Tatizo la kuokoteza mafundi wa bei chee! Mradi umeona kijana anatembea na mashine ya kukatia vigae unajua huyu ni fundi kumbe wapi bwana! Nimeshangaa sana kuona hizo nafasi!Hawa ni mafundisho wa wapi washamba hivi mpaka Sasa hivi wanaacha space kati ya kigae? Huo ni uchafu uliopindukia kwani wataalamu wa Sasa hivi hawatumii tena ma spacer na vigae vinakuwa na mwonekano mzuri na hakuna tatizo sijui lanupumuaji, sijue kutanuka hakuna
Eneo ulilojenga lina chumvi chumvi. Kwa vile hujaweka dump proof unyevu unapenya mpaka ndani! Na mafundi wako walikuwa day workers! Karne hii bado wanachafua vigae namna hiyo?Wataalamu wa ujenzi, nimeweka tiles nyumbani kwangu,lakini baada ya miezi miwili kupita vinatokea hivi vitu.
Ni kama maji lakini ni mazito kiasi yanavutika,yakikauka yanaacha rangi nyeupe,hata ukisafisha hayatoki kirahisi,yakitoka baada ya muda yanatoka tena.
Je shida inaweza kuwa ni nini.
Nb.Nyumba imepigwa jamvi,lakini dpm haijawekwa.
Picha zinajielezaView attachment 2831393View attachment 2831394View attachment 2831395View attachment 2831396View attachment 2831397View attachment 2831398View attachment 2831399
Ni hatari sana mkuu, nyumba inaonekana chafu muda woteEneo ulilojenga lina chumvi chumvi. Kwa vile hujaweka dump proof unyevu unapenya mpaka ndani! Na mafundi wako walikuwa day workers! Karne hii bado wanachafua vigae namna hiyo?
Pole sana mkuu! Hiyo andika hasara ubomoe vigae uweke upya!Ni hatari sana mkuu, nyumba inaonekana chafu muda wote
Hakuna namnaPole sana mkuu! Hiyo andika hasara ubomoe vigae uweke upya!
Uwekaji mzuri unaonekanaje?. Tunaomba picha.Tatizo la kuokoteza mafundi wa bei chee! Mradi umeona kijana anatembea na mashine ya kukatia vigae unajua huyu ni fundi kumbe wapi bwana! Nimeshangaa sana kuona hizo nafasi!
Na vipi huyu mwamba ameacha space au ndiyo amepatia?Tatizo la kuokoteza mafundi wa bei chee! Mradi umeona kijana anatembea na mashine ya kukatia vigae unajua huyu ni fundi kumbe wapi bwana! Nimeshangaa sana kuona hizo nafasi!
Huyu mkuu yuko sawa kabisa! Siyo unaacha space utafikri umetumia vipande vya tiles!Na vipi huyu mwamba ameacha space au ndiyo amepatia?View attachment 2834833
Mkuu huyu fundi wako kimeo, spacing tu shida.
Huyu ni mtaalam balaa mkuu, kama ni vigae 50x50 yuko vizuri sana.Na vipi huyu mwamba ameacha space au ndiyo amepatia?View attachment 2834833
Kwahiyo hapo hakuna haja ya kujaza gundi kwenye hiyo mistari?.Huyu mkuu yuko sawa kabisa! Siyo unaacha space utafikri umetumia vipande vya tiles!
Kujaza lazima ujaze tu kuziba hizo nyufa. Umeiona lakini picha ya vigae vya mwenzetu yule wa kwanza?Kwahiyo hapo hakuna haja ya kujaza gundi kwenye hiyo mistari?.
Ndio mkuu,maji ni mengi,lakini hayo maji ambayo yanatoka kwenye hizo space sio maji ni mazito kama kamasiMkuu huyu fundi wako kimeo, spacing tu shida.
Vipi eneo ulilojenga lina maji mengi?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119]Siku sio nyingi utafukuzwa kwenye iyo nyumba maana naona inautajiri wa mafuta
Fundi maiko huyo!Wataalamu wa ujenzi, nimeweka tiles nyumbani kwangu,lakini baada ya miezi miwili kupita vinatokea hivi vitu.
Ni kama maji lakini ni mazito kiasi yanavutika,yakikauka yanaacha rangi nyeupe,hata ukisafisha hayatoki kirahisi,yakitoka baada ya muda yanatoka tena.
Je shida inaweza kuwa ni nini.
Nb.Nyumba imepigwa jamvi,lakini dpm haijawekwa.
Picha zinajielezaView attachment 2831393View attachment 2831394View attachment 2831395View attachment 2831396View attachment 2831397View attachment 2831398View attachment 2831399
Wacha eeeeee. Kwa mara ya kwanza kiwanda kikawa kimevunja rekodi sasa!Tiles zilizotumika ni kampuni/trade name gani kwanza?
Nahisi ndio zenye shida ya kuyeyusha material fulani yaliyo chini yake inaponyesha mvua
Nimetumia grout mkuuHayo siyo maji ni umetumia material ambayo ni hdroscopic kwenye hizo space