Chaneli ya TVN kutokea Korea yaingia rasmi Afrika

Chaneli ya TVN kutokea Korea yaingia rasmi Afrika

Kwa nini hupendi korean drama?
Mmmmmmhmn kwanza katika kudirect bado sana. Matukio yanatengezwa kishamba sana kumpa mtazamaji msisimko usio wa lazima.

Pili, story zao hazijapishana sana na bongo movie. Mfano, kijana masikini anapambana kuwa tajiri, mama mkwe hampendi mtoto wa kambo, akina mama wamechanganya watoto hospitali wamekuwa wakubwa sasa wanatafuta wazazi wao. Simple story ambazo me huwa naona creativity ni ndogo sana plus hazina influence katika maisha ya kisasa.

Me huwa natazama movie za Hollywood sana. Na hata series huwa naziweza sana za amerika na UK.

Kwanza lugha ni nyepesi kuelewa. Madirector ni wabunifu sana. Video ni za ubora wa juu plus ubunifu na mandhali ni wa kisasa sana.

Story lines zao ukimaliza kutazama movie kuna kitu inakupa challenge kuhusu maisha na hata ukitoka unakuwa na jambo jipya kichwani.

Ukiona Tamthilia hadi beki tatu, na watoto wako walio primary school wanafuatilia jitafakari sana upeo wako.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmmmmmhmn kwanza katika kudirect bado sana. Matukio yanatengezwa kishamba sana kumpa mtazamaji msisimko usio wa lazima.

Pili, story zao hazijapishana sana na bongo movie. Mfano, kijana masikini anapambana kuwa tajiri, mama mkwe hampendi mtoto wa kambo, akina mama wamechanganya watoto hospitali wamekuwa wakubwa sasa wanatafuta wazazi wao. Simple story ambazo me huwa naona creativity ni ndogo sana plus hazina influence katika maisha ya kisasa.

Me huwa natazama movie za Hollywood sana. Na hata series huwa naziweza sana za amerika na UK.

Kwanza lugha ni nyepesi kuelewa. Madirector ni wabunifu sana. Video ni za ubora wa juu plus ubunifu na mandhali ni wa kisasa sana.

Story lines zao ukimaliza kutazama movie kuna kitu inakupa challenge kuhusu maisha na hata ukitoka unakuwa na jambo jipya kichwani.

Ukiona Tamthilia hadi beki tatu, na watoto wako walio primary school wanafuatilia jitafakari sana upeo wako.



Sent using Jamii Forums mobile app
Dah aisee kumbe....hiyo point yako ya mwisho nimeielewa zaidi, ila mimi siwezi kuacha kuangalia kdrama hata iweje aisee nimefunga nao ndoa....acha tu nikubali kuwa upeo wangu mdogo
 
Mmmmmmhmn kwanza katika kudirect bado sana. Matukio yanatengezwa kishamba sana kumpa mtazamaji msisimko usio wa lazima.

Pili, story zao hazijapishana sana na bongo movie. Mfano, kijana masikini anapambana kuwa tajiri, mama mkwe hampendi mtoto wa kambo, akina mama wamechanganya watoto hospitali wamekuwa wakubwa sasa wanatafuta wazazi wao. Simple story ambazo me huwa naona creativity ni ndogo sana plus hazina influence katika maisha ya kisasa.

Me huwa natazama movie za Hollywood sana. Na hata series huwa naziweza sana za amerika na UK.

Kwanza lugha ni nyepesi kuelewa. Madirector ni wabunifu sana. Video ni za ubora wa juu plus ubunifu na mandhali ni wa kisasa sana.

Story lines zao ukimaliza kutazama movie kuna kitu inakupa challenge kuhusu maisha na hata ukitoka unakuwa na jambo jipya kichwani.

Ukiona Tamthilia hadi beki tatu, na watoto wako walio primary school wanafuatilia jitafakari sana upeo wako.



