Champions League quarter-final draw: PSG face Manchester City – as it happened

Mimi siliilii hata wakirudia tena wanipe bayern mimi kilicho mbele yangu ni halali yangu ila R.MADRID mbeleko zimezid et kiwofbag sasa si wangempa hata PSG


Ndio maana nikakwambia kama hujui jinsi gani draw za UEFA zinaendeshwa uliza ufahamishwe. Kama unaongea tu jinsi akili zako zinavyokutuma sawa
 
UBORA WA LIGI KUU YA ENGLAND NA UFARANSA UU WAPI??? EMBU ANGALIA UJERUMANI NA UHISPANIA TIMU ZAO THEN UNIPE JIBU
 
Ni rahisi ngamia kupita kwenye tundu la sindanno kuliko Barcelona kumfunga Atlético de Madrid...Namaanisha Barcelona keshatoka kweli hili kombe kuchukua maraa ya pili ni ngumu..

Uzuri wa champions league yeyote anaweza kuvuka hatua hiyo....hakuna underdogs huko....kumbuka 2012...kumbuka juve alivyomtoa Madrid...
 
mkuu emu tufahamishe basi,maana binafsi sikupenda timu za logi moja kukutana


Mkuu UCL na Europa league kuanzia 16 mpaka semis ratiba inatokana na draw inayochezeshwa kwa mtindo wa bahati nasibu kama tulivyoona leo. Majina ya club zote bila kujali rank au ligi yanawekwa pamoja kwenye glass yanachanganywa mbele ya kadamnasi ndio inapatikana ratiba. Wanaolalamikia hii ni watanzania na Diego Simeone tu kwasababu wamezoea kulialia kila kitu.
 
Nusu fainali ni
wolsburg vs benfica
Atletico Madrid vs Manchester city
Fainali ni benfica vs atletico, then atletico anachukua ndoo...I wish iwe hivo tofauti na matarajio ya wengi!
 
Naombea Atlet amtoe huyo mbweha Barca ili Atlet atolewe na Bayern afu Bayern na Real waje wakutane siku moja
 
hebu cheki fixture zao head to head uone
katika fixture 6 za mwisho kati ya barca na atletico barcelona ameshinda zote
sasa hapo odds zina mfavor nani??
 

Attachments

  • upload_2016-3-18_15-37-7.png
    2 KB · Views: 29
  • upload_2016-3-18_15-37-7.png
    2 KB · Views: 28
  • upload_2016-3-18_15-37-7.png
    3.1 KB · Views: 29
  • upload_2016-3-18_15-37-7.png
    2 KB · Views: 29
  • upload_2016-3-18_15-37-7.png
    3.1 KB · Views: 28
  • upload_2016-3-18_15-37-7.png
    3.1 KB · Views: 27
Nusu fainali ni
wolsburg vs benfica
Atletico Madrid vs Manchester city
Fainali ni benfica vs atletico, then atletico anachukua ndoo...I wish iwe hivo tofauti na matarajio ya wengi!
hahahahahahahaaaa, naona wewe meposti kinyume chake, uliowaweka nusu fainali hawapiti hata mmoja
 
hebu cheki fixture zao head to head uone
katika fixture 6 za mwisho kati ya barca na atletico barcelona ameshinda zote
sasa hapo odds zina mfavor nani??
I honestly think AM can win it this year.
 
Kila kitu kinawezekana. Lakini Simeone anatakiwa ufunge magoli ushindi haupatikani kwa kupaki bus tu
kule mbele jamaa hayuko fresh. ana goli chache sana. na pia kuna timu za kuwapakia basi si Barca ambayo Neymar na messi ni mabingwa wa kupenya.
 
Remember when it was good to go away first in Europe and usual nick a 1 win,
 
mkuu mbona unapenda kuuchosha moyo wako kwa kuiombea mabaya barcelona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…