RingaRinga JF-Expert Member Joined Jul 10, 2015 Posts 1,047 Reaction score 521 Oct 2, 2023 #1 Habarini viongozi, yeyote aliyefahamu namna ya kukabili changamoto hii katika kujisajili kwenye mfumo wa "ess utumishi" tusaidiane hapa Attachments Screenshot_20231002-082353.jpg 68.8 KB · Views: 6
Habarini viongozi, yeyote aliyefahamu namna ya kukabili changamoto hii katika kujisajili kwenye mfumo wa "ess utumishi" tusaidiane hapa
Nurain JF-Expert Member Joined Apr 28, 2022 Posts 2,403 Reaction score 5,315 Oct 2, 2023 #2 Nenda kwenye email then update email zako ,huenda una more than one email. Mimi nimejaza na nimesubmit ,Sasa masala njia ya ya panya tu nitoke huku nilipo.
Nenda kwenye email then update email zako ,huenda una more than one email. Mimi nimejaza na nimesubmit ,Sasa masala njia ya ya panya tu nitoke huku nilipo.
Dorome JF-Expert Member Joined Nov 11, 2021 Posts 397 Reaction score 746 Oct 3, 2023 #3 Weka E-mail ambayo uliweka kwenye taarifa za mfumo wa mishahara. E-mail uliyoweka hai match na ambayo umeweka kwenye mfumo wa mshahara
Weka E-mail ambayo uliweka kwenye taarifa za mfumo wa mishahara. E-mail uliyoweka hai match na ambayo umeweka kwenye mfumo wa mshahara
DR Mambo Jambo JF-Expert Member Joined May 10, 2012 Posts 11,622 Reaction score 26,005 Oct 3, 2023 #4 RingaRinga said: Habarini viongozi, yeyote aliyefahamu namna ya kukabili changamoto hii katika kujisajili kwenye mfumo wa "ess utumishi" tusaidiane hapa Click to expand... Check na Afisa utumishi akuambia ni email gani aliregister kwenye Taarifa zako
RingaRinga said: Habarini viongozi, yeyote aliyefahamu namna ya kukabili changamoto hii katika kujisajili kwenye mfumo wa "ess utumishi" tusaidiane hapa Click to expand... Check na Afisa utumishi akuambia ni email gani aliregister kwenye Taarifa zako
Supu ya kokoto JF-Expert Member Joined Aug 20, 2013 Posts 4,194 Reaction score 7,602 Jan 17, 2024 #5 Huu mfumo mbona mtu akiingia kuangalia transfer request inaload tuuu bila kufunguka na wakati request unaziona?
Huu mfumo mbona mtu akiingia kuangalia transfer request inaload tuuu bila kufunguka na wakati request unaziona?
Supu ya kokoto JF-Expert Member Joined Aug 20, 2013 Posts 4,194 Reaction score 7,602 Jan 17, 2024 #6 Tatizo nini?