Changamoto baada ya kuweka tiles(vigae)

Changamoto baada ya kuweka tiles(vigae)

Hawa ni mafundisho wa wapi washamba hivi mpaka Sasa hivi wanaacha space kati ya kigae? Huo ni uchafu uliopindukia kwani wataalamu wa Sasa hivi hawatumii tena ma spacer na vigae vinakuwa na mwonekano mzuri na hakuna tatizo sijui lanupumuaji, sijue kutanuka hakuna
Tatizo la kuokoteza mafundi wa bei chee! Mradi umeona kijana anatembea na mashine ya kukatia vigae unajua huyu ni fundi kumbe wapi bwana! Nimeshangaa sana kuona hizo nafasi!
 
Wataalamu wa ujenzi, nimeweka tiles nyumbani kwangu,lakini baada ya miezi miwili kupita vinatokea hivi vitu.

Ni kama maji lakini ni mazito kiasi yanavutika,yakikauka yanaacha rangi nyeupe,hata ukisafisha hayatoki kirahisi,yakitoka baada ya muda yanatoka tena.

Je shida inaweza kuwa ni nini.
Nb.Nyumba imepigwa jamvi,lakini dpm haijawekwa.

Picha zinajielezaView attachment 2831393View attachment 2831394View attachment 2831395View attachment 2831396View attachment 2831397View attachment 2831398View attachment 2831399
Eneo ulilojenga lina chumvi chumvi. Kwa vile hujaweka dump proof unyevu unapenya mpaka ndani! Na mafundi wako walikuwa day workers! Karne hii bado wanachafua vigae namna hiyo?
 
Eneo ulilojenga lina chumvi chumvi. Kwa vile hujaweka dump proof unyevu unapenya mpaka ndani! Na mafundi wako walikuwa day workers! Karne hii bado wanachafua vigae namna hiyo?
Ni hatari sana mkuu, nyumba inaonekana chafu muda wote
 
Tatizo la kuokoteza mafundi wa bei chee! Mradi umeona kijana anatembea na mashine ya kukatia vigae unajua huyu ni fundi kumbe wapi bwana! Nimeshangaa sana kuona hizo nafasi!
Uwekaji mzuri unaonekanaje?. Tunaomba picha.
 
Tatizo la kuokoteza mafundi wa bei chee! Mradi umeona kijana anatembea na mashine ya kukatia vigae unajua huyu ni fundi kumbe wapi bwana! Nimeshangaa sana kuona hizo nafasi!
Na vipi huyu mwamba ameacha space au ndiyo amepatia?
503-bigstock-Laying-Ceramic-Tiles-55117145-1427727506-600x360.jpg
 
Siku sio nyingi utafukuzwa kwenye iyo nyumba maana naona inautajiri wa mafuta
 
Mkuu huyu fundi wako kimeo, spacing tu shida.
Vipi eneo ulilojenga lina maji mengi?
Ndio mkuu,maji ni mengi,lakini hayo maji ambayo yanatoka kwenye hizo space sio maji ni mazito kama kamasi
 
Wataalamu wa ujenzi, nimeweka tiles nyumbani kwangu,lakini baada ya miezi miwili kupita vinatokea hivi vitu.

Ni kama maji lakini ni mazito kiasi yanavutika,yakikauka yanaacha rangi nyeupe,hata ukisafisha hayatoki kirahisi,yakitoka baada ya muda yanatoka tena.

Je shida inaweza kuwa ni nini.
Nb.Nyumba imepigwa jamvi,lakini dpm haijawekwa.

Picha zinajielezaView attachment 2831393View attachment 2831394View attachment 2831395View attachment 2831396View attachment 2831397View attachment 2831398View attachment 2831399
Fundi maiko huyo!
 
Tiles zilizotumika ni kampuni/trade name gani kwanza?
Nahisi ndio zenye shida ya kuyeyusha material fulani yaliyo chini yake inaponyesha mvua
Wacha eeeeee. Kwa mara ya kwanza kiwanda kikawa kimevunja rekodi sasa!
 
Back
Top Bottom