intermediate
JF-Expert Member
- Nov 17, 2014
- 232
- 166
Kipindi chelsea anachukua kombe nusu fainali barca uliwatoa wewe?Chelsea hawezi kumtoa barca, wakati wote huwa ni anamsumbua tu na barca kupata ushindi hafifu sana ..lakini haitotokea chelsea amtoe barca. PSG anatolewa na R. Madrid
Mzee unatunza kumbukumbu kweli? Waulize barca wanamkumbuka torres aliwafanya nini camp nouChelsea hawezi kumtoa barca, wakati wote huwa ni anamsumbua tu na barca kupata ushindi hafifu sana ..lakini haitotokea chelsea amtoe barca. PSG anatolewa na R. Madrid
Mkuu Messi hajastaafuChelsea pekee ndiyo yenye nafasi ya kuvuka
mpira haunaga uzoefuWAtu ni wepesi sana kusahau EPL pale hamna kitu hasa zikifika hatua kama hii.. Team ya pekee yenye nafasi kubwa ni Man City zilizobaki kutoka EPL nafasi ya kutolewa ni kubwa mnoo.. Porto atamuabisha Liverpool.. Na kwa hii Chelsea ni ngumu mno kumtoa Barca.. Man U naye haeleweki kabisa Seville atampa kibano. Juve licha ya kiwango kutokuwa sawa ila uzoefu utambeba sana dhidi ya Totenham
Liverpool wakiendelea na performance walionayo sasa nafikiri watatoboa, sababu Fc Porto ni watata msimu huu.Barca sio wazuri kihivyo wanafungika sana tu, sema Man city na Liverpool will be happy. Man u pia sevilla makali yamepungua sana tu. hata spurs nawapa nafasi 50/50. KO mechi zinakuwa kama hazitabiriki ila shughuli kwa kweli PSG na Real kazi ipo.
Tabiri ya sharkhter donesk na romamechi ya kiume ni moja tu, psg vs Madrid.
izo nyingine game nyepesi na zinatabilika.
Barca toka 96 mpk 2005 anampiga chelsea 2005 chelsea kaanza kumsumbua kampiga Mara 3 tu na kuwekwa na draw..Kipindi chelsea anachukua kombe nusu fainali barca uliwatoa wewe?
Sasa game moja inafanyutoe hayo maamuzi auu halaf barca hakufungwa now camp alidraw . Chelsea anamsumbua tu barca ..barca anamuacha chelsea ..dawati la ubishi sikaiMzee unatunza kumbukumbu kweli? Waulize barca wanamkumbuka torres aliwafanya nini camp nou
Uzoefu wa Juve umeukumbuka umeusahau wa Liver kwa Porto? Fuatilia, Kutoa ushabiki, Porto asubuhi tu anapigwa. Linda haya maneno yangu.WAtu ni wepesi sana kusahau EPL pale hamna kitu hasa zikifika hatua kama hii.. Team ya pekee yenye nafasi kubwa ni Man City zilizobaki kutoka EPL nafasi ya kutolewa ni kubwa mnoo.. Porto atamuabisha Liverpool.. Na kwa hii Chelsea ni ngumu mno kumtoa Barca.. Man U naye haeleweki kabisa Seville atampa kibano. Juve licha ya kiwango kutokuwa sawa ila uzoefu utambeba sana dhidi ya Totenham
Hakuna team onaitwa AC ROMA bali kuna AS ROMA.FAINALI AC ROMA VS MAN UTD
Mzee unaandika upupu gani hapa?Barca toka 96 mpk 2005 anampiga chelsea 2005 chelsea kaanza kumsumbua kampiga Mara 3 tu na kuwekwa na draw..
Sasa game moja inafanyutoe hayo maamuzi auu halaf barca hakufungwa now camp alidraw . Chelsea anamsumbua tu barca ..barca anamuacha chelsea ..dawati la ubishi sikai
Brother Besiktas sio jeshi la mchezo. Labda historia iwabebe B. Munchen.Mliokariri kuwa kuwa wa kwanza kwenye makundi ni faida maana utapangwa na kibonde mnajidanganya tu.Huko Bayern munich wanafurahia kuwa wa pili maana wa kwanza katika kundi lake ni PSG na kapangwa na REAL MADRID huku yeye bayern wa pili kapangwa na KITONGA Besiktas.....
Kweli maisha hayana FORMULA
waache mkuu, wamezidi dharauWajomba ni bora kusubiri kwanza basi .
Madrid ndiyo mwisho wetu mkuu...akimtoa PSG ,anachukua tena ubingwa WA UCLChelsea hawezi kumtoa barca, wakati wote huwa ni anamsumbua tu na barca kupata ushindi hafifu sana ..lakini haitotokea chelsea amtoe barca. PSG anatolewa na R. Madrid
Yatakuwa ni maajabu Besiktas kuitoa Bayern au Man United kutolewa na sevilaBrother Besiktas sio jeshi la mchezo. Labda historia iwabebe B. Munchen.
Chelsea mhh sina hakikaBado naona timu za EPL zikitoboa.