tanzania hakuna chama cha kikabila na udini kilichosajiliwa.CHADEMA ni kama CCM tu, kina wanachama wa kabila zote na dini zote, acha uchuroChiluba alifanya siku nyingi,na bado CCM inadunda tu,anzisheni chama kitachounganisha dini na makabila yote,siyo chama cha wachaga na wachungaji,hamtopata nchi ng'o
naona una reply kwa id zako mbili the same comment. Id mbili zote za nini humu?Chiluba alifanya siku nyingi,na bado CCM inadunda tu,anzisheni chama kitachounganisha dini na makabila yote,siyo chama cha wachaga na wachungaji,hamtopata nchi ng'o
Pigia msitari hapo. Bila wizi na kutumia majesho yetu kuiba uchaguzi hiki chama chepesi sana. We ona tu wanavyoibiana kwenye chaguzi zao za ndani, unadhani uchaguzi mkuu hali ikoje?Bongo ni kinacho webaba CCM ni wizi wa kura tu lakini nawambia kabisa CCM hawana uwezo wa kushinda kwa halali
Wakenya wanatuita sisi ni maiti eti! Waganda wako usingizini tuMwenyezi Mungu atujlie waja wake ili na sisi siku moja tuweze kuamka kutoka kwenye huu usingizi wa pono.
Siyo Afrika yote, kuambuka: Botswana Hakuna utawala wenye itikadi za siasa za kikomunisti/ ujamaa, Bali kuna siasa za mfumo wa ubepari sambamba kabisa na nchi ya Afrika ya Kusini na Namibia.Africa kumeanza kuchangamka.
Unamuambia nani sasa. Nani wa kukuanzishia kwanini wewe usianzishe tukuunge mkonoChiluba alifanya siku nyingi,na bado CCM inadunda tu,anzisheni chama kitachounganisha dini na makabila yote,siyo chama cha wachaga na wachungaji,hamtopata nchi ng'o
Masisi was too arrogant hata chama chake walikuwa hawamtaki ,anajiona anajua kioa kituInaripotiwa chama tawala cha BDP chini ya Rais Masisi nchini Botswana kimepoteza madaraka kwa Upinzani katika uchaguzi mkuu nchini humo na hatimaye kuhitimisha utawala wake wa miaka 60,
Hiyo itamfanya Masisi kuwa Rais wa kwanza kutawala kwa awamu moja tu baada ya kufurushwa na raia katika sanduku la kura.
----
Voters in Botswana have rejected the country’s long-serving governing party in a result that marks a political earthquake in the diamond-rich southern African nation.
The Botswana Democratic Party (BDP) – in power since independence in 1966 – has won only one parliamentary seat as of early Friday morning, early election results show.
President Mokgweetsi Masisi has accepted defeat, saying that it was clear his BDP party had lost "massively".
“I will respectfully step aside and participate in a smooth transition process ahead of inauguration,” Masisi said in a press conference on Friday.
Advertisement
He has urged his supporters to remain calm and rally behind the new government.
The Umbrella for Democratic Change (UDC), led by human rights lawyer Duma Boko, has won 25 seats, according to the early tallies.
The party looks set to form the government as it is projected to pass the 31-seat
The Botswana Patriotic Front (BPF), supported by former President Ian Khama, has secured five seats while the Botswana Congress Party (BCP) has so far won seven seats.
The three opposition parties have together won more than 31 of 61 parliamentary seats, meaning the BDP has no chance of winning a majority.
As MPs elect the president in Botswana, Boko is on course to become the next head of state once parliament meets for the first time.
UDC supporters have been celebrating in the capital Gaborone and other parts of the country.
Official results are expected to be announced by the Independent Electoral Commission later Friday.
Despite overseeing a dramatic change in Botswana, recent poor economic growth and high unemployment dented the BDP’s popularity.
Masisi – in office since 2018 – led the BDP’s failed campaign.
The president ran on a message that his party could bring about “change”, but not enough voters were convinced the BDP could do what was needed for the country.