Sent using Jamii Forums mobile app

I couldn’t agree more, Aisee hiyo point yako ya mwisho ulioisema ni 10/10 aisee chukua kinywaji chochote cha karibu yako kama ni beer soda au wine ntalipa.
Mfano hizi Bollywood Series za Channel X kuna kale kanaitwa KULFI aisee mm n adult ntaangaliaje mambo kama zile
 
Dah aisee kumbe....hiyo point yako ya mwisho nimeielewa zaidi, ila mimi siwezi kuacha kuangalia kdrama hata iweje aisee nimefunga nao ndoa....acha tu nikubali kuwa upeo wangu mdogo
Kwakwel tumefunga wengi ndoa na Hawa wakorea, kitu kinanipa stress siwez imagine ten years to come eti majukum ni mengi ntakosa Muda wa kutizama [emoji23][emoji23]...


Dawa ni kushusha more drama
 
I couldn’t agree more, Aisee hiyo point yako ya mwisho ulioisema ni 10/10 aisee chukua kinywaji chochote cha karibu yako kama ni beer soda au wine ntalipa.
Mfano hizi Bollywood Series za Channel X kuna kale kanaitwa KULFI aisee mm n adult ntaangaliaje mambo kama zile

Mkuu zile sio Bollywood Series, Hazitokani kabisa na Bollywood, Unajua India kuna Industry nyingi sana nyengine unakuta zinakaribiana na Bongo movie tu.

Bollywood wanatoa Web Series zipo vizuri sana tu.
 
Mkuu zile sio Bollywood Series, Hazitokani kabisa na Bollywood, Unajua India kuna Industry nyingi sana nyengine unakuta zinakaribiana na Bongo movie tu.

Bollywood wanatoa Web Series zipo vizuri sana tu.
Mkuu naomba uniambie kidogo kuhusu web series
 
Habari zenu wakuu, kwa wale wapenzi wa korean dranas hii ni ya kwenu.


Channel ya TVN kutokea Korea Yaingia Rasmi Africa.


Wakorea ambao kwa muda mrefu sasa tumekuwa tukiangalia series zao na wao wameamua kuleta version ya Africa ya Channeli ya TVN.

Kama umeangalia series kama MR SUNSHINE, CRUSH LANDING ON YOU pamoja na GOBLIN ya mwaka 2016, TVN ndio channel iliyohusika kutengeneza au kuonesha series hizo.

Kampuni ya CJENM ambayo ndio inamiliki kituo cha TVN huko Korea kama ambavyo IPP inavyomiliki ITV imeingia makubaliano na DSTV kuruhusu channel hiyo iitwayo TVN AFRICA kuanza kurusha matangazo yake.

Channel hii ni namba 134 hapo DSTV itakuwa inapatikana kupitia package ya DSTV Compact, Compact + na DSTV Premium huku kwa South Africa imepata upendeleo maana itakuwa inapatikana pia kupitia DSTV Family.

UTOFAUTI NI NINI?

Well, TVN AFRICA haitakuwa sawa na ile original TVN ya Korea kwa maana ya kwamba hii ya Africa itakuwa na Subtitles za kiingereza lakini pia dramas zitakazokuwa zinaoneshwa huku Africa zitakuwa tofauti na Korea "meaning TVN Africa will have a customized feed special for Africa"

TVN ndio channel ya kwanza ya kikorea kuingia rasmi kwenye soko la Africa.

Ombi la waafrika wengi kwenye social media baada ya kusikia taarifa hizo ni kwamba TVN Africa isiwe inarudia rudia series za zamani kama ambavyo channel nyingine za kimataifa zinafanya.

Mfano Nickeledeon Africa mpaka leo bado inaonesha shows kama ICARLY ya 2007, GAME SHAKERS pamoja YA THE THUNDERMANS ya 2013 hizi ni shows ambazo hazipo on demand tena hivyo watu wanataka series mpya kwenye channel hiyo.

