Changamoto gani utakutana nazo kwa kuoa au kuishi na Mwanamke mwenye mtoto?

Changamoto gani utakutana nazo kwa kuoa au kuishi na Mwanamke mwenye mtoto?

Aah we acha hizo, akutane nayo ukubwani hiyo vipi?

Ndio hivyo

Tena kuna wanawake huwa wanafanya kama hela ya matunzo ya mtoto ni sehemu ya chanzo cha mapato yake...
 
Hawaachanagi hao kwa kisingizio cha mtoto, wengine wanaendaga mbali kwa viujinga vya kuitwa co-parenting, kuwa na mahusiano na mtu mwenye mtoto ni sawa upo na mpenzi wa mtu.....we kama unaweza kumuacha muache tu

Chagua kabisa mahali sanamu lako nikujengee mama...wewe ni mtu muhimu sana 😘😘😘
 
Hawaachani na waume waliowwzalisha
Wakikutana mwamba akitaka mzigo faster

Gharama za maisha zinaongezeka kwako unahudumia manii ya mwenzako, pata picha mkeo alikuwa anafurahia wakati anazini na huyo baba mtoto alafu unakuja kulipa ww ada starehe ya mwenzako [emoji38][emoji38]
Shida yote ya nini ilhali mabinti wapo tele?
 
Hawaachanagi hao kwa kisingizio cha mtoto, wengine wanaendaga mbali kwa viujinga vya kuitwa co-parenting, kuwa na mahusiano na mtu mwenye mtoto ni sawa upo na mpenzi wa mtu.....we kama unaweza kumuacha muache tu
Ishu ya kuachana inategemea haswa kama mwanaume ndo kaamua kumuacha mwanamke na hataki kumrudia kwa namna yoyote ile,
Binafsi nimeacha mke ambaye nimezaa nae watoto wawili,
Baada ya kupitia nyuzi kadhaa za jf kuhusu kuoa singo maza ikabidi nifanye majaribio ya kuomba kupasha kiporo kwa mtalaka wangu ambaye nimeshazaa nae watoto wawili alikua ameshaolewa huko na mwanaume mwingine

Alichokifanya yule mwanamke amekubali kweli na akafunga safari kutoka huko kwa mumewe mpaka nilipokua ili kupasha kiporo, ananipigia simu ananiambia ameshafika nimuelekeze nilipo

Nilichokifanya mimi nikamtumia pesa nikamwambia,

"rudi nyumbani mi nipo kazini sa hizi"

Nami naungana na wanaume wenzangu

HAKUNA KUOA SINGLE MOTHER MPAKA UHAKIKISHE UMEONA KABURI LA BABA MTOTO/WATOTO WAKE
 
Ishu ya kuachana inategemea haswa kama mwanaume ndo kaamua kumuacha mwanamke na hataki kumrudia kwa namna yoyote ile,
Binafsi nimeacha mke ambaye nimezaa nae watoto wawili,
Baada ya kupitia nyuzi kadhaa za jf kuhusu kuoa singo maza ikabidi nifanye majaribio ya kuomba kupasha kiporo kwa mtalaka wangu ambaye nimeshazaa nae watoto wawili alikua ameshaolewa huko na mwanaume mwingine

Alichokifanya yule mwanamke amekubali kweli na akafunga safari kutoka huko kwa mumewe mpaka nilipokua ili kupasha kiporo, ananipigia simu ananiambia ameshafika nimuelekeze nilipo

Nilichokifanya mimi nikamtumia pesa nikamwambia,

"rudi nyumbani mi nipo kazini sa hizi"

Nami naungana na wanaume wenzangu

HAKUNA KUOA SINGLE MOTHER MPAKA UHAKIKISHE UMEONA KABURI LA BABA MTOTO/WATOTO WAKE
Huwa haawachani..... ila mzigo sio wa single maza pekee wote wale wale
 
Zaman wanawake ilikua ndoa ndio priority. Siku hizi mtoto ndio priority. Ndoto za wanawake wengi sasa ni kuitwa mama bila hata kujali baba ni nani. Kua na watoto wao kuwapost post overtime hata utoaji mimba utapungua.

Tena hao mnaowaita wabichi kumbe ndio wameshaiva siku nyingi. Mtoto wa miaka 22 anajua vitu vingi kuliko mwanamke wa miaka 32. Jioni ikifika ndio mwanzo wa kuchagua koroma
 
Back
Top Bottom