Observer
JF HQ
- Oct 18, 2006
- 189
- 299
Katika upangaji wa timu 16 zitakazopambana katika hatua ya mtoano uliofanyika leo, Timu ya Real Madrid imepangiwa kucheza na PSG wakati Chelsea itapambana na Barcelona.
Hii ndio jinsi timu zote zilivyopangiwa kucheza
Je ni timu zipi zina nafasi ya kufuzu hatua ya robo fainali?