Changamoto katika biashara ya nyumba ya wageni (Guest House)

Changamoto katika biashara ya nyumba ya wageni (Guest House)

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
Nyumba ya wageni ikiwa kwenye location nzuri, penye shughuli za kibiashara, ni biashara iitakayo kuingizia pesa ya kula hata na ya ada ya watoto.

Sikuhizi watu wanapenda vyumba ensuite, hivyo uwe na uhakika wa kupata maji. Maji yakikosekana fanya jitihada ya kujaza matank ya akiba.

Kuna wageni si wastaarabu, wanaacha uchafu unao gharimu kusafisha. Kuna anaeacha soda inafoka mpaka inajaa ukutani. Kuna wanao acha haja kubwa na ndogo.

Wengine wanapigana chumbani na kuvunja furniture. Hasa wale wanaoingia na dada poa, wakisipokubaliana malipo utakuta kioo cha ukutani ni vipande sakafuni.
 
Biashara hii ukiiweka uswahilini utajuta na hasa ukiruhusu ule upuuzi wa show time utafua mavi mpaka uzoee, hii kitu weka sehemu strategic pia weka bei ya juu ilimradi pako safi panavutia na pia bei ikiwa juu utakua na watu classic na pia utaweza kuwalipa wafanyakazi vizuri na hakutakuwa na shida
 
Biashara hii ukiiweka uswahilini utajuta na hasa ukiruhusu ule upuuzi wa show time utafua mavi mpaka uzoee, hii kitu weka sehemu strategic pia weka bei ya juu ilimradi pako safi panavutia na pia bei ikiwa juu utakua na watu classic na pia utaweza kuwalipa wafanyakazi vizuri na hakutakuwa na shida
[emoji23][emoji23]doh Hapo kuchafua mashuka ni shughuli
 
Unakuta uchafu akiwa amesha check out, kunacwatu pia wana ulemavu wa kutoa haja ndogo usingizini.
Sasa si wafue mie binafsi nikiwa hata hotel huwa sipendi kuchafua vitu ka mashuka loh. Hizi kazi ni changamoto aisee
 
Sasa si wafue mie binafsi nikiwa hata hotel huwa sipendi kuchafua vitu ka mashuka loh. Hizi kazi ni changamoto aisee
Iko hivi, mgeni anakuja reception , analipia siku alizolala anaaga. Mara nyingi wakiwa wana carry on another night wanakua wastaarabu sana.
 
Niliingia gesti fulani wayback 2017 nikakuta ukutani wameweka bango likitahadharisha juu ya kuchafua mashuka kwa kinyesi au damu.

Na onyo likisema ni utafua mpaka yatakate ndiyo utaruhusiwa kuondoka. Chini ya meza kuna tangazonlikitahadharisha uukiwa unaondoka ukisimamishwa na mtu akisema kuna deni umeacha usiwasikilize hao ni matapeli.

Tupe location ya mjengo wako na gharama zake. Au namba ya receptionist.
 
Niliingia gesti fulani wayback 2017 nikakuta ukutani wameweka bango likitahadharisha juu ya kuchafua mashuka kwa kinyesi au damu.

Na onyo likisema ni utafua mpaka yatakate ndiyo utaruhusiwa kuondoka. Chini ya meza kuna tangazonlikitahadharisha uukiwa unaondoka ukisimamishwa na mtu akisema kuna deni umeacha usiwasikilize hao ni matapeli.

Tupe location ya mjengo wako na gharama zake. Au namba ya receptionist.
Jibu ni kununua shuka nyingi, zenye kinyesi unatupa, za mikojo unafua kwenye washing machine.
 
Sio uoga kwanini uchafue sehemu na vinyesi au takataka then usepe, Mimi hata kutupa taka hovyo sipendi nimekuwa kwenye usafi bana
Vinyesi na takataka of coz siyo ishu ila napata picha kwamba wewe hata kujigaragaza haujigaragazi
 
Kanuni yangu huwa Situmii taulo la nyumba za Wageni kamwe, nikisafiri Lazima niwe Na kataulo kadogo

Situmii blanket hata niwe Arusha au Moshi, Natumia shuka Masai ambayo huwa ninayo
 
Back
Top Bottom