Chama wa Simba SC ameitwa Timu ya Taifa ya Zambia; Je, akina Mayele na Bangala nao wameitwa Timu ya Taifa ya Congo DR?

Chama wa Simba SC ameitwa Timu ya Taifa ya Zambia; Je, akina Mayele na Bangala nao wameitwa Timu ya Taifa ya Congo DR?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kuna Mkongo mmoja Rafiki yangu mno aliwahi kuniambia kuwa kwa Vipaji vilivyopo Kwako Congo DR hata wakihitajika Wachezaji 100 wa Kuunda Timu yao ya Taifa bado akina Mayele na Bangala hawatoweza Kuitwa labda kidogo atakayebahatika Kuitwa ni Beki wa Simba SC, Henock Inonga Baka kwakuwa ana Akili Kubwa kuliko Wachezaji wote wa Kikongo walioko Yanga SC.
 
Hata asipoitwa timu ya taifa bado Mayele ni mchezaji mzuri. Jaman msameheni kama anawaudhi. Hata yeye nadhani ana mpango wa kuomba radhi kwa kuwafunga Ngao ya jamii. Maana naona mnamuota tu
Kuna Mkongo mmoja Rafiki yangu mno aliwahi kuniambia kuwa kwa Vipaji vilivyopo Kwako Congo DR hata wakihitajika Wachezaji 100 wa Kuunda Timu yao ya Taifa bado akina Mayele na Bangala hawatoweza Kuitwa labda kidogo atakayebahatika Kuitwa ni Beki wa Simba SC, Henock Inonga Baka kwakuwa ana Akili Kubwa kuliko Wachezaji wote wa Kikongo walioko Yanga SC.
 
Kuna Mkongo mmoja Rafiki yangu mno aliwahi kuniambia kuwa kwa Vipaji vilivyopo Kwako Congo DR hata wakihitajika Wachezaji 100 wa Kuunda Timu yao ya Taifa bado akina Mayele na Bangala hawatoweza Kuitwa labda kidogo atakayebahatika Kuitwa ni Beki wa Simba SC, Henock Inonga Baka kwakuwa ana Akili Kubwa kuliko Wachezaji wote wa Kikongo walioko Yanga SC.
koloooooooo ktk ubora wakoooooo
 
Timu ya drc wana wachezaji wengi mno duniani wenye uwezo ...hao wachezaji uliowataja pamoja na djuma shabaan na mukoko wote huitwa kwa zamu ktk timu yao ya taifa kutegemea na uhitaji wa game husika...
 
Mi nikajua inonga na Mugalu wanacheza somalia!!! Vipi wameitwa?. Afu kuitwa kwa mchezaji timu ya Taifa inategemeana na UHITAJI Wa kocha.

Vipi Morrison kaitwa?

Vipi Bwalya?
 
Mzee Chama anaandaliwa kuwa kocha wa timu ya Taifa ya Zambia ndiyo maana anaitwa!
 
Kuna Mkongo mmoja Rafiki yangu mno aliwahi kuniambia kuwa kwa Vipaji vilivyopo Kwako Congo DR hata wakihitajika Wachezaji 100 wa Kuunda Timu yao ya Taifa bado akina Mayele na Bangala hawatoweza Kuitwa labda kidogo atakayebahatika Kuitwa ni Beki wa Simba SC, Henock Inonga Baka kwakuwa ana Akili Kubwa kuliko Wachezaji wote wa Kikongo walioko Yanga SC.
Atakuwa mlevi huyo
 
Back
Top Bottom