Changamoto: Mpenzi wangu akishalewa bia anakua na mwili wa baridi mno

Ila mkuu dp una michepuko mingi, miwili kama sikosei..then mke wako.

Halafu kumshawishi mtu kuingia kwenye ulevi, kuna namna umemharibu binti yetu huyu.

Halafu ke kunywq bia hata hainogi basi tu, mpe wine achangamke then fanya yako, kwanza bia zinaleta harufu mbaya ya kinywa.
 
@DeepPond naona hii haujaiona au haujaijib,naona kama mkuu hapo ametoa ushauri mzuri pia.
Shukran,
Mkuu Katia USHAUR mzur.
Nafikiria kumpeleka hospitali
ila Sasa nawaza ntamwambia naenda kumpima Nini labda.
 
Nina Michepuko miwili TU mkuu[emoji120]

Nmemharibu kivipi mkuu, yeye mbona anapenda kunywa.

Dada ake ndo mshawishi mkuu mdg wake aanze kunywa pombe, Mimi nmekuja kukazia TU.
 
Unamichepuko kibaooo aisee
 
Mkuu,una michepuko mingi sana😆
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…