Inakuwaje au unajisikiaje unapolipia tangazo alafu watu wanabofya bofya tu ila hawana nia ya kununua bidhaa zako mtu anaulizia singsung s23 shingapi unampa bei anapotea hata kurudiaha jibu hapana yaani unaweza kupokea message hata 20 halafu majamaa ukiyajibu yanakaa kimya hakuna kurudiaha jibu.
Hii changamoto mnaikabirije mara mia usibinyeze tangazo ukiwa huna nia ya kukununua bidhaa za mtu, sababu bei na maelezo yanakuwaga pale kwenye tangazo ukiona hau afford si vyema kubonyeza unapoteza fedha za watu.
Hii changamoto mnaikabirije mara mia usibinyeze tangazo ukiwa huna nia ya kukununua bidhaa za mtu, sababu bei na maelezo yanakuwaga pale kwenye tangazo ukiona hau afford si vyema kubonyeza unapoteza fedha za watu.