Champions League quarter-final draw: PSG face Manchester City – as it happened

natamani ingetokea Bayern Munich vs Atletico Madrid, hatujawahi shuhudia hii match, japokua inaoneksna kama itaboa vile
Ndo ingekuwa Game kali kuliko Classico, Atletico sio wajinga na wachovu kama Juventus. Juventus majuzi baada ya kuchoka akaanza kupak bus na kuruhusu mashambulizi mwanzo mwisho. Atletico hawachoki aiseeee, na defense yao si mchezo.
 
Reactions: PNC
Ndo ingekuwa Game kali kuliko Classico, Atletico sio wajinga na wachovu kama Juventus. Juventus majuzi baada ya kuchoka akaanza kupak bus na kuruhusu mashambulizi mwanzo mwisho. Atletico hawachoki aiseeee, na defense yao si mchezo.
Atletico walicheza final na real madrid mwaka 2014, wakaongoza 1-0 hadi dakika ya 92 kwa kupaki basi, madrid wakasawazisha zikaongezwa dakika 30 wakapigwa 4-1
ni wachovu tu kama wengine, sema timu ina wachezaji wabishi wengi ila wachovu tu
 
Wewe ndio hujui kitu, jamaa amekwambia kwamba Atletico iliyomtoa Barca kipindi kile ni tofauti na sasa. Barca ile ni tofauti na ya sasa.

Kwanini unakataa kupima uwezo wa ligi au mechi za ligi kisha ukashindanisha na UEFA? Unajua hata haya mashindano yanaitwa LIGI YA MABINGWA?

Angalia kwa asilimia kubwa timu inayofanya vema LA LIGA kisha tazama uwezo wake hata na UEFA.

Yote tisa, kumi ni kwamba Barca ipo ktk form vibaya sana na ni timu ambayo imewekeza pesa nyingi kwenye kikosi chake. Atletico timu bado haijatulia na kama wewe kweli unaangalia LA LIGA utaona mapungufu kwa Atletico ya sasa na ile ya zamani.

Kiwango cha ufungaji wa magoli Atletico ni hafifu, ni sawa anaweza akazuia, Je nani atafanya kazi ya kufunga? Na Barca udhaifu wake ni kupata washambuliaji wenye kasi ili kuwafunga. Griezzman pekee ndo anayeweza kuwika, atashirikiana na nani?

Atletico anaaga haya mashindano na hata Simeone msimu huu baada ya kupigwa Barca nje ndani amesema HAKUNA TIMU YA KUINYAMAZISHA BARCA MSIMU HUU.
 
Reactions: PNC
Wanaichukulia poa sababu msimu huu wa ligi ya Spain atletico hajamfunga Barcelona
Na msimu uliopita je? Vipi Copa del rey msimu uliopita pia? Hakupigwa nje ndani?
Unazungumzia vipi uhaba wa ufungaji wa maana kwa Atletico?
 
Reactions: PNC
unadhan barcelona ataingia uwanjani kwa kujiamini kua keshaitoa atletico hapana, atletico ndo strongest opponent katika wote walioingia robo fainal, so barcelona wataingia kwa tahadhari kubwa sana kuliko tunavyodhani
Jukwaa la Barca nilisema kuwa huenda El Classico isiwe tamu sana kutokana na mtihani mzito uliopo mbele ya Barca. Mimi naamini kabisa Barca akili yote ipo kwa Atletico, na Game ya kwanza hapo Camp Nou Barca atacheza kufa na kupona ili ashinde. Kule ugenini ni ngumu kuizuia Barca isifunge walau goli mbili, check Game za Atletico pale kwao na Barca uone Barca ka anakosaga kumfunga kwake.
 
Reactions: PNC
Wanachoomba Barca ni wasipate majeruhi, hata Atletico anajua kuwa mpinzani wake mkubwa ni Barca, hakupenda akutane nae kabisa.

Kinachomhofu sana Atletico ni safu yake ya ushambuliaji, bado hakuna mtu wa kusimama wa kueleweka kuweka mpira wavuni.

Barca ataingia uwanjani huku Messi na Neymar wakijua kwamba ndani ya nafasi 5 basi wamefunga 4.

Game itakuwa ngumu sana, hata ikiwa droo mechi ya kwanza haimaanishi kwamba Barca katoka au Atletico kapita. Ila sioni kama draw itapatikana kirahisi, kumzuia Messi na Neymar wasikufunge ni ngumu sana.
 
Reactions: PNC
Atletico walicheza final na real madrid mwaka 2014, wakaongoza 1-0 hadi dakika ya 92 kwa kupaki basi, madrid wakasawazisha zikaongezwa dakika 30 wakapigwa 4-1
ni wachovu tu kama wengine, sema timu ina wachezaji wabishi wengi ila wachovu tu
Kama unaangalia Game hiyo tu basi tuangalie uwezo wao wa miaka ya hivi karibuni, Real kaumia mno kuliko Atletico.
 
Reactions: PNC
Kama unaangalia Game hiyo tu basi tuangalie uwezo wao wa miaka ya hivi karibuni, Real kaumia mno kuliko Atletico.
no lengo langu sio kuwalinganisha na real, nilitka kusema pia wao huwa wanachoka
 


Mkuu hiyo siyo hoja kama unavyoita wewe, that's the fact. Draw imechezeshwa mbele ya macho yetu tumeona wote. Hayo unayojiminisha wewe na imani yako hayatuhusu. Mbona quarter final ya msimu uliopita ilikuwa Real Madrid vs Atletico na kila mtu alichukulia kawaida tu. Why always drama starts with You Cules?
 
Na msimu uliopita je? Vipi Copa del rey msimu uliopita pia? Hakupigwa nje ndani?
Unazungumzia vipi uhaba wa ufungaji wa maana kwa Atletico?
Nakumbuka vyote. Ila mimi naamini hawa Atletico hawatakubali kuwa wateja wenu kirahisi hivyo safari kwenye uefa. Ingawa mechi itakuwa ngumu
 
Ni bora sana kuliko hizo timu za ligi ya mchangani kwenu.
 
Achana na majuha hayo kazi kulalamika tu kila kitu kiko wazi kwenye kuchezesha draw.
 
Ndo ingekuwa Game kali kuliko Classico, Atletico sio wajinga na wachovu kama Juventus. Juventus majuzi baada ya kuchoka akaanza kupak bus na kuruhusu mashambulizi mwanzo mwisho. Atletico hawachoki aiseeee, na defense yao si mchezo.
Umejisahaulisha fainali aliyokutana na Madrid!? Ramos aliwanyonyoa dkk ya ngapi vile?kisha mvua ya magoli ikaanza kumiminika.
 
Atletico ni wepesi sana kwa barca ya sasa, nou camp tutauona udhaifu wa atletic
 
Wako wapi wale waliokua wanabisha kuhusu barca kutolewa na atletico? Wote wamekimbia
 
Nimejikumbuka PNC uko wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…