Chaneli zaidi ya 23000+ kwa Tsh.9000/= kwa mwezi ila unapewa masaa 24 ya kuzitazama kabla ya kununua

Chaneli zaidi ya 23000+ kwa Tsh.9000/= kwa mwezi ila unapewa masaa 24 ya kuzitazama kabla ya kununua

Kuna mtu anaenda kuumia hapa! ogopa matapeli mjini apa! nmemaliza atakaeunganishiwa akakaa siku 3 bas alete ushuhuda hapa! Tunasubiri mrejesho
mwezi wa3 sahivi nampa hizo buku 9, me najiachia
 
IPTV app gani unayotumia Mkuu?
Mi haya makitu yamenishinda sababu ya TV nliokua haina App ya IPTV
Kama tv ni android unadownload kama app nyingine tu za smart tv, ukimcheki jamaa hapo atakuelekeza vizuri
 
Back
Top Bottom