Tetesi: Chama tawala na Upinzani kukumbwa na mtikisiko, mapya kuibuka

Kwa namna alivyoendesha zoezi la kujitangaza na kuomba uungwaji mkono mwaka 2015, sio MTU wa kubeza, ni moja ya vijana walioonyesha uwezo wa juu na "kisasa" zaidi. Yale mabasi, technology nk. Si MTU wa kubeza. Ingawa hapa naona umetumia hisia zako na kumtengezea story kijana marope
 
Wanasema mwanaume wa kweli akimbii vita, kama ameona kuna shida ndani ya chama chake anatakiwa apambane kuitatua, inamaana kule anakotaka kukimbilia ni chama kitakachokuwa kinaongozwa na malaika na wafuasi wake watakuwa mitume wa Mungu? laah hasha atawakuta watu wale wale aliowakimbia pia na kule wapo sasa atakimbilia wapi?
 
Kama sio fisadi sawa hata Mimi nitaunganisha nguvu..........

Ila kama ni mwizi hapana credible yangu ya kwanza ni Ufisadi...............

Mkuu, siku za hivi karibuni umeanza kuwa great thinker. Akili zimeanza kukurudia?
 
Kama JM ana mawazo kama hayo ayafute kabisa!! Tena asijaribu mkono wa chuma utamharibu na kumpoteza!!! Aachane kabisa!!! Hata kama anaungwa mkono na chama au wazee wa chama awe makini asijaribu!!
 
Apo mwisho ndio umehalibu kabisa AUNGANE NA VYAMA VINGINE VYA UPINZANI hahaha kwa akili kama hizi kwann sisiemu isishinde EL aliwadanganya hivyohivyo eti anakuja na wabunge hamsini sisiemu hata aonfoke nani hawamtegemei mtu
Hapa ndo huwa nawapenda ccm yaani mnajiaminisha mnapendwa sana ila mkiambiwa muweke tume huru mnakuwa wakali πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Apo mwisho ndio umehalibu kabisa AUNGANE NA VYAMA VINGINE VYA UPINZANI hahaha kwa akili kama hizi kwann sisiemu isishinde EL aliwadanganya hivyohivyo eti anakuja na wabunge hamsini sisiemu hata aonfoke nani hawamtegemei mtu

Mnategemea dola na tume isiyo huru ya uchaguzi.
 
Watajiudhulu wengi tuu, mwanzo ndio ulikua mgumu
 
Hapa ndo huwa nawapenda ccm yaani mnajiaminisha mnapendwa sana ila mkiambiwa muweke tume huru mnakuwa wakali πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

Huwa ninacheka sana nikiwasikia ccm wanasema wanapendwa. Halafu ikifika wakati wa uchaguzi wanajaza polisi vituoni kuhakikisha wanatangazwa washindi!!!
 
Vijana wa lumumba kwa utabiri na majungu nawapongeza sana kwa hilo nimefanikiwa sana.
Huyo mtu usikute ni Wassira!
Hivi huwa mna shida gani? Umeambiwa ni waziri katika serikali iliyopita na serikali hii mpya
 

Bavicha bana, akili zenu mwazijua wenyewe tu. Hata Lowassa mlidanganywa hivi hivi, mara anakuja na wabunge na mawaziri na wenyeviti wa chama....mkapigwa kama mmesimama na CCM inaendelea kudunda!

Juzi tu mmepigwa kwenye chaguzi za marudio na bado hamuoni kama mna tatizo. Kwa mtaji huu na akilize nu hizi na saisa zenu za kitapeli CCM itatawala mpaka ichoke yenyewe.
 
HALAFU MNASEMA KUNA NJAA! INAONEKANA KABISA MWANDIKA UZI HUU KAVIMBIWA NA MAHARAGE YA MCHANA, KWA UTAWALA HUU NANI ANAWEZA KUFANYA UKICHAA HUO? HUO UWANJA WA SIASA ATAUPATIA WAPI? MIKUTANO ATAIFANYIA NCHI GANI? NI KICHAA TU ANAEWEZA KUKUBALIANA NA KUVIMBIWA KWA HUYU BWANA.
 

Kamanda vipi UKUTA, michango ya Bukoba, Lema, Saanane, Njaa na sasa sijui mnasimamia nini? Au kwa sasa sera yenu ni DC wa Uyuwi?
 
Nafikiri vijana wa chama tawala wanafanya preemptive strike.
 
Kamanda vipi UKUTA, michango ya Bukoba, Lema, Saanane, Njaa na sasa sijui mnasimamia nini? Au kwa sasa sera yenu ni DC wa Uyuwi?
Kwani wewe ulivyo kwenda kutahiriwa ajenda hiyo ndio unayo mpaka Leo? Kutahiriwa! Kutahiriwa! huna lingine wakati Dunia inasonga?
Ndio maana Faiza anawauliza Shule mlikuwa mnasomea ujinga? Maana ujinga kwenu kimekuwa kipaji
 
Apo mwisho ndio umehalibu kabisa AUNGANE NA VYAMA VINGINE VYA UPINZANI hahaha kwa akili kama hizi kwann sisiemu isishinde EL aliwadanganya hivyohivyo eti anakuja na wabunge hamsini sisiemu hata aonfoke nani hawamtegemei mtu
Wacha ujinga hii mada. Hipo na nimebiwa na. Watu. Wa maana. Sio lazma kila kitu uchangie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…