Tetesi: Chama tawala na Upinzani kukumbwa na mtikisiko, mapya kuibuka

Tetesi: Chama tawala na Upinzani kukumbwa na mtikisiko, mapya kuibuka

Mtu Au Chama Kinachoweza Kuitisha CCM Ni Kile Chenye Ushawishi JESHINI. Kama Huna Ushawishi Jeshini Hata Kama Wewe Ni Nani Utapigwa Tu Na Hakuna Utakachofanya Na Watakupoteza
 
Ni mwanasiasa ambaye anaonekana kuwa na uungwaji mkono nje na ndani ya Chama tawala, ni kwamba huyu ni kiongozi mkubwa ndani ya serikali ya awamu hii na iliyopita. Analo kundi kubwa la vijana na wasomi wengi nyuma yake, anapata uungwaji mkono na moja ya familia ya kiongozi Mkubwa mustaafu wa taifa letu na anaweza kuungana nae kuunganisha nguvu kua kitu kimoja na kuanza harakati zao mpya za kisiasa.

Ataondoka ndani ya Chama tawala na kundi lake na kuanzisha chama kipya cha siasa, sababu ya kuondoka ndani ya Chama tawala kulalamikia uminywaji wa demokrasia na kunyimwa Uhuru wa maoni ndani ya Chama.Haridhishwi kabisa uendeshwaji wa chama na kutokukubaluana na utaratibu wa uendeshwaji huo. Anaamini kua kwa uendeshwaji huu wa sasa huenda skakosa fursa ya kutimiza ndoto zake.

Anaondoka na vijana wengi ndani ya chama tawala alipo hivi sasa na kuna uwezekano wa kuungwa mkono na vijana wengine wengi kutoka upinzani ambao wanahisi kua huenda ndiye mwenye mtizamo mpya wa siasa za Tanzania, anaamini kua vijana ndio watakaompa nguvu kukikuza chama chake na kukisambaza katika maeneo mbalimbali nchini. Pia kuna uwezekano Mkubwa wa viongozi wengi ambao wamo ndani ya serikali ya sasa baadae wakamuunga mkono na kuunganisha nguvu ya pamoja.

Kabla ya 2020 anaweza kuungana na nyama vingine vikuu vya upinzani ili kutengenze nguvu ya pamoja kuingia magogoni kwa sanduku la kura.Mpaka sasa inasemekana kuwa anayo mahusiano mazuri na baadhi ya viongozi wakuu wa vyama vya upinzani ingawa yeye bado yuko Chama tawala.
Labda kama anatume huru ya uchaguzi tofauti na hivyo bora aache tu siasa
 
Kama JM ana mawazo kama hayo ayafute kabisa!! Tena asijaribu mkono wa chuma utamharibu na kumpoteza!!! Aachane kabisa!!! Hata kama anaungwa mkono na chama au wazee wa chama awe makini asijaribu!!
Wazee wakishakuruhusu ndio kila kitu,hao ndio wanajua nchi inavoenda
 
awe Membe awe Makamba....watapotea ndani ya wiki mbili tu. hakuna kiongoz yoyote atakae itikisa CCM kama alivyo fanya Mh Lowassa mwana siasa mwenye mvuto na nguvu kuwai kutokea katika aridhi ya Tanzania.
 
Wazee wakishakuruhusu ndio kila kitu,hao ndio wanajua nchi inavoenda
Hayaa ila alie shika mpini ana visasi dunia nzima hakuna!! Msije mkasababisha Aishi uhamishoni miaka 5 ya mwisho.....na mpenda sifa akakomaaa akagoma kutoka
 
Huwezi kujidai kushinda wakati umewafunga wapinzani midomo mikono na miguu. Bulies.
 
as long as anatoka ccm atakuwa fisadi tuu, huyo atakuwa km mzee wa mafuriko tu hana jipya
 
Ni mwanasiasa ambaye anaonekana kuwa na uungwaji mkono nje na ndani ya Chama tawala, ni kwamba huyu ni kiongozi mkubwa ndani ya serikali ya awamu hii na iliyopita. Analo kundi kubwa la vijana na wasomi wengi nyuma yake, anapata uungwaji mkono na moja ya familia ya kiongozi Mkubwa mustaafu wa taifa letu na anaweza kuungana nae kuunganisha nguvu kua kitu kimoja na kuanza harakati zao mpya za kisiasa.

Ataondoka ndani ya Chama tawala na kundi lake na kuanzisha chama kipya cha siasa, sababu ya kuondoka ndani ya Chama tawala kulalamikia uminywaji wa demokrasia na kunyimwa Uhuru wa maoni ndani ya Chama.Haridhishwi kabisa uendeshwaji wa chama na kutokukubaluana na utaratibu wa uendeshwaji huo. Anaamini kua kwa uendeshwaji huu wa sasa huenda skakosa fursa ya kutimiza ndoto zake.

Anaondoka na vijana wengi ndani ya chama tawala alipo hivi sasa na kuna uwezekano wa kuungwa mkono na vijana wengine wengi kutoka upinzani ambao wanahisi kua huenda ndiye mwenye mtizamo mpya wa siasa za Tanzania, anaamini kua vijana ndio watakaompa nguvu kukikuza chama chake na kukisambaza katika maeneo mbalimbali nchini. Pia kuna uwezekano Mkubwa wa viongozi wengi ambao wamo ndani ya serikali ya sasa baadae wakamuunga mkono na kuunganisha nguvu ya pamoja.

Kabla ya 2020 anaweza kuungana na nyama vingine vikuu vya upinzani ili kutengenze nguvu ya pamoja kuingia magogoni kwa sanduku la kura.Mpaka sasa inasemekana kuwa anayo mahusiano mazuri na baadhi ya viongozi wakuu wa vyama vya upinzani ingawa yeye bado yuko Chama tawala.
Anajidanganya, mazingira hayaruhusu uwezo wake (kama anao) kufanikisha malengo yake, kwanza hako kachama kake wala hakatasajiliwa baada ya miezi sita, labda angehamia chama kilicho na usajili kamili ingawa hata hivyo mazingira hayatamruhusu kutokelezea.Abaki alipo huku akipigania hicho anachokiona hakiendi sawa sawa ili kiende sawa sawa kwani kwa hapa kwetu ni rahisi kuleta mabadiliko ya mifumo ya kiutawala na uendeshaji ukiwa katika chama alichopo kuliko ukiwa nje.ndio maana wale waliohalalisha sheria na taratibu alizopendekeza nyalali wakati waTume ya mfumo wa vyama vingi kwamba haziendani na mfumo wa vyama vingi, walipobadili vyama wamejikuta katika shida kubwa ya kufanya siasa ukiwa nje ya chama kinacho tawala. shimo walilochimba wameingia weeenyeweeee. Hapa naona lazima ile kwake tu.
 
Katika hilo la makaburi yasiyofukuliwa wengi wanadhani ni kuhusu walioko nje ya system kumbe sio. Ni wazi kuwa ukifukua hayo makaburi waweza kukuta roho ya mfukuaji iko huko ingawa mwili tunao huku duniani. Mfukuaji hata kama angekuwa kichaa hilo analijua na hawezi kulifanya kamwe
Hata yule wa UDA Tumeamua kumsamehe maana ni wa kutoka kanda ya ziwa na mwenzetu kiitikadi.Makaburi ayochimbwa ni kwa ajili ya kaskazini
 
Back
Top Bottom