CHAN: Sudan 1 vs 2 Tanzania - Taifa Stars yafuzu mashindano ya CHAN kwa faida ya goli la ugenini

Mmeanza ujinga tena.Bila kuchomekea siasa hamna amani.
 
Upepo wa kisulisuli ulivuka na kukatiza mito, milima na mabonde mpaka Sudan, ukaipeperusha bendera ya Tanzania!!!!
 
Itakuchukua muda sana kuelewa
 
Mkuu naomba nkusahihishe! Goal la uganini aliongezewi mpka matokeo ya jumla(home and away game's result) yawe suluhu na linaongezwa goal moja tu kwa yule mwenye magoal mengi...kwa mechi ya stars matokeo ni draw 2-2 ila stars ana qualify kwa faida ya magoal mengi ya ugenini....
 
Huyu ndugu watu wamejitahidi kumuelewesha ila naona haelewi alikua hafahamu hili analoambiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…