braina
Member
- Jan 10, 2014
- 28
- 5
Chanel ya Mbc1 imetangaza kuwa imegunduliwa perfume yenye sumu na kuua nchini :-
Iraq, Bahrein na Saudia, vilevile ktika mji wa Alain (U.A.E), na Bremi nchini Oman.
Watu 8 nchini Iraq wameshafariki dunia na wapatao 35 wapo hali mbaya.
Tayari wameshagundua jina na muundo wa perfume hii yenye sumu na kuua, nayo inaitwa (LOVELY ) na baada ya uchunguzi imeonyesha kuwa athari yake haitokei mara baada ya kutumia (inapogusa sehemu ya mwili), bali inachukua siku 3-4 na inaweza kuwa ni kifo cha ghafla.
Kwa usalama wako na uwapendao ieneze habari hii haraka sana.
Isambaze haraka kabla hajainunua mtu kati ya uwapendao🙏 picha ya pafyum hiyo 👇
Ndio hii.
Iraq, Bahrein na Saudia, vilevile ktika mji wa Alain (U.A.E), na Bremi nchini Oman.
Watu 8 nchini Iraq wameshafariki dunia na wapatao 35 wapo hali mbaya.
Tayari wameshagundua jina na muundo wa perfume hii yenye sumu na kuua, nayo inaitwa (LOVELY ) na baada ya uchunguzi imeonyesha kuwa athari yake haitokei mara baada ya kutumia (inapogusa sehemu ya mwili), bali inachukua siku 3-4 na inaweza kuwa ni kifo cha ghafla.
Kwa usalama wako na uwapendao ieneze habari hii haraka sana.
Isambaze haraka kabla hajainunua mtu kati ya uwapendao🙏 picha ya pafyum hiyo 👇
Ndio hii.