Chama tawala chini ya Masisi chapoteza madaraka katika uchaguzi Botswana baada ya miaka 58

Chama tawala chini ya Masisi chapoteza madaraka katika uchaguzi Botswana baada ya miaka 58

Toka maktaba : CCM mlimpeleka ujumbe mzito kujifunza

Oktoba 2024.​


Ujumbe wa Waangalizi wa Uchaguzi wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) kwenye Uchaguzi Mkuu wa Botswana umezinduliwa rasmi leo tarehe 22 Oktoba 2024 na Mheshimiwa Mizengo Kayanza Peter Pinda, Waziri Mkuu wa zamani wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Balozi wa Tanzania nchini humo. HoM) kwa Ujumbe wa Waangalizi wa Uchaguzi wa SADC (SEOM) kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa Botswana. Hafla hiyo ilifanyika katika hoteli ya Avani mjini Gaborone, Botswana.

Jamhuri ya Botswana imeratibiwa kufanya uchaguzi tarehe 30 Oktoba 2024.


Mheshimiwa Elias Mpedi Magosi, Katibu Mtendaji wa SADC aliambatana na Mkuu wa Mabalozi na kuhudhuria kikao hicho. Hafla hiyo pia iliheshimiwa kwa uwepo wa wadau mbalimbali wakiwemo; wakuu wa ujumbe wa kidiplomasia , maafisa wa serikali, wajumbe wa SADC Organ Troika kuhusu siasa, ulinzi na usalama ushirikiano , Baraza la Ushauri la Uchaguzi la SADC, Tume Huru ya Uchaguzi ya Botswana, vyama vya siasa, makundi ya kidini, Asasi za Kiraia , wawakilishi wa Jumuiya ya Kimataifa. ujumbe wa waangalizi wa uchaguzi, waangalizi wa uchaguzi wa SADC na vyombo vya habari .


Uchaguzi Mkuu ujao nchini Botswana utakuwa na jukumu muhimu katika kuchagua Bunge la 13 la nchi hiyo na mabaraza ya mitaa kote nchini. Jumla ya viti 61 katika Bunge la Kitaifa na viti 609 vya udiwani vitashindaniwa, vyote vitaamuliwa kupitia mfumo wa upigaji kura wa baada ya mwisho.

Taarifa ya uzinduzi imeambatanishwa
 
Upinzaji umeshafanya kazi kubwa ni swala tu la watu watanzania wengi kupenda kufatilia mambo yasiyo na tija
Hilo ndio tatizo la wengi
Watu wanakubali kuwekewa soko upande mmoja halafu hapo hapo kuna Dampo la taka na wanacheka tu
Hii nimeiona leo humu
Lingine vijana kila leo wanasema maisha magumu ilahali wanapoteza mda kwenye betting na mipira
Inasikitisha sana
 
View attachment 3140467
Vyama vya Upinzani vimefanikiwa kukiondoa Chama Tawala cha BDP kilichotawala nchi hiyo kwa miaka 58 kuanzia mwaka 1966, ingawa awali kilitarajiwa kingeshinda Uchaguzi huo.

Chama kikuu cha upinzani cha Umbrella for Democratic Change (UDC) kimeongoza kwa kiasi kikubwa katika matokeo hayo na kumfanya kiongozi wake, Duma Boko kuwa na nafasi ya kutangazwa kuwa Rais mpya akiwa amegombea kwa awamu tatu tofauti.

Kwa mujibu wa Katiba ya Botswana, ili chama kiweze kutoa nafasi ya Urais, kinatakiwa kupata Viti 31 vya Wabunge kati ya 61, pia kitaweza kuteua Mwanasheria Mkuu wa Serikali katika nchi hiyo yenye takriban raia Milioni 2.5.



Botswana’s President Mokgweetsi Masisi conceded defeat in the general election Friday, in a seismic moment of change for the country that ended the ruling party’s 58 years in power since independence from Britain in the 1960s.

Masisi’s concession came before final results were announced, with his Botswana Democratic Party trailing in fourth place in the parliamentary elections in what appeared to be a humbling rejection by voters and a landslide victory for the main opposition party.

