Chama tawala na Wapinzani Tanzania siasa zenu zinayumbisha Wananchi

Chama tawala na Wapinzani Tanzania siasa zenu zinayumbisha Wananchi

Intelligence Justice

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2020
Posts
3,443
Reaction score
4,006
Wakuu,

Haya ni maoni binafsi kuhusiana na mienendo ya siasa za Tanzania.

1. Chama tawala-mmepewa dhamana ya kuongoza watu wa imani, itikadi, rangi, kabila zote bila kujali nafasi ya kiuchumi, kiuongozi, kiusalama, kiafya na kijinsia ili wajikwamue kutokana na lindi la umasikini ambaye ni adui mmojawapo wa maendeleo; muwavumilie wanaowakosoa kutokana na makosa ya kimfumo au binadamu, tendeeni kila mtu kwa usawa ilimaradi katiba, sheria na kanuni hazivunjwi

2. Vyama mbadala-mmepewa dhamana kubwa ya kukosoa aliyeko kwenye zamu ya uongozi, kuonesha njia, kushauri vyema jamii, kutii katiba, sheria na kanuni zinazoongoza kwenye shughuli za kiuchumi au kijamii kila siku ili kila mmoja awe na fahari na tamanio la kuishi kama mamba na kiboko kwenye dimbwi moja bila kudhuriana.

3. Vyombo vya dola - mnadhamana kubwa ya kulinda maisha ya watu na mali zao lakini kuhakikisha mipaka ya nchi ni salama. Chukueni hatua kwa yule anayekiuka katiba, sheria na kanuni izinazowaongoza katika usimamizi huo kwa weledi kuepusha uzalishaji wa hisia hasi miongoni mwa raia wengine;

4. Vyombo vya kutoa haki-mahakama, tume mbalimbali, mnawajibu wa kuhakikisha kwamba jambo ambalo mtu anastahiki au kitu anachostahili kuwa nacho anakipata kwa wakati bila vikwazo visivyo vya kisheria.

5. Raia pamoja na kustahili kutendewa haki ya asili na kisheria pia mnawajibu kutekeleza kila kinachowataka kutenda kwa ukamilifu wa haki yako

Wanasiasa msifanyiane visa vya uadui katika jamii mnatengeneza uasi wa kitamaduni ambao kuurekebisha pindi mkishindwa kuafikiana katika mambo yenye msitakabali wa taifa hamtaweza kuundoa hata kama jua likishuka kwa joto la nyuzi 0C 1,000,000
 
Siasa za kususa nusunusu za Chadema ndio tatizo.

Hata haifahamiki nini wanataka.

Msajili wa vyama inabidi akae nao chini kuwafafanulia wajibu wao kama chama cha siasa. Siasa sio uanaharakati. Kama wanataka harakati waachane na siasa waanzishe CSO nyingine.
 
Wewe nawe dishi limeyumba! Wapinzani wanawayumbishaje wananchi wakati kila mwenye akili anajua ccm ndio inaforce mambo bila kutumia akili ndio maana tunaona tuyaonayo?
Ndugai na serikali hawalali usingizi. Wanajiuliza na hawapati jibu. Je, hili ni bunge la chama kimoja au vingi? Wakiulizwa wasemeje? Je kuna Demokrasia ya uwakilishi au hakuna? Je wabunge wa kuchaguliwa 264 wa vyama vya upinzani huku bara ni wawili tu? Hii inawasumbua sana kiasi cha kujaribu mbinu chafu ya kuwalazimishia Chadema wabunge wa viti malum ili wapitie hapo.
 
Wewe nawe dishi limeyumba! Wapinzani wanawayumbishaje wananchi wakati kila mwenye akili anajua ccm ndio inaforce mambo bila kutumia akili ndio maana tunaona tuyaonayo?
Mkuu,

Dish linaloyumba ndilo lenye uwezo wa kudaka signal za aina tofauti kutoka kwenye satelaiti kuliko lisiloyumbalo ambalo signal zake zinakamata Asia pekee.

My colleague esteemed JF member I value your critism despite being nasty to persevere.

A comparative test on individuals IQ: Intelligence Quotient, is a measure of a person’s reasoning ability. In short, it is supposed to gauge how well someone can use information and logic to answer questions or make predictions. IQ tests begin to assess this by measuring short- and long-term memory. They also measure how well people can solve puzzles and recall information they’ve heard — and how quickly to save time and resources.

So between you and I whose thinking and reasoning capacity is obtuse? The great thinkers may resolve the puzzle
 
Wakuu,

Haya ni maoni binafsi kuhusiana na mienendo ya siasa za Tanzania.

