Champions League last 16: Real Madrid kuivaa PSG; Chelsea kukipiga na Barcelona

Hivi kumbe Uingereza waliingiza Timu tano?
 


Tukiwaponya sana goli 8[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Nimekumbuka mwaka 1999 Tulimpiga goli 5 Na 69 Alikula 5:0
 
Ukiangali hii draw utaona kabisa kuwa timu za laliga zote zinaishia robo lakini ukweli ni kwamba pamoja nakuwa Madrid na BARCA hawaonekani kuwa bora safari hii lakini hakika wata washangaza wengi.....
Match ya Madrid na PSG naiona kama fainali ya Madrid na Juve ambapo madrid alionekana lazima afungwe kabisa lakini mambo ya dakika 90 yakabadilisha upepo...
Chelsea hawa bora wangekuwa chelsea wa Mourinho,Chelsea hii inayofunguka mwanzo mwisho itakula nyingi sana mbele ya Barca.....
 
[emoji31][emoji31][emoji31][emoji31][emoji31]. Hawa watu wana roho mbayaa. Ndo nini kutupanga na la pulga.?
 
Acha stress na assnal yako
 
Chelsea tunapita mapema sana asubuhi Barca ile ya miaka ile sio Barca hii mdebwedo....tena bila MSN ndo kabisaaa
Tujipe moyo tuu. Chelsea hii ya kufungwa na West Ham, Crystal Palace na vibonde wengine? Well, we have Bakayoko and we shouldnt be worried.
 
Kwa heri la liga timu zao zote hazitoboi kwenda hatua inayofuata....

Timu zote za ligi ya England zinafuzu hatua inayofuata.....
Acheni kuidharau madrid nyinyi viumbe, namuamin mnoo zidane katika hizi game za nani kaona.. mengine tuache lugha ya mpira inene..

Natoa 60% kwa madrid.
 
Boy! Kwenye mambo ya soka huwa hatupigi ramli kama unavyofanya kwenye siasa ya lumumba kule kwenu. We endelea kuwa mshabiki tu wa mpira, uchambuzi huuweZ
 
Tujipe moyo tuu. Chelsea hii ya kufungwa na West Ham, Crystal Palace na vibonde wengine? Well, we have Bakayoko and we shouldnt be worried.
The worst usajili kuliko ni huu sisemi ni mbaya lakini haendani au labda hajaizoea ligi,pale kati akicheza kante na drinkwater unaona timu inaperform....marcos alonso amechoka msimu uliopita kacheza sana msimu huu flop kuliko,weka benchi zappacosta atacheza...

lets hope Kante hatoumia
 
Safi sana! Niliwamiss sana vijana wetu barca. Antonio sasa ndio muda wa kujipima kama unastahili japo kidogo kubaki au usepe. Hatuna historia ya kunyanyaswa na barca sisi. Hata Di Mateo aliwaweka mfukoni...
Mkuu mi mwnyw nashangaa watu wanatubeza sana na wakati rekodi inatubeba. Wanaona kupoteza ni rahisi sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…