Chama tawala chini ya Masisi chapoteza madaraka katika uchaguzi Botswana baada ya miaka 58

Chama tawala chini ya Masisi chapoteza madaraka katika uchaguzi Botswana baada ya miaka 58

Attachments

  • Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1.png
    Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1.png
    420.8 KB · Views: 1
Chama Cha Mashangazi kijiandae kisaikolojia
CCM haiwezi kuondoka kwa kutegemea historia ya vyama vingine, CCM itaondoka watanzania wakiamua Kwa dhati.
"Wakati tulipokubali mfumo wa vyama vingi, CCM tulihakikisha kwamba hatushindwi."

Ali Hassan Mwingi, aliyekuwa Rais wa Pili wa Tanzania.

NB: Fanya tafakuri ya kina kabisa kuhusu neno "hatushindwi."
 
CCM haiwezi kuondoka kwa kutegemea historia ya vyama vingine, CCM itaondoka watanzania wakiamua Kwa dhati.
Katika dunia ya leo ustaarabu kama huo bado uko mbali sana hapa kwetu Tanzania. Katika siasa Tanzania bado tupo karne ya ishirini.

Amini usiamini hapa kwetu CCM ina hati miliki ya funguo za masanduku ya kura na iko tayari kuulinda umiliki huo hata kwa mtutu wa bunduki.
 
Actually,
upinzani nchini Tanzania hufanya kazi nzuri zaidi mathalani ya kususa kujiandikisha kupiga kura kwa mfano halisi kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa, halafu baadae zikitolewa takwimu za jumla ya idadi ya waliojiandikisha, wapinzani hao hao ambao hawajajiandikisha hujitokeza kupinga kwa makelele na mayowe mengine sana takwimu hizo🤣

mbaya zaidi,
pamoja na kwamba hawajajiandikisha hata kwenye daftari la wapiga kura kwajili ya uchaguzi mkuu, hujitokeza kwa makelele mengi sana kwenye kampeni japo huwaga hawana sera za kuwavutia wananchi na wapiga kura wengi.

Matokeo yakitoka huwa wanasusa na kuzira, sasa sijui huwa wanategemea muujiza gani 🤣
 
Actually,
upinzani nchini Tanzania hufanya kazi nzuri zaidi mathalani ya kususa kujiandikisha kupiga kura kwa mfano halisi kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa, halafu baadae zikitolewa takwimu za jumla ya idadi ya waliojiandikisha, wapinzani hao hao ambao hawajajiandikisha hujitokeza kupinga kwa makelele na mayowe mengine sana takwimu hizo🤣

mbaya zaidi,
pamoja na kwamba hawajajiandikisha hata kwenye daftari la wapiga kura kwajili ya uchaguzi mkuu, hujitokeza kwa makelele mengi sana kwenye kampeni japo huwaga hawana sera za kuwavutia wananchi na wapiga kura wengi.

Matokeo yakitoka huwa wanasusa na kuzira, sasa sijui huwa wanategemea muujiza gani 🤣

Post #5 haiwahusu ma aunt?
 
MiCCM imefanikiwa kuwafundisha FRELIMO kuiba kura na sasa rais aliyepita wananchi wa Msumbiji hawamtaki. Huku Botwsana janja janja ya CCM imefua dafu maana wanajifanyaga wana urafiki na vyama vikongwe kiutawala
 
Chama dola kongwe cha Tanzania kijitayarishe, wanae Mizengo Peter Pinda

Botswana


MHESHIMIWA PINDA AKUTANA NA KATIBU MTENDAJI WA SADC JIJINI GABORONE​

23 Oct 2024
Mkuu wa Missoni ya Uangalizi wa Uchaguzi ya Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Africa (SADC-SEOM) Mhe. Mizengo Pinda (kulia) akisalimiana na Katibu Mtendaji wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) Mhe. Elias Magosi walipokutana jijini Gaborone, Botswana, kushoto ni Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Said Shaib Mussa.
 
Back
Top Bottom