Salumu Mashaka KimenyaHivi huyu beki aliegeuzwa kama chapati anaitwa nani....
Ww kweli kiazi full stopMpira, ndio umeanza. Kwa sare zilizovaliwa, sitaumia kwa matokeo yoyote!
Salum Kimenya,Tz prisonsHivi huyu beki aliegeuzwa kama chapati anaitwa nani....
Haya mashindano bora Tz isiwepo tuwe tunaendelea na ligi yetu
Ukiitwa mbumbumbu utalalamika? Timu mbovu tuJezi Zimeshalalamikiwa Hizi, Ila TFF Waliziba Masikio
Jezi zinasaidia nini mkuu kwa wachezaji wetu hawa? Nikupigwa tuJezi Zimeshalalamikiwa Hizi, Ila TFF Waliziba Masikio
Beki hovyo kabisa.Siyo kwa chenga aliyopigwa uyu beki
Acha ujua, sliyekwambia jezi ucheza Mpira ni nani, mawazo kama yako ndiyo yanatufanya tuendelee kuwa kichwa cha kichaa. Badala ya kudeal na tatizo tunadeal na na mavazi, tubadilike ndugu zangu, bila hivyo hatutoboiJezi Zimeshalalamikiwa Hizi, Ila TFF Waliziba Masikio
Tuombe stars warudi kwenye mchezo, tofauti na hapo ni kilio kingine
Unampa Mungu kazi ngumu sana kwa hii timu,maana hata yeye haoni pakutusaidiaMungu ibariki Taifa stars ingawa sina matumaini! Huyu beki wa kulia amekuwa chochoro ila akipata nafasi zaidi anaweza kuimarika