Huyo anafanya kazi ikulu ya wapi si ni wale chawa wanao osha magari pale Lumumba.Ni kweli wewe si Unafanya kazi hapo ikulu na unatajirika kwa wizi wa mali?
Anavyoongea kwa hasida sasa utadhani Baba yake ndiye Rais😅😅Huyo anafanya kazi ikulu ya wapi si ni wale chawa wanao osha magari pale Lumumba.
Hata sisi watanzania hatuna umoja wala msimamo hata iweje hatuwezi kujitetea wala kusemea kile tunachoona hakina mslahi kwetu.Bongo ni kinacho webaba CCM ni wizi wa kura tu lakini nawambia kabisa CCM hawana uwezo wa kushinda kwa halali
True......kwenye mazingira Free and Fair hakuna chama kinaweza kujihakikisha kutawala kwa miongo kwani Binadamu wana tabia ya kuchoka na kuchokwa.Kipimo kikuu cha kujua uchaguzi huru na wa haki ni pale chama tawala kinaposhindwa kwenye uchaguzi lakini pale chama chochote kunapokuwa madarakani miaka nenda rudi ujue hapo hakuna uchaguzi.
Watz akishapata uhakika wa kula na kulala basi mambo mengine yoote kuhusu haki za wengine hajali tena.Hata sisi watanzania hatuna umoja wala msimamo hata iweje hatuwezi kujitetea wala kusemea kile tunachoona hakina mslahi kwetu.
Sisi tubakie hivyo hivyo kuandika vya wenzetu tu kwa sisi hakuna cha kujifunza wala uthubutu wa kijiamulia nini hatutaki nini tunataka.Inaripotiwa chama tawala cha BDP chini ya Rais Masisi nchini Botswana kimepoteza madaraka kwa Upinzani katika uchaguzi mkuu nchini humo na hatimaye kuhitimisha utawala wake wa miaka 60,
Hiyo itamfanya Masisi kuwa Rais wa kwanza kutawala kwa awamu moja tu baada ya kufurushwa na raia katika sanduku la kura.
----
Voters in Botswana have rejected the country’s long-serving governing party in a result that marks a political earthquake in the diamond-rich southern African nation.
The Botswana Democratic Party (BDP) – in power since independence in 1966 – has won only one parliamentary seat as of early Friday morning, early election results show.
President Mokgweetsi Masisi has accepted defeat, saying that it was clear his BDP party had lost "massively".
“I will respectfully step aside and participate in a smooth transition process ahead of inauguration,” Masisi said in a press conference on Friday.
Advertisement
He has urged his supporters to remain calm and rally behind the new government.
The Umbrella for Democratic Change (UDC), led by human rights lawyer Duma Boko, has won 25 seats, according to the early tallies.
The party looks set to form the government as it is projected to pass the 31-seat
The Botswana Patriotic Front (BPF), supported by former President Ian Khama, has secured five seats while the Botswana Congress Party (BCP) has so far won seven seats.
The three opposition parties have together won more than 31 of 61 parliamentary seats, meaning the BDP has no chance of winning a majority.
As MPs elect the president in Botswana, Boko is on course to become the next head of state once parliament meets for the first time.
UDC supporters have been celebrating in the capital Gaborone and other parts of the country.
Official results are expected to be announced by the Independent Electoral Commission later Friday.
Despite overseeing a dramatic change in Botswana, recent poor economic growth and high unemployment dented the BDP’s popularity.
Masisi – in office since 2018 – led the BDP’s failed campaign.
The president ran on a message that his party could bring about “change”, but not enough voters were convinced the BDP could do what was needed for the country.
Noo kinahowabeba ni wananchi ambao wamelala. They ignore masuala muhimu na kudandia mambo ya hovyo, ktk hilo ccm imefanikiwa sanaBongo ni kinacho webaba CCM ni wizi wa kura tu lakini nawambia kabisa CCM hawana uwezo wa kushinda kwa halali