Changamoto baada ya kuweka tiles(vigae)

Changamoto baada ya kuweka tiles(vigae)

Hizo tiles hazikuwekwa na fundi professional...! Nimegundua hilo baada ya picha moja kuonesha tofauti kubwa ya lines!
Pia hata uwe Groute, ama hawakutumia Groute yenye
Ubora ama hawakuweka kwa Utaalam!

Kwa sababu Groute ina cement na mchanganyiko mwingine ndani yake, uki apply vile inatakiwa, haiwezi kuruhusu maji mazito kama hayo kutoka ndani kuja nje, zaidi ungeona Groute ina unyevu tu.

Ndo mara ya kwanza kuona kitu kama hicho.
Sasa mkuu,pamoja na kosa la fundi,hamuoni kosa lake limeweza kuwapa nafasi ya kugundua kitu? Mpaka sasa,kuna yeyote anayejua changamoto hapo ni nini? Hapo amuite fundi,afumue vigae,waangalie kuna nini chini. Hata kama yangekuwa maji,yangeonekana kwenye hiyo mistari.
Kwenye kupishana kwa mistari, mtamlaumu fundi bure. Hivi vigae vya siku hizi,haieleweki ni kwa nini,viwandani(kama wamo humu),wataelezea shida ni nini. Unachukua package,af badae unakuta havilingani. Hilo limetokea pia kwa mtu mmoja,bahati nzuri ni vile size ndogo vipo bafuni.
 
Inaezekekana kurekebisha tatizo , lakini pia kama upo vizuri piga tarazo
 
Sasa mkuu,pamoja na kosa la fundi,hamuoni kosa lake limeweza kuwapa nafasi ya kugundua kitu? Mpaka sasa,kuna yeyote anayejua changamoto hapo ni nini? Hapo amuite fundi,afumue vigae,waangalie kuna nini chini. Hata kama yangekuwa maji,yangeonekana kwenye hiyo mistari.
Kwenye kupishana kwa mistari, mtamlaumu fundi bure. Hivi vigae vya siku hizi,haieleweki ni kwa nini,viwandani(kama wamo humu),wataelezea shida ni nini. Unachukua package,af badae unakuta havilingani. Hilo limetokea pia kwa mtu mmoja,bahati nzuri ni vile size ndogo vipo bafuni.
Uko sahihi...!

Kuhusu Vigae kupishana, Vigae vingi sasa vinapishana, hasa vya Bongo, China na India....!

Vigae ambavyo sijawahi kuona vikipishana na kutoka Spain, navyo bei yake ni Mkasi.
 
Sasa mkuu,pamoja na kosa la fundi,hamuoni kosa lake limeweza kuwapa nafasi ya kugundua kitu? Mpaka sasa,kuna yeyote anayejua changamoto hapo ni nini? Hapo amuite fundi,afumue vigae,waangalie kuna nini chini. Hata kama yangekuwa maji,yangeonekana kwenye hiyo mistari.
Kwenye kupishana kwa mistari, mtamlaumu fundi bure. Hivi vigae vya siku hizi,haieleweki ni kwa nini,viwandani(kama wamo humu),wataelezea shida ni nini. Unachukua package,af badae unakuta havilingani. Hilo limetokea pia kwa mtu mmoja,bahati nzuri ni vile size ndogo vipo bafuni.
Ni kweli kabisa mkuu, changamoto kubwa iliyotokea hapo ni vigae kutokuendana,yani fundi alihangaika sana wakati wa kuweka vilikuwa vinapishana
 
Ni kweli kabisa mkuu, changamoto kubwa iliyotokea hapo ni vigae kutokuendana,yani fundi alihangaika sana wakati wa kuweka vilikuwa vinapishana
Hapo usipokuwepo utamlaum tu bule. Mara huenda amevikata,mara nini.
Kwa upande wangu sioni kosa lake,maana ikiwa havina uwiano,lazima makosa yaonekane.
Sasa hapa, mchina akileta mashine zake na kujizolea pesa,wanamuandama na kumuonea wivu. Ina maana watengenezaji hawajapata taarifa ya makosa yao? Au kosa wanunuaji?!
 
Wataalamu wa ujenzi, nimeweka tiles nyumbani kwangu,lakini baada ya miezi miwili kupita vinatokea hivi vitu.

Ni kama maji lakini ni mazito kiasi yanavutika,yakikauka yanaacha rangi nyeupe,hata ukisafisha hayatoki kirahisi,yakitoka baada ya muda yanatoka tena.

Je shida inaweza kuwa ni nini.
Nb.Nyumba imepigwa jamvi,lakini dpm haijawekwa.

Picha zinajielezaView attachment 2831393View attachment 2831394View attachment 2831395View attachment 2831396View attachment 2831397View attachment 2831398View attachment 2831399
Tafuta hela kenge wewe
 
Wataalamu wa ujenzi, nimeweka tiles nyumbani kwangu,lakini baada ya miezi miwili kupita vinatokea hivi vitu.

Ni kama maji lakini ni mazito kiasi yanavutika,yakikauka yanaacha rangi nyeupe,hata ukisafisha hayatoki kirahisi,yakitoka baada ya muda yanatoka tena.

Je shida inaweza kuwa ni nini.
Nb.Nyumba imepigwa jamvi,lakini dpm haijawekwa.

Picha zinajielezaView attachment 2831393View attachment 2831394View attachment 2831395View attachment 2831396View attachment 2831397View attachment 2831398View attachment 2831399
Akili yangu inaniambia hapo tatizo ni hiyo grout.

Toa hiyo grout, weka nyingine iliyo bora!
 
Back
Top Bottom