The opposition Umbrella for Democratic Change held an overwhelming lead in the partial results, making its candidate, Duma Boko, the favorite to become president of a southern African country that is one of the world’s biggest producers of mined diamonds.

Masisi said he had called Boko to inform him he was conceding defeat and said that Boko was now effectively the president-elect.

Final results were expected to be announced later Friday, but the BDP had no path to a majority.

“I concede the election,” Masisi said in an early-morning press conference two days after the vote. “I am proud of our democratic processes. Although I wanted a second term, I will respectfully step aside and participate in a smooth transition process.”

Over 50 countries go to the polls in 2024

The year will test even the most robust democracies. Read more on what’s to come here.
Take a look at the 25 places where a change in leadership could resonate around the world.
Keep track of the latest AP elections coverage from around the world here.
Masisi’s BDP dominated politics in Botswana for nearly six decades, since independence in 1966. The nation of just 2.5 million people will now be governed by another party for the first time in its democratic history.


So far, the Umbrella for Democratic Change has won 25 out of the 61 parliamentary seats decided by voters, according to the official partial count. It needs 31 to clinch a majority. The Botswana Congress Party has seven seats, the Botswana Patriotic Front five seats, and the ruling BDP just three.

“We lost this election massively,” Masisi said.

Botswana has been held up as one of Africa’s most stable democracies and is regarded as a post-colonial success story having built one of the highest standards of living in the region through an economy that largely relies on diamonds. Botswana is the world’s second biggest natural diamond producer behind Russia and has been responsible for all the biggest diamonds found in the last decade.

But Botswana faces new challenges and the mood for change became evident as a downturn in the global demand for diamonds badly impacted the economy, becoming the central issue for the campaign.

Unemployment rose to more than 27% this year, and significantly higher for young people, as the government saw a sharp decrease in revenue from diamonds. Masisi and his party had faced criticism for not having done enough to diversify the economy and the nation has been forced to adopt recent austerity measures.

Even the BDP conceded throughout its campaign that policy change was needed and tried to convince voters it was capable of leading the country out of its economic troubles. Diamonds account for more than 80% of Botswana’s exports and a quarter of its GDP, according to the World Bank.

Masisi said the country had hardly sold any diamonds since April through its Debswana company, which the government jointly owns with diamond miner De Beers.

Botswana’s general elections decide the makeup of its Parliament, and lawmakers then choose the president. The party that gains a majority is in position to choose its candidate as president. All five of Botswana’s post-independence presidents have been from the BDP.

Boko is a 54-year-old lawyer and Harvard Law School graduate who also ran in 2014 and 2019. He posted on his official page on X: “Botswana First” with a picture of a UDC campaign poster with the words “Change is Here.”

The BDP was one of the longest-serving parties in Africa still in power and its sharp defeat came as a surprise after what was expected to be a tight race. It followed an equally momentous change in neighboring South Africa, where the long-ruling African National Congress lost its 30-year majority in an election in May and was forced to share power for the first time in a coalition government.

Masisi, a 63-year-old former high school teacher and UNICEF employee, said he had not expected the results and had “not packed a shoe.”
Demokrasia imeng'ara ...
 
Hawa wakoloni wetu weusi wameapa hawatoachia madaraka hata wakishindwa kwenye sanduku la kura hii maana yake hawatokubali kuachia madaraka kwa njia ya amani! Hawa watu ni hatari sana na tena tunajuta kuwafahamu.
 
Inaripotiwa chama tawala cha BDP chini ya Rais Masisi nchini Botswana kimepoteza madaraka kwa Upinzani katika uchaguzi mkuu nchini humo na hatimaye kuhitimisha utawala wake wa miaka 60,

Hiyo itamfanya Masisi kuwa Rais wa kwanza kutawala kwa awamu moja tu baada ya kufurushwa na raia katika sanduku la kura.

----
Voters in Botswana have rejected the country’s long-serving governing party in a result that marks a political earthquake in the diamond-rich southern African nation.

The Botswana Democratic Party (BDP) – in power since independence in 1966 – has won only one parliamentary seat as of early Friday morning, early election results show.

President Mokgweetsi Masisi has accepted defeat, saying that it was clear his BDP party had lost "massively".

