Lukub
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 3,622
- 4,100
Orodhesha wachezaji wa simba walio benchi wanacheza vizuri kabisa kikosi cha kwanza team nyingine .Akina nani walio benchi na wanang'ang'ania huko!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Orodhesha wachezaji wa simba walio benchi wanacheza vizuri kabisa kikosi cha kwanza team nyingine .Akina nani walio benchi na wanang'ang'ania huko!?
Basi mlisheni chakula kizuri Mohamed Hussein Tshabalala. Maana vingwangwa Simba wapo wengi tu.Ntakupa somo utaelewa nenda bunju complx kajionee kwa nini usimuliwe alafu jifunze hili litakusaidia"unachokula ndio kina amua afya yako itakavyokuwa " hao wachezaji ndio wanaonyesha hali halisi ya club kwa sasa haiwezi linganisha azam/simba na yanga ,yanga wakianza kufanya vitu vya kueleweka wachezaji njaa na malalamiko yatakwisha vitabaki vitu vya kawaida