana anzia bench.

Ata kocha wa Simba anampa nafasi kwasababu hana jinsi.
Hakuna kocha wa kisasa akampenda mchezaji mwenye spidi ya konokono.
Mtaje mchezaji wa timu yako anaendana na soka unaloita la kisasa....

Kama Chama haendani na soka la kisasa kwanini aitwe timu ya taifa?

Ni timu (Ngazi ya vilabu Africa) zipi unazozijua wewe zinacheza soka la kisasa kwa mifano ili tukuelewe vizuri?
 
CHAMA BABA YAO.


MABAO mawili aliyofunga dhidi ya Power Dynamos huko Zambia, yamemfanya Clatous Chama azidi kuinyemelea rekodi ya kuwa mfungaji bora wa muda wote wa Ligi ya Mabingwa Afrika inayoshikiliwa na nyota za zamani wa TP Mazembe na DR Congo, Tresor Mputu.

Kwa kufunga katika mchezo huo uliochezwa Jumamosi iliyopita katika Uwanja wa Levy Mwanawasa jijini Ndola, Chama sasa amefikisha idadi ya mabao 20 ambayo amepachika katika mashindano hayo, akidaiwa mabao 19 ili aifikie rekodi ya Mputu na mabao 20 ili aivunje kabisa.

Chama ambaye alikuwa anashika nafasi ya 11, katika chati ya wafungaji bora wa muda wote wa mashindano hayo, kwa
 
[emoji3091]CHUNGUZA HII PICHA VIZURI

[emoji818]Baleke Na Ntibazonkiza Wamejikuta Wakiacha Majukumu Yao, Ya Kutafuta Open Spaces ili Wapokee Pass Kutoka Kwa Cloutus Chota Chama "Big brain Player", Assist midifielder, Well Impossed Midifielder, Mwamba Wa Lusaka Zambia na Kuanza Kushangaa Miujiza Ya Miguu yake Uwanjani.

[emoji818]Ikumbukwe Saidi Ntibazonkiza Aliwahi Nukuliwa Akisema "Amefurahi Sana Kusajiliwa Simba Sc Na Ndoto Yake Ya Kucheza Na Chama Imetimia"

[emoji818]Kuna Asilimia Kubwa Chama Akawa Ndio Kipenzi Cha Mashabiki Wengi Kutoka Timu Mbali mbali Tanzania Na Afrika.

[emoji818]Wanasaikologia Wa Soka Wanasema, Ukishampenda Mchezaji Mwenzako Kwa Kile Anachokifanya Kuna Asilimia Kubwa Sana Ukawa Unafanya Mokosa Na Kuruhusu Timu Yako Isifanye Vizuri Kwa Kushughulikia Kumtazama Uwanjani Badala Ya Kufanya Majukumu Yako.

[emoji288]Chama "Triple C" Ndie Roll Model Wa Kila Midifielder. Ndie kipimo Cha Midifielder Wengi Wajao NBC-PL

Imeandaliwa na jonas
View attachment 2760696
Anavizia baadhi ya timu no consistency.
 
CHAMA BABA YAO.


MABAO mawili aliyofunga dhidi ya Power Dynamos huko Zambia, yamemfanya Clatous Chama azidi kuinyemelea rekodi ya kuwa mfungaji bora wa muda wote wa Ligi ya Mabingwa Afrika inayoshikiliwa na nyota za zamani wa TP Mazembe na DR Congo, Tresor Mputu.

Kwa kufunga katika mchezo huo uliochezwa Jumamosi iliyopita katika Uwanja wa Levy Mwanawasa jijini Ndola, Chama sasa amefikisha idadi ya mabao 20 ambayo amepachika katika mashindano hayo, akidaiwa mabao 19 ili aifikie rekodi ya Mputu na mabao 20 ili aivunje kabisa.

Chama ambaye alikuwa anashika nafasi ya 11, katika chati ya wafungaji bora wa muda wote wa mashindano hayo, kwa
Magoli ya michuano ya CAF haya hesabiwi kwenye hizi stage za elimination huku hata ukifunga magoli mia hayana record
 
Chama ni mchezaji mzuri kwa Simba, ila kwenye Soka la kisasa hapati nafasi kwakua linahitaji kasi na nguvu hasa eneo la ushambuliaji.

Ndio maana kule kwa waarabu alishindwa au kwenye timu ya Taifa uwa ana anzia bench.

Ata kocha wa Simba anampa nafasi kwasababu hana jinsi.
Hakuna kocha wa kisasa akampenda mchezaji mwenye spidi ya konokono.
Hivi hao makocha wa kisasa hawataki assist na magoli? Uchambuzi gani huu wa ajabu. Unataka kubiambia Endrew Pilo na Babatov wangekuwa wanacheza hadi leo wangewekwa benchi na Rashford na Mctominey?
 
CHAMA BABA YAO.


MABAO mawili aliyofunga dhidi ya Power Dynamos huko Zambia, yamemfanya Clatous Chama azidi kuinyemelea rekodi ya kuwa mfungaji bora wa muda wote wa Ligi ya Mabingwa Afrika inayoshikiliwa na nyota za zamani wa TP Mazembe na DR Congo, Tresor Mputu.

Kwa kufunga katika mchezo huo uliochezwa Jumamosi iliyopita katika Uwanja wa Levy Mwanawasa jijini Ndola, Chama sasa amefikisha idadi ya mabao 20 ambayo amepachika katika mashindano hayo, akidaiwa mabao 19 ili aifikie rekodi ya Mputu na mabao 20 ili aivunje kabisa.

Chama ambaye alikuwa anashika nafasi ya 11, katika chati ya wafungaji bora wa muda wote wa mashindano hayo, kwa
Kwanini haunaga akili? hili swala si usha pewa maelezo?
 
Back
Top Bottom