“I will respectfully step aside and participate in a smooth transition process ahead of inauguration,” Masisi said in a press conference on Friday.
Advertisement

He has urged his supporters to remain calm and rally behind the new government.

The Umbrella for Democratic Change (UDC), led by human rights lawyer Duma Boko, has won 25 seats, according to the early tallies.

The party looks set to form the government as it is projected to pass the 31-seat

The Botswana Patriotic Front (BPF), supported by former President Ian Khama, has secured five seats while the Botswana Congress Party (BCP) has so far won seven seats.

The three opposition parties have together won more than 31 of 61 parliamentary seats, meaning the BDP has no chance of winning a majority.

As MPs elect the president in Botswana, Boko is on course to become the next head of state once parliament meets for the first time.

UDC supporters have been celebrating in the capital Gaborone and other parts of the country.

Official results are expected to be announced by the Independent Electoral Commission later Friday.

Despite overseeing a dramatic change in Botswana, recent poor economic growth and high unemployment dented the BDP’s popularity.

Masisi – in office since 2018 – led the BDP’s failed campaign.

The president ran on a message that his party could bring about “change”, but not enough voters were convinced the BDP could do what was needed for the country.
Bongo bado tunaile hali ya uwoga na ubinafsi, tukipona eneo hilo wizi wa kura na udikteta utaisha.
 
FRELIMO nayo ilitakiwa ifurushwe ili bongo nayo ione kumbe inawezekana kuipumzisha ccm iliyotawala muda mrefu nayo ikatolewa kwa heshima kutumia sanduku la kura. BDP imeonesha njia, ikajipange huenda ikarudi tena uchaguzi ujao
BDP irudi kufanya nini? Ndio imetoka hivyo. Hakuna kurudi tena. Ndio maana vyama vingi vilivyoleta uhuru vimebaki kusaidiwa na state machinery as vinajua vikitoka vimetoka
 
Ata hao wanaopata mabadiliko kuna ambao walikua na akili zakijinga kama zako.muda wa mabadiliko ukifika umefika.Huna uwezo wakuzuia ata kama utakua na chuki kiasi gani.
Wakati wa kupanda,wakati wa kuvuna,wakati baridi,wakati wa Jua,wakati kulia wakati wa kucheka,kila jambo kwa wakati Wake hata wasiotaka mabadiliko,Mabadiliko yatawalazimisha kubadilika!
 

Uchaguzi wa Botswana | 'Ushahidi ni mwingi, chama chetu dola kongwe bila kupepesa macho tumepoteza uchaguzi huu kwa kishindo ': Masisi



View: https://m.youtube.com/watch?v=og9-zzjIwuU
Chama dola kongwe kilichodumu madarakani kwa miongo 6 tangu uhuru BDP cha Rais Mokgweetsi Masisi cha Botswana Democratic Party kimepoteza mamlaka yake. Matokeo ya uchaguzi yanayoendelea kutiririka kufikia sasa yanaonyesha kuwa vyama vya upinzani vilishinda angalau viti 35 kati ya 61 bungeni.... Na bado hata yale ambayo yanaendelea kujumuishwa hali ni mbaya, tumeshindwa uchaguzi ...
 
1730471203118.jpeg
 
Mifumo ya uwadilifu na uwajibikaji ni muhimu katika kuelekea democrasia ya kweli ndani ya taifa letu pendwa la Tanzania.

Ufisadi, Rushwa

Uchawa ndani ya taifa letu, HAWA ni madui wakubwa sana kwa ajili ya masilai mapana ya taifa letu.
By mwinjilist wenu Gabeji.
 
Botswana ikajifunze Zambia na kenya, pamoja na kubadili serkali maisha yao ni yale yale

USSR
 
Mifumo ya uwadilifu na uwajibikaji ni muhimu katika kuelekea democrasia ya kweli ndani ya taifa letu pendwa la Tanzania.


Ufisadi

Rushwa

Uchawa ndani ya taifa letu, HAWA ni madui wakubwa sana kwa ajili ya masilai mapana ya taifa letu.
By mwinjilist wenu Gabeji.
Wajifunze nini? Wakati lengo la chama cha siasa ni kushika dola?
 
Back
Top Bottom