Changamoto katika mfumo wa ESS UTUMISHI

RingaRinga

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2015
Posts
1,047
Reaction score
521
Habarini viongozi, yeyote aliyefahamu namna ya kukabili changamoto hii katika kujisajili kwenye mfumo wa "ess utumishi" tusaidiane hapa
 

Attachments

  • Screenshot_20231002-082353.jpg
    68.8 KB · Views: 6
Nenda kwenye email then update email zako ,huenda una more than one email.

Mimi nimejaza na nimesubmit ,Sasa masala njia ya ya panya tu nitoke huku nilipo.
 
Weka E-mail ambayo uliweka kwenye taarifa za mfumo wa mishahara.

E-mail uliyoweka hai match na ambayo umeweka kwenye mfumo wa mshahara
 
Huu mfumo mbona mtu akiingia kuangalia transfer request inaload tuuu bila kufunguka na wakati request unaziona?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…