Pia suala la dubbing ni kitu ambacho watu walikuwa wanakiongelea kwenye social media hasa Facebook, huku wapenzi wa Korean Dramas wakisema kuwa hawataki waingiza sauti kwenye series ambazo zitaoneshwa kwenye chanel hiyo ya TVN Africa kwani inaondoa uhalisia wa series nzima.

KWANI TVN ILIANZIA WAPI?

Yes channel ya TVN ilianza mwaka 2006 huko Korea ikiwa chini ya kampuni ya CJENM kampuni inayoongoza kwa Kutengeneza filamu huko nchini Korea kusini.

Wajuzi wa mambo wanasema wakati TVN inaanza haikudhaniwa kuwa itakuja kuwa tishio kwani TV stations kama SBS, KBS pamoja MBC ndio zilizokuwa zinapata watazamaji na wadhamini wengi.

Lakini utofauti wa TVN na chaneli hizo tatu ni kuwa kama jina lake linavyojieleza Total Variety Network, TVN ilikuja kivingine kwani vipindi vyake havikuwa vinachagua rika. Ndani ya TVN kulikuwa na vipindi vya michezo, muziki, filamu, tamthiliya, habari na vinginevyo.

Ni kama tu ITV ambavyo ina THE BASE kwa ajili ya vijana, KIPIMA JOTO kwa ajili ya watu wazima na WATOTO WETU kwa ajili ya watoto. Hivyo TVN ilileta mapinduzi haswa kwenye kiwanda cha maudhui.

Kwa sasa kituo hiki kinachoongozwa na Rhee Myeong Han kina shows tofauti tofauti kama ON& OFF, HOME TOWN FLEX lakini vile vile kuanzia mwaka 2009 mpaka 2012 walipata nafasi ya kuonesha michuano ya UEFA na EUROPA pia inaendelea kuoneshwa.

Pia TVN inamiliki studio yake kwa ajili ya kutengeneza Korean dramas ijulikanayo kama Studio Dragon ambayo ukiangalia kwa umakini ni kama kampuni inayojitegemea.

Studio Dragon inahusika kutengeneza Series zote za TVN na hata nje ya TVN huku Netflix ikiwa ina 4% share katika kampuni hiyo na ndio maana hata series ya KINGDOM starring Ju Ji Hoon inayooneshwa na Netflix ilitengenezwa na Studio Dragon.


Swali kubwa watu wanalojiuliza ni je TVN Africa itaweza kuwa na influence kama ambayo MTV Base au Fox Africa iko nayo kwenye bara hili?

Chochote kinaweza kutokea kwa sasa tuendelea kurahani series na vipindi vizuri kutoka TVN Africa.

Uzi Tayari

View attachment 1770049View attachment 1770051View attachment 1770052View attachment 1770053
Afadhal i
 
Mkuu zile sio Bollywood Series, Hazitokani kabisa na Bollywood, Unajua India kuna Industry nyingi sana nyengine unakuta zinakaribiana na Bongo movie tu.

Bollywood wanatoa Web Series zipo vizuri sana tu.

Kama sio Bollywood kumbe wale ni industry ipi tena jamani?
IMG_3241.jpg
 
Kama sio Bollywood kumbe wale ni industry ipi tena jamani?

Ni Tv industry za Mumbai, hawana mahusiono kabisa na Bollywood. India kuna Industry nyingi sana.

Zile kule India ni kwa ajili ya akina mama wa uswahilini na watoto, Hata huko India kwenyewe zinachukuliwa kama ni Utopolo tu, Sema zina mashabiki wake wengi tu mana India pia kuna Jamii kubwa ya watu wenye kili ndogo huko uswahilini.
 
Ni Tv industry za Mumbai, hawana mahusiono kabisa na Bollywood. India kuna Industry nyingi sana.

Zile kule India ni kwa ajili ya akina mama wa uswahilini na watoto, Hata huko India kwenyewe zinachukuliwa kama ni Utopolo tu, Sema zina mashabiki wake wengi tu mana India pia kuna Jamii kubwa ya watu wenye kili ndogo huko uswahilini.
daah hizi sasa dharau?
 
Back
Top Bottom