1. Chama tawala-mmepewa dhamana ya kuongoza watu wa imani, itikadi, rangi, kabila zote bila kujali nafasi ya kiuchumi, kiuongozi, kiusalama, kiafya na kijinsia ili wajikwamue kutokana na lindi la umasikini ambaye ni adui mmojawapo wa maendeleo; muwavumilie wanaowakosoa kutokana na makosa ya kimfumo au binadamu, tendeeni kila mtu kwa usawa ilimaradi katiba, sheria na kanuni hazivunjwi

2. Vyama mbadala-mmepewa dhamana kubwa ya kukosoa aliyeko kwenye zamu ya uongozi, kuonesha njia, kushauri vyema jamii, kutii katiba, sheria na kanuni zinazoongoza kwenye shughuli za kiuchumi au kijamii kila siku ili kila mmoja awe na fahari na tamanio la kuishi kama mamba na kiboko kwenye dimbwi moja bila kudhuriana.

3. Vyombo vya dola - mnadhamana kubwa ya kulinda maisha ya watu na mali zao lakini kuhakikisha mipaka ya nchi ni salama. Chukueni hatua kwa yule anayekiuka katiba, sheria na kanuni izinazowaongoza katika usimamizi huo kwa weledi kuepusha uzalishaji wa hisia hasi miongoni mwa raia wengine;

4. Vyombo vya kutoa haki-mahakama, tume mbalimbali, mnawajibu wa kuhakikisha kwamba jambo ambalo mtu anastahiki au kitu anachostahili kuwa nacho anakipata kwa wakati bila vikwazo visivyo vya kisheria.

5. Raia pamoja na kustahili kutendewa haki ya asili na kisheria pia mnawajibu kutekeleza kila kinachowataka kutenda kwa ukamilifu wa haki yako

Wanasiasa msifanyiane visa vya uadui katika jamii mnatengeneza uasi wa kitamaduni ambao kuurekebisha pindi mkishindwa kuafikiana katika mambo yenye msitakabali wa taifa hamtaweza kuundoa hata kama jua likishuka kwa joto la nyuzi 0C 1,000,000
Imagine yafuatayo.

1. Unampiga mtu risasi 16 vyombo vya dola havitoi majibu.

2. Bunge linampokonya mtu ubunge kiuonezi na mahakama inabariki.

3. Unamnyima mtu matibabu baada ya kumtwanga marisasi inamaana unataka afe.

4.Haitoshi unamwibia kura zake na kudhulumu majimbo Yao ambayo hata wananchi wanakataa kuamini.

5. Unamharibia miradi ya familia yake kisa siasa.

6.Unafoji nyaraka zake kuhalalisha matakwa ya kisiasa vyombo vya dola vinakaa kimya havitambui jinai.

7.Wapinzani wengi wako magerezani kisa siasa.

Haya yote wamefanyiwa wapinzani na wameyavumilia kwa miaka yote kwa utulivu mkubwa.

Juu ya yote viongozi wa dini wako kimya bila kukemea huu uovu.

Mnataka wapinzani wa nchi hii wafanye Nini?
 
Ndiyo tatizo la kusukumizwa. Mtu anaingia kwenye uongozi pasipo hata kuwa na plan ya nini atafanya akishapata uongozi anaougombania. Mwezi sasa bila shaka mtawala anawaza arekebishe vipi ugoro wa uchaguzi mkuu. Badala angekuwa anafikiria afanye nini kuinua uchumi wa nchi, ndiyo Kwanza yuko busy kuhakikisha wabunge wa viti maalumu wa Chadema wanapatikana ili misaada isikate.

Ujinga wa kiwango Cha Phd
 
Wakuu,

Haya ni maoni binafsi kuhusiana na mienendo ya siasa za Tanzania.

1. Chama tawala-mmepewa dhamana ya kuongoza watu wa imani, itikadi, rangi, kabila zote bila kujali nafasi ya kiuchumi, kiuongozi, kiusalama, kiafya na kijinsia ili wajikwamue kutokana na lindi la umasikini ambaye ni adui mmojawapo wa maendeleo; muwavumilie wanaowakosoa kutokana na makosa ya kimfumo au binadamu, tendeeni kila mtu kwa usawa ilimaradi katiba, sheria na kanuni hazivunjwi

2. Vyama mbadala-mmepewa dhamana kubwa ya kukosoa aliyeko kwenye zamu ya uongozi, kuonesha njia, kushauri vyema jamii, kutii katiba, sheria na kanuni zinazoongoza kwenye shughuli za kiuchumi au kijamii kila siku ili kila mmoja awe na fahari na tamanio la kuishi kama mamba na kiboko kwenye dimbwi moja bila kudhuriana.

