GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
hahahahaha drc ihangaike na mchezaji wa ligi ya bongo?kwahiyo Mugalu na Inonga ni raia wa Msumbiji sio.?? huna akili mataqo yaqo
Kuna Mkongo mmoja Rafiki yangu mno aliwahi kuniambia kuwa kwa Vipaji vilivyopo Kwako Congo DR hata wakihitajika Wachezaji 100 wa Kuunda Timu yao ya Taifa bado akina Mayele na Bangala hawatoweza Kuitwa labda kidogo atakayebahatika Kuitwa ni Beki wa Simba SC, Henock Inonga Baka kwakuwa ana Akili Kubwa kuliko Wachezaji wote wa Kikongo walioko Yanga SC.
koloooooooo ktk ubora wakooooooKuna Mkongo mmoja Rafiki yangu mno aliwahi kuniambia kuwa kwa Vipaji vilivyopo Kwako Congo DR hata wakihitajika Wachezaji 100 wa Kuunda Timu yao ya Taifa bado akina Mayele na Bangala hawatoweza Kuitwa labda kidogo atakayebahatika Kuitwa ni Beki wa Simba SC, Henock Inonga Baka kwakuwa ana Akili Kubwa kuliko Wachezaji wote wa Kikongo walioko Yanga SC.
Atakuwa mlevi huyoKuna Mkongo mmoja Rafiki yangu mno aliwahi kuniambia kuwa kwa Vipaji vilivyopo Kwako Congo DR hata wakihitajika Wachezaji 100 wa Kuunda Timu yao ya Taifa bado akina Mayele na Bangala hawatoweza Kuitwa labda kidogo atakayebahatika Kuitwa ni Beki wa Simba SC, Henock Inonga Baka kwakuwa ana Akili Kubwa kuliko Wachezaji wote wa Kikongo walioko Yanga SC.