Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Hivi zuku si ni ya ungo tu??, na ni bei gani?Kina Zuku ni Unlimited kweli, hizi za kina Airtel ni 500GB-1TB then wana drop speed, haikati ila utatumia kwa speed ndogo. Kama matumizi ni 30GB hata Airtel inakufaa unlimited yao.