3. Vyombo vya dola - mnadhamana kubwa ya kulinda maisha ya watu na mali zao lakini kuhakikisha mipaka ya nchi ni salama. Chukueni hatua kwa yule anayekiuka katiba, sheria na kanuni izinazowaongoza katika usimamizi huo kwa weledi kuepusha uzalishaji wa hisia hasi miongoni mwa raia wengine;

4. Vyombo vya kutoa haki-mahakama, tume mbalimbali, mnawajibu wa kuhakikisha kwamba jambo ambalo mtu anastahiki au kitu anachostahili kuwa nacho anakipata kwa wakati bila vikwazo visivyo vya kisheria.

5. Raia pamoja na kustahili kutendewa haki ya asili na kisheria pia mnawajibu kutekeleza kila kinachowataka kutenda kwa ukamilifu wa haki yako

Wanasiasa msifanyiane visa vya uadui katika jamii mnatengeneza uasi wa kitamaduni ambao kuurekebisha pindi mkishindwa kuafikiana katika mambo yenye msitakabali wa taifa hamtaweza kuundoa hata kama jua likishuka kwa joto la nyuzi 0C 1,000,000
Mbona mimi siyumbishwi??
 
Wakuu,

Haya ni maoni binafsi kuhusiana na mienendo ya siasa za Tanzania.

1. Chama tawala-mmepewa dhamana ya kuongoza watu wa imani, itikadi, rangi, kabila zote bila kujali nafasi ya kiuchumi, kiuongozi, kiusalama, kiafya na kijinsia ili wajikwamue kutokana na lindi la umasikini ambaye ni adui mmojawapo wa maendeleo; muwavumilie wanaowakosoa kutokana na makosa ya kimfumo au binadamu, tendeeni kila mtu kwa usawa ilimaradi katiba, sheria na kanuni hazivunjwi

2. Vyama mbadala-mmepewa dhamana kubwa ya kukosoa aliyeko kwenye zamu ya uongozi, kuonesha njia, kushauri vyema jamii, kutii katiba, sheria na kanuni zinazoongoza kwenye shughuli za kiuchumi au kijamii kila siku ili kila mmoja awe na fahari na tamanio la kuishi kama mamba na kiboko kwenye dimbwi moja bila kudhuriana.

3. Vyombo vya dola - mnadhamana kubwa ya kulinda maisha ya watu na mali zao lakini kuhakikisha mipaka ya nchi ni salama. Chukueni hatua kwa yule anayekiuka katiba, sheria na kanuni izinazowaongoza katika usimamizi huo kwa weledi kuepusha uzalishaji wa hisia hasi miongoni mwa raia wengine;

4. Vyombo vya kutoa haki-mahakama, tume mbalimbali, mnawajibu wa kuhakikisha kwamba jambo ambalo mtu anastahiki au kitu anachostahili kuwa nacho anakipata kwa wakati bila vikwazo visivyo vya kisheria.

5. Raia pamoja na kustahili kutendewa haki ya asili na kisheria pia mnawajibu kutekeleza kila kinachowataka kutenda kwa ukamilifu wa haki yako

Wanasiasa msifanyiane visa vya uadui katika jamii mnatengeneza uasi wa kitamaduni ambao kuurekebisha pindi mkishindwa kuafikiana katika mambo yenye msitakabali wa taifa hamtaweza kuundoa hata kama jua likishuka kwa joto la nyuzi 0C 1,000,000

Tatizo ni Magufuli, usitake kuzunguka sana wakati tatizo linafahamika linaanzia wapi. Inawezekana kuna sababu nyingine, lakini 70% ya uvunjifu wa sheria na kupungua upendo ndani ya nchi yetu Magufuli ndio chanzo. Hili ukubali ukatae lakini habari ndio hiyo. Kabla ya yeye kuwa rais tuliona chaguzi zenye wizi, na sheria kukiukwa ila sio kwa uwazi kiasi cha wakati wa utawala wa Magufuli. Tufumbieni macho ukweli huu lakini kila mtu anajua nani ndio tatizo.
 
Hahaha wewe ndiye uelewi kabisa, siasa ni maisha ya kila mtu duniani.

Hakuna mwanachi anayeyumba, wanayumba ccm tu.
 
Hivi unaweza kukipangia chama fulani siasa za kufanya?
 
Title na content vilitakiwa kubeba ujumbe kwamba:-

"Chama tawala na Wapinzani Tanzania siasa zenu zinayumbisha Misukule ya Lumumba"!!​

 
Back
Top Bottom