rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Timu ambazo hazidaiwi ni Simba na Azam msipolipa madeni mnaweza msipewe leseni ya kushiriki ligi hii ni kwa mujibu wa bodi ya ligi.Niyonzima zengwe kwanza anawadai mpaka leo..taja Dilunga atamuweka nani benchi..mchezaji wa mechi ndogo
Mna ujinga mwingi.. soma hiyoooChama hana miaka miwili,labda mikia mfoji mkataba wake
Kashaingiza club matatizoni huyu, simba wakikomaa lazima yanga iwakate
Mwakalabela ameomba msamaha
Simba inatumia milioni 230 kwa mwezi kwa ajili ya mishahara. Maana yake, inatumia bilioni 5 kwa mwaka kwa ajili ya mishahara ya wafanyakazi na wachezaji kwa miaka miwili.Shadeeya yanga wenzangu tusidanganyane kama na sisi tunataka tuwe na CHAMA basi twendeni .tukajiunge chama tawala
Kweli simba imewaacha watani zao mbali wakati GSM wanataka kuweka dollar laki moja kwa miezi 6 ,wenzao wanalipa dollar laki mwezi mmoja ,sasa wanaweza vipi kusajiri mchezaji wa simba si atageuka ombaombaSimba inatumia milioni 230 kwa mwezi kwa ajili ya mishahara. Maana yake, inatumia bilioni 5 kwa mwaka kwa ajili ya mishahara ya wafanyakazi na wachezaji kwa miaka miwili.
Sasa kama mchezaji mmoja anatumia 10% ya wage bill (hapo nimeweka asigning fee ya milioni 500). Je, hao wafanyakazi, including coach na CEO wanalipwa kiasi gani kwa mwezi?
Acheni uongo chama hana contract ya 800m/-.
Mkuu, issue hii so nyepesi.Mwanzo tuliona kama jambo la kupuuza kwa sababu lilizungumzwa na mashabiki. Ila kwa sababu mpaka viongozi wa Yanga wamejiingiza kwenye uzushi inabidi kuwajibu. Kuwajibu ili kuwaepusha kwenye migogoro na mashabiki wao mapema.
Ushauri wa bure ni Yanga kubadilika na kufanya mambo kisomi kama ilivyo Simba SC. Mashabiki wanakuwa oya oya na viongozi wanakuwa oya oya.
View attachment 1418316
Hizo dollar laki moja kwa mwezi ni pamoja na Sportspesa, Azam, Mo Halisi. Yanga cwana SPORTSPESA, Azam, Taifa Gas, na GSM.Kweli simba imewaacha watani zao mbali wakati GSM wanataka kuweka dollar laki moja kwa miezi 6 ,wenzao wanalipa dollar laki mwezi mmoja ,sasa wanaweza vipi kusajiri mchezaji wa simba si atageuka ombaomba
Sijaongelea chama mkataba wake unathamani gani nnacho sema Msemaji wa yanga kaweka wazi GSM watatoa dollar laki moja kwa miezi sita wakiwa kwenye transition mchakato .Hizo dollar laki moja kwa mwezi ni pamoja na Sportspesa, Azam, Mo Halisi. Yanga cwana SPORTSPESA, Azam, Taifa Gas, na GSM.
Mbali ya mkataba, GSM wanasajili na kulipia usafiri. Kwa hiyo usijidaganye hizi klabu zote bado masikini na chama contract yake kimahesabu siyo milioni 800.
Sijaongelea chama mkataba wake unathamani gani nnacho sema Msemaji wa yanga kaweka wazi GSM watatoa dollar laki moja kwa miezi sita wakiwa kwenye transition mchakato .
Duuu hivi kweli kile kibabu kina miaka 28 tu!?Mwenyewe anasema mpaka mkataba wake na Simba ukiisha ndio ataongelea hayo mambo.
Mkataba wake na Simba utaisha tarehe 21.06.2020!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu wewe unaamini kila unachosikia kwa hawa viongozi Wa timu zetu kubwa hapa? Kalagabaho, kuna siku utaja utukane matusi yote unayoyajua na usitosheke!Hii taarifa sio sahihi, mwezi wa nane mwaka jana aliongeza miaka miwili, hata kuitumia bado hajaanza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona taratiiiibuuuu unaanza kunyoosha mikono hewaniHao Yanga wanajifariji tuuu mnaowajibu ndio mnawapa kichwa wapotezeeeni mazima. Istoshe kwa Viungo waliopo Simba hata akiondoka Chama siioni shida. Simba nguvu Moja Daima.
Ninyi hamjuagi kutumia wachezaji na si kwamba sijui ukosefu Wa namba!Ajibu alikuwa nyota yanga kaja Simba benchi, nyonzima tulimwacha Sasa hivi ndiyo nyota kwenu kama Dilunga anamweka Ajibu benchi ndiyo akose namba Yanga.
Hawana ubavu Wa kufanya hivyo mana Yanga ndiyo timu kubwa kuliko zote na inafuatia Mkia. Hata Leo Yanga wakisema hawataki kushiriki ligi tff watatembea kwa magoti hadi zilipo ofisi za YangaTimu ambazo hazidaiwi ni Simba na Azam msipolipa madeni mnaweza msipewe leseni ya kushiriki ligi hii ni kwa mujibu wa bodi ya ligi.