Mr Bigboss
Member
- Dec 20, 2021
- 46
- 13
Chuo cha DIT inabidi wajitathimini kwa changamoto wanazokumbana nazo wanafunzi wao hususani katika mambo ya IT. System yao ya matokeo ya wanafuzi haipo stable kabisa, yaani unaweza ukakuta matokeo yanabadilika badilika ,
kwa kweli wajitathimini kwa hili .
kwa kweli wajitathimini kwa hili .