Champions League last 16: Real Madrid kuivaa PSG; Chelsea kukipiga na Barcelona


Hapo ulichemka!!
 

Wabovu wakashinda 5 kwa 0..!? Energy na morale ya Fc Porto zilipotelea wapi??
 
AC ROMA ndio timu gani jombaa?
nadhani sasa umeanza kunielewa kwa mbaali mkuu.
asilimia 45% ya timu watu walizozipa kipaumbele zimetolewa. Roma kufika nusu fainali ni hatua kubwa, ngoja tuone itakavyokuwa, ila nilishaipa nafasi ya kufika fainali toka Dec 11 2017
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…