Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna la ziada hapa kwisheni..Game over
Milito ndiye Mchezaji Bora wa Mwaka huu hakuna Ubishi
Awepo kwenye timu ya taifa in WC10 mana si mchezo!..Argentina pametulia!
Straika wa Balantanda katoka, bwa ha ha ha..
we, acha hizo mazeeMilito ndiye Mchezaji Bora wa Mwaka huu hakuna Ubishi
Kabanwa sana na Inter leo.........kama Bayern walivombana Eto'o na kumsahau Milito....Hongera zao Inter........Sasa sijui wee hapa waishangilia Nerrazzuri ama.........Maana wao na Rossoneri mbali mbali,Simba na Yanga
van Bommel is very clumsy
Mzee umeanza kufuatilia soka la Ulaya lini? Baada ya Madrid timu inayofuatia ktk kuchukua kombe hili Milan 1899 a.k.a Rossoneri. BTW, Etoo amefurukuta kwene goli la pili amechangia, lakini straika wako Olic alikuwa anarukaruka tu uwanjani.Kabanwa sana na Inter leo.........kama Bayern walivombana Eto'o na kumsahau Milito....Hongera zao Inter........Sasa sijui wee hapa waishangilia Nerrazzuri ama.........Maana wao na Rossoneri mbali mbali,Simba na Yanga