Changamoto: Mpenzi wangu akishalewa bia anakua na mwili wa baridi mno

Kwani Deepond...... Una miaka mingap mbona unabalaa sana ww yani story zako kaka angu zinaonyesha ndo huko foolish age
 
Kaka mwenzangu umemkosea sana huyo mtoto , kiufupi umezingua !!!
Ila chakufanya nenda hospital mpime pressure kabla ya kunywa na baada ya kunywa pombe inawezekana ana pressure ya kushuka , pia mpime mkojo wa kupanda [ urine for culture ] inawezekana ana bacterial infection inayo shusha Ph ya uke mpaka kufikia neutral [ maji baridi ] sababu maji ndio yana ph 0 .
Mengine utashauliwa na daktari
 
Aina gani ya bia akinywa anakuwa katika Hali hio? Mjaribishe Amarula kwanza
 
Dhambi dhambi dhambi.
Mungu yupo pembeni japo umemtaja lakini unachofanya ni Dhambi.Pombe ni dhambi na tena ukampa mwenzio ni dhambi kisha
Uzinzi ni Dhambi
Nani kakudanganya pombe NI DHAMBI?
 
Mpe kiwingu au kvant
 
Ndio uyo mkuu
Ok mkuu,naona umeamua kua serious nae siku sio nyingi mama j atabaki na drama zake,btw haijawah kunikuta hio hali ila pia jitahd kumzoesha wine haya mabeer kwa mwanamke yanatampa kitambi,mpe sababu z uongo uongo juu ya beer alaf ataiacha mdogomdogo
 
@DeepPond naona hii haujaiona au haujaijib,naona kama mkuu hapo ametoa ushauri mzuri pia.
 
Imeniuma kweli, watoto wetu kumbe ndiyo wanavyofundishwa namna ya kuwa walevi?
Na bado wakisha kuwa walevi wanaonekana wa hovyoo, duh!
 
Tangu lini maji yakawa na pH ya 0 mkuu, au ni maji yapi hayo? Acha